tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Hii familia ni matajiri sana kaka yao mkubwa ndio alikua mayor wa kwanza wa arusha miaka ya 60Pale karibu na uwanja wa mpira NAIC ni nyumbani kwao( wazazi wao) kwa sasa anaishi mdogo wake. Aina maeda ni mwanafamilia, huyu mzee anaishi Nshupu ni njia ya dik dik, huko ndio amejenga kasri zake na wanae wanaoishi marekani.