ARUSHA: Askari Polisi 7 waliombambikia pembe za ndovu Prof. Justin Maeda na kuchukua milioni 100 wafukuzwa kazi, Profesa afunguka

Kuna miaka ya nyuma majambazi walimvamia kwake wakamkuta na elfu hamsini tu baada ya kusearch sana. Walimmaindi kwa kumuwasha vibao kadhaa na kumpa onyo kali siku nyingine awe anakaa na hela nyingi nyumbani.
JamaniπŸ˜€πŸ˜€πŸ™Œ
 
Ni mhuni tu huyo na tapeli mkubwa sana nchini sijui wale wajinga ni lini wataachana naye. Yeye huyo huyo Gwajiboy hakuona tatizo jamaa atoe rushwa kwa dhalimu ili aaiende lupango. Dhalimu kafa sasa anang’aka kuhusu ushauri alioutoa!!!
Kama Gwajima na uaskofu wake kakalia kiti cha ubunge alichokipata kwa dhuluma kwa kupitia kura fake ujasiri wa kumshauri mwenzake asitoe rushwa ataupata wapi?.
 

mbona ni kama mlitumia nguvu na muda mwingi kujieleza!!!

ni kwamba mlikutana na polisi vilaza tu,vinginevyo mngekuwa wahanga.
kimsingi ukiwa mitaa ya kwenu hutakiwi kuwa na stori nyingi na hakuna wa kukuletea longo longo.
simply tu unaulizwa wewe nani??? unajibu mimi kiranga nakaa nyumba hiyo hapo kwa mzee kabudi,imeisha hiyo.
hakukuwa na kisiki kati yenu bali,wao ndio walikua vilaza.
 
huu ndio uanaume.

usilete ujuaji sana mbele ya askari na usitie unyonge,bali kuwa mtulivu wakati wote.
 
Polisi anaenda kumuingia mzee, halafu hajui mzee kasoma na RPC.

Polisi wanambambikia mzee kesi famba, mzee anavuta waya kwa RPC anamblast inakuwaje vijana wako wanafanya mambo ya aibu?

Watajuta.
si bora wasome wote!!!kwa miaka 77 hiyo unakuta kamfundisha siro,diwani ama DCI na anamjua.

hakuna kitu kibaya duniani ukiacha tamaa/umasikini wako uamue jambo.
utu na utashi vitajitenga nawewe kabisaa.
unambambikia mtu kesi ambayo unajua kabisa anaweza kushindwa na akaishia jela!!!!
sijui nyinyi atheist labda ndio mna akili hizi maana hamuamini katika superior powers.
 
Hao police kwanza inatakiwa watema pesa yote,rpc kajibu kirahisi sana hajaongelea kuhusu pesa kurudishwa sembuse nae kala mgao....police wote tabia zao ni moja
 
huyo naye ni fala wa karne,unashinda kutukana watu halafu unaishi kama mbuzi!!!.

hakuwa hata anajua gharama ya anachokifanya.
 
Like Profesa Like Mdude Nyagali
[emoji23][emoji23][emoji1732][emoji125][emoji125]
 
Hatukufanya zaidi ya kujieleza hivyo, na kuwafundisha wao kwamba wakikutana na raia wajifunze kuanza maongezi kwa kuwasalimu kwa heshima.

Huko kwingine walijibabatiza wenyewe wakakutana na walichokitafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…