Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Baelezee,unajua hata Sir Fergie baada ya mechi ile ya ngao ya jamii;alisema "Ars.msimu huu taji la EPL ni lao endapo tu hawatakumbwa na majeruhi."Hapa ndipo mtego ulipo!Kwasababu ikiwa mchezaji anaumia mazoezini,hii timu inaweza kumudu kuepuka majeruhi?!
Naamini ni kitu ambacho hakiwezekana,ila unafuu utakuwepo kuzingatia na aina ya wachezaji wanaopata majeraha na umuhimu wao katika timu.
 
Kudos the Gunners! Vijana walitandaza kandanda la uhakika.

Lakini huwa mnanikera ku-dissappoint huko mbele ligi itakapofikia hatua muhimu.


Naam, ulichosema ni kweli tupu. Sisi huanza vizuri sana karibu kila mwaka na ikishaanza kuingia mitaa ya November na December basi huanza kuvurunda vibaya sana sijui ndiyo 'nguvu ya soda' halafu timu yetu huwa na majeruhi wengi sana kulinganisha na timu nyingine za juu.

I hope msimu huu itakuwa tofauti ili kuweza kupambana mpaka dakika ya mwisho na pia kutokuwa na majeruhi wengi. Hii ya juzi, kwa maoni yangu ilikuwa mechi ngumu kwetu hasa ukitilia maanani mafanikio makubwa ya Everton msimu uliopita na walikuwa kwao na timu yao haijabadilika sana. Tusubiri tuone jinsi msimu utavyojikunjua.

Nimependa sana upangaji wa kocha mpya wa Timu ya Chelsea. Hawa na ManCity ndiyo nawatabiria ubingwa msimu huu, lakini mpira ni dakika 90 na chochote kinaweza kutokea katika hizo ninety minutes.
 
Naam, ulichosema ni kweli tupu. Sisi huanza vizuri sana karibu kila mwaka na ikishaanza kuingia mitaa ya November na December basi huanza kuvurunda vibaya sana sijui ndiyo 'nguvu ya soda' halafu timu yetu huwa na majeruhi wengi sana kulinganisha na timu nyingine za juu.

I hope msimu huu itakuwa tofauti ili kuweza kupambana mpaka dakika ya mwisho na pia kutokuwa na majeruhi wengi. Hii ya juzi, kwa maoni yangu ilikuwa mechi ngumu kwetu hasa ukitilia maanani mafanikio makubwa ya Everton msimu uliopita na walikuwa kwao na timu yao haijabadilika sana. Tusubiri tuone jinsi msimu utavyojikunjua.

Nimependa sana upangaji wa kocha mpya wa Timu ya Chelsea. Hawa na ManCity ndiyo nawatabiria ubingwa msimu huu, lakini mpira ni dakika 90 na chochote kinaweza kutokea katika hizo ninety minutes.
Man City hawana timu ya kuchukua ubingwa mkuu,bora hata Arsenal
 
Duh! BAK yani unaamini Man City wanaweza kuchukua ubingwa?
 
Baelezee,unajua hata Sir Fergie baada ya mechi ile ya ngao ya jamii;alisema "Ars.msimu huu taji la EPL ni lao endapo tu hawatakumbwa na majeruhi."Hapa ndipo mtego ulipo!Kwasababu ikiwa mchezaji anaumia mazoezini,hii timu inaweza kumudu kuepuka majeruhi?!
Naamini ni kitu ambacho hakiwezekana,ila unafuu utakuwepo kuzingatia na aina ya wachezaji wanaopata majeraha na umuhimu wao katika timu.

...Fabregas, Denilson, na Sagna sasa ni majeruhi, hawatacheza kesho dhidi ya Celtic -Scotland UEFA qualifications...

🙁 ...sijui nilie?
 
...Fabregas, Denilson, na Sagna sasa ni majeruhi, hawatacheza kesho dhidi ya Celtic -Scotland UEFA qualifications...

🙁 ...sijui nilie?

Mkuu Mbu, sijui hawa kama huwa wanawasili kambini wakiwa fit tayari kwa msimu mpya. Mapesa yote wanayopata wangestahili kuwa personal trainers ambao wangekuwa wanawaandaa wakati wa off season wiki sita kabla ya kuingia kambini ili wanapoingia kambini wameshaiva tayari kwa msimu. Hali hii ya majeruhi ikiendelea hata bench linaweza lisiwe na wachezaji.
 
Mkuu Mbu, sijui hawa kama huwa wanawasili kambini wakiwa fit tayari kwa msimu mpya. Mapesa yote wanayopata wangestahili kuwa personal trainers ambao wangekuwa wanawaandaa wakati wa off season wiki sita kabla ya kuingia kambini ili wanapoingia kambini wameshaiva tayari kwa msimu. Hali hii ya majeruhi ikiendelea hata bench linaweza lisiwe na wachezaji.
mie naona wakati umefika wa kuleta defensive midfield na defender mwingine manake kama hali itakuwa hivi mechi moja tu mara watu watatu wanamajeruhi basi tutaendelea na mchezo wetu hule hule.
 
mie naona wakati umefika wa kuleta defensive midfield na defender mwingine manake kama hali itakuwa hivi mechi moja tu mara watu watatu wanamajeruhi basi tutaendelea na mchezo wetu hule hule.

...na sababu zilezile,
"...Arsene Wenger on Tuesday night reignited his war of words with Raymond Domenech by holding the France coach responsible for Thierry Henry's injury-ravaged season", "Arsenal boss Arsene Wenger has also blamed the Stoke City midfielder for Theo Walcott's shoulder injury",

"we had no possibility to rotate the side because we had many injuries and then all the suspensions"

Wenger huyo huyo asokwisha kuyasema haya; "

"I am looking forward to the summer - I am counting the days. I need one summer to rest."

...He said: "I feel we will not be in the same position in future seasons where we have two strikers injured and another suspended. That gave us no possiblity to rotate."
 
Hodi jamvini kwenu!..
Nimepita tu mara moja kuwapa hongera jaman, u guys last weekend mlikuwa FANTASTIC, embu malizaneni na Celtic muwe busy na nyie kama sie.

Cheers!..
 
wakubwa mpo ? kila mtu kashakaa sawa? kuna mtu anahitaji link au kujua channel gani mechi hipo aseme mapema hili haweze kuenjoy game.
 
wakubwa mpo ? kila mtu kashakaa sawa? kuna mtu anahitaji link au kujua channel gani mechi hipo aseme mapema hili haweze kuenjoy game.

tupo mkuu, naona mambo yanazidi kupamba moto!! hawa jamaa wamo tu! hizi link siku hizi haziaminiki unaangalia baadae wanakata maximum number of viewers, lakini hivyo hivyo unahamia nyingine!!
 
Back
Top Bottom