The BornAgain
JF-Expert Member
- Jun 23, 2024
- 428
- 582
Duh police shida ninj..ukute mtuhumiwa alikuwa akihojiwa kwa vipigo nasikia wanafanya hivyo wakati nijuavyo mtuhumiwa hawi keshakosa mpaka ithibitike mahakamani..naona hio sheria ingefutwa watuhumiwa wasiteswe kwa lolote kabla ya mahakamani..wenyewe wakamate kisha wapeleke mahakamani kwisha, labda kwa makosa yanayohitaji uchunguzi watumie njia zingine sio short cut ya vipigo mtu anaweza kubali kumbe sio ikija ushahidi mahakamani jibu hapana