Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
These fellas Nina uhakika huyo kocha wao Kuna kitu hua anawaambia kabla ya mechi kinawaingia kwenye ubongo then wanakua kama wamevuta bangi hivi yan wanakua kama marobot yasiyochoka ...Nisha sema hapo juu
Hawa wahuni kwanza awachoki full energy mwanzo mwisho.
Oblak huwa si mzuri wa penalti, labda kama alifanya sana mazoezi ya penaltiAtletico wanted this kufika kwenye penalties na ni kumuamini Oblak kunafanya wawe confident kuja huku.
But Oblak kashapotezwa maboya mara mbili na Thibaut siyo mnyonge. Let's see
Hivi ni kweli kaugusa mara 2 ule mpira?Expensive signing, Alvarez, anaonekana amefanya double kicking ya penati na anakua amekosa ingawa mpira uliingia wavuni
Bora hao kuliko atleticoMbona wewo? Madrid tutatoboa kweli ndugu zangu?
Shida ya Real Madrid sio kikosi, ni yule mzee Don Carlo.Bora hao kuliko atletico
Jipe moyo tu, Hiyo inaitwa ni End of the Road.Bora hao kuliko atletico
Mzee mbona unateseka sana?Jipe moyo tu, Hiyo inaitwa ni End of the Road.
Wamerudia angle nyingi mpaka moja nikaona kaugusa na mguu wa kushotoHivi ni kweli kaugusa mara 2 ule mpira?