Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

UEFA uwa ina zile crazy moments na mostly Madrid ndio vitu vyake, siioni Arsenal ikiwa na izo Elements.
Yaan unaamini huyu kaisha, from no where meza inapinduka.
Hatuna team ya kuitoa madrid labda bahati iwe upande wetu ila kwa Experience bado ni underdog kwa madrid.
Hata bahati ikiwa upande wenu haiwezi kuizidi bahati ya Madrid UEFA. Arteta amuone Tomas Thuchel ampe mbinu za kuitoa Madrid
 
🗣️Mikel Arteta on how Arsenal can beat Real Madrid in this season’s Champions League: “The first thing is that you have to be at your best when it comes to that for the two games, for every minute.

‘Don’t give anything away, because they’re going to take it. And today, we’ve seen that with the two goals that we’ve conceded as well, so that’s a big learning.

‘In the end, the game is going to be decided in the boxes, individual talent, individual performances is crucial, and then creating an unbelievable atmosphere when we have the opportunity to play at home, that is crucial.’
 

Attachments

  • IMG_20250313_132919_346.jpg
    IMG_20250313_132919_346.jpg
    145 KB · Views: 1
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ndugu yangu hamis77 muda mrefu sana ulikua unatamani timu yako ikutane na Real Madrid ili muioneshe dunia kua Arsenyo ndio The best team in the world interm of pressing & overloading, positional interchange na flexibility bila ya kusahau aerial duel na set pieces.
Hatimae Mungu amesikia kilio chako na kuwakutanisha na mashababi wa Don Carlo, hivyo mimi pamoja na mashabiki wengine wote humu tumeshakusamehe kwa yote uliyokua unatudanganya, tunakuomba urudi kwenye hili jukwaa tugange yajayo.
Hakika hili jukwaa si lolote si chochote bila ya zile false hopes zako, chawa zako kina mkorea na arsenal2004 walijaribu kuvaa viatu vyako lakini havijawatosha, matokeo yake wameishia kupata matege kutokana na uzito wa viatu vyako, tunakuomba ndugu yetu Masingeli urudi humu ili tuyajenge upya. View attachment 3268917
Madridi kayakanyaga

Atapigwa Hadi achakae ,Madrid amezoea kukutana na timu mbovu , akikaa vibaya atakula 3+ pale Emirates kwenye kapeti la kijani

Nimebanwa na majukumu ya kazi ,Unajua unapoaminiwa unapewa kampuni kubwa uiendeshe ,mambo mengi yanasimama,Madrid ni wakwaida sana ,ukidhibiti transition zao,

Kwanza kwa kiungo gani Madrid atatoboa mbele ya mighty Arsenal hii ,?
 
Madridi kayakanyaga

Atapigwa Hadi achakae ,Madrid amezoea kukutana na timu mbovu , akikaa vibaya atakula 3+ pale Emirates kwenye kapeti la kijani

Nimebanwa na majukumu ya kazi ,Unajua unapoaminiwa unapewa kampuni kubwa uiendeshe ,mambo mengi yanasimama,Madrid ni wakwaida sana ,ukidhibiti transition zao,

Kwanza kwa kiungo gani Madrid atatoboa mbele ya mighty Arsenal hii ,?
Umehamia majukwaa ya dini siku hizi.
Njoo mfarijiane hapa na wanao kina mkorea.
Flano jamaa karudi
 
Madridi kayakanyaga

Atapigwa Hadi achakae ,Madrid amezoea kukutana na timu mbovu , akikaa vibaya atakula 3+ pale Emirates kwenye kapeti la kijani

Nimebanwa na majukumu ya kazi ,Unajua unapoaminiwa unapewa kampuni kubwa uiendeshe ,mambo mengi yanasimama,Madrid ni wakwaida sana ,ukidhibiti transition zao,

Kwanza kwa kiungo gani Madrid atatoboa mbele ya mighty Arsenal hii ,?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu hamis77 nimefurahi sana kukuona tena kwenye hili jukwaa, huu uliouonyesha sasa ndio uungwana wenyewe, unapoitwa unaitika.
Arsenyau kwa hio forward yenu ya kina Moringo na Sterling sidhani kama kina Rudiger watawaruhusu mpate hata shot on target.
Hapa kichwa yangu inawaza kwa namna gani mtaepukana na fedheha kutoka kwenye ule utatu mtakatifu wa Vini Jr, Mbappe na Rodrygo, yaani hapa naona kabisa Madrid wanavyoenda kuwalipia Psv zile goli 7 zao.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu hamis77 nimefurahi sana kukuona tena kwenye hili jukwaa, huu uliouonyesha sasa ndio uungwana wenyewe, unapoitwa unaitika.
Arsenyau kwa hio forward yenu ya kina Moringo na Sterling sidhani kama kina Rudiger watawaruhusu mpate hata shot on target.
Hapa kichwa yangu inawaza kwa namna gani mtaepukana na fedheha kutoka kwenye ule utatu mtakatifu wa Vini Jr, Mbappe na Rodrygo, yaani hapa naona kabisa Madrid wanavyoenda kuwalipia Psv zile goli 7 zao.
Jidanganye ,hao Madrid hawana midfield yakutisha, hata beki Yao ni sawa na manjesta ukimtoa rudiger

Mendy anageuzwa sana kama chapati ,halafu Saka atakuwa karudi

Kwahiyo tegemea kuona

Martinelli Trossard Saka

Vs

Valvede Asensio Rudiger Mendy

Sasa hapo nishindwe Mimi tu kupata goli 3

Midfield Yao Tapeli Tchoumen hatakuwepo, kwahiyo subiria kuona kina Ceballos ,Babu Modric na Muingereza Yuda Beligham,

Hapo Mimi nakuwekea


Declan Rice Partey na Ø

Waulize PSG Hawa waliomfanya kuku kishingo aonekane ni silolote sichochote

Madrid wamekuwa wakifunga timu mbovu ,
 
hamis77 Integrated Investment Co. LTD

Ni taasisi ,unaweza kuona nipo online humu kumbe anayeendesha akaunti ni Secretary wangu au Supervisor,

Mimi nimekuwa bize sana na majukumu ya kujenga Taifa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Masingeli banaaa, shauri yako watu tutashindwa kukusaidia humu na kukupa connection tukijua unajiweza kumbe bado unajitafuta.
 
Arsenal’s last goal scored from a corner was vs Tottenham Hotspur, in January.

Since then, the Gunners have played 12 games, and taken 94 corners, without success. ⛳️❌

😁
 

Attachments

  • IMG_20250313_191957_549.jpg
    IMG_20250313_191957_549.jpg
    64.8 KB · Views: 1
Jidanganye ,hao Madrid hawana midfield yakutisha, hata beki Yao ni sawa na manjesta ukimtoa rudiger

Mendy anageuzwa sana kama chapati ,halafu Saka atakuwa karudi

Kwahiyo tegemea kuona

Martinelli Trossard Saka

Vs

Valvede Asensio Rudiger Mendy

Sasa hapo nishindwe Mimi tu kupata goli 3

Midfield Yao Tapeli Tchoumen hatakuwepo, kwahiyo subiria kuona kina Ceballos ,Babu Modric na Muingereza Yuda Beligham,

Hapo Mimi nakuwekea


Declan Rice Partey na Ø

Waulize PSG Hawa waliomfanya kuku kishingo aonekane ni silolote sichochote

Madrid wamekuwa wakifunga timu mbovu ,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Masingeli banaaa Yaani Madrid akitaka kukupa Uefa 5 bado anabakiwa na 10, hio jeuri ya kumtisha unaitolea wapi Arsenyau wewe?
 
UEFA uwa ina zile crazy moments na mostly Madrid ndio vitu vyake, siioni Arsenal ikiwa na izo Elements.
Yaan unaamini huyu kaisha, from no where meza inapinduka.
Hatuna team ya kuitoa madrid labda bahati iwe upande wetu ila kwa Experience bado ni underdog kwa madrid.
Mjiandae kupigwa goli za kaunta na nzuri zaidi watu wa mbio wanao
 
Hicho kikundi cha comedy kitachukua kombe kabla yako false hopper.
Huo ubavu hamna braza.....mnaelekea kuwa Man U version 2....mnaitumia mihela mingiii halafu hamna mnapokwenda....j2 tutahakikisha ile nafasi ya 4 Pep Guardiola anarudi pale....ni dharau Chelkenge kuwa juu ya City hamna hio hadhi
 
Back
Top Bottom