tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Hii familia ni matajiri sana kaka yao mkubwa ndio alikua mayor wa kwanza wa arusha miaka ya 60Pale karibu na uwanja wa mpira NAIC ni nyumbani kwao( wazazi wao) kwa sasa anaishi mdogo wake. Aina maeda ni mwanafamilia, huyu mzee anaishi Nshupu ni njia ya dik dik, huko ndio amejenga kasri zake na wanae wanaoishi marekani.
Tuko tayari kuwafichua wahalifu wa nanna hiyo,Mama awapige spana kwani hao ndio wanawafukuza wawekezaji,na kuwafilisi waliojaribu kupiga hatua.Kwa sasa hivi polisi wakijua una hela wanakutungia kesi, TRA wakijua una hela wanakubambikia kodi.
Labda huyo rais mpya awafunge speed gavana na raia wamsaidie.
Walimuwahi mzee mana hiyo familia imejaa wanasheria wa kutoshaKwann unasem imeisha mkuu
Dah kweli mwenye hela sio mwenzakoWalimuwahi mzee mana hiyo familia imejaa wanasheria wa kutosha
Copenhagen umenichekesha sana Mkuu, hivi Timothy ni mtoto wa Profesa au mdogo wake wa Hardware??Namfaham sana mzee maeda nishafanya kibarua kwake. Yuko straight na mambo yake. Ni msomi na ana IQ kubwa (intelligent). Ni mpole lakini ana authority. Hapendi kujionyesha yeye ni billionaire. Ila wabongo kwa kuchunguza tuwakagundua ile kushindia mahindi ya kuchoma hadharani ni kuzuga watu tukajua nyumbani kwake ana special menu anaandaliwa na mpishi maalum. Kwenye shelves kumejaa jack danieles, coniaks, masmirnoff na whisky za ghali.
Hao polisi wameingia sikoWalimuwahi mzee mana hiyo familia imejaa wanasheria wa kutosha
Ikawaje sasa ulitoa mpunga au ulikomaaMimi wifi aliingia mtaroni hapo chama asubuhi wala gari haikuumia,wakaita breakdwn n kuipeleka usa kituoni,kwenda hpo nakuta bili ya 400000 kuvuta gari....halafu wametengeneza mazingira kua wife alikua amelewa[emoji16][emoji16] ili wapige hela,wife alitoka hom saa 2 kwenda kwa maza wake usa akiwa njiani akachomekewa na hiace na kuingia mtaroni mida ya saa mbili unusu.
Nimemfuata chama hpo njiani nkaenda nae kituoni wanataka kumuweka ndani
Yule mama maeda mwenye petrol station opposite na the arusha hotel wana mahusiano na huyu mzee??Pale karibu na uwanja wa mpira NAIC ni nyumbani kwao( wazazi wao) kwa sasa anaishi mdogo wake. Aina maeda ni mwanafamilia, huyu mzee anaishi Nshupu ni njia ya dik dik, huko ndio amejenga kasri zake na wanae wanaoishi marekani.
Ndio ni shemeji yakeWana mahusiano na Mama Maeda wa Golden Rose?
Ndio ni shemeji yake
Taarifa nusunusu labda ina lengo maalum.Sasa mbona stori yenyewe haijakamilika? Alifanyaje mpaka takukuru wakaingia? Walimwonyesha search warrant? nk
NITAKUJA KUKUKUMBUSHA SIKU MOJA JUU YA HILIKwann unasem imeisha mkuu
Mzee yuko vizuri kiuchumi pia anajengo lake hapo usa wamepanga crdb bank n nssf
Sawa mkuu tusubiri tuoneNITAKUJA KUKUKUMBUSHA SIKU MOJA JUU YA HILI
🤣🤣🤣🤣 hajawahi kuona pembe wala ngozi ya chui duhhHao polisi wenyewe mmoja wao kasanda
Huyo Prof kwanza anakuambia maisha yake
Yote hajawahi ona pembe wala ngz ya chui
Ova