Mm nashangaa watu wanapinga adjabu ya bakora zifike hd maofisini inapobidiKuna raia zimepinda aisee dah!
Hii nguruwe ni ya kufukuza kazi straight away yaani na hakika tunahitaji sana adhabu ya viboko irudi kwenye jamii
Nikweli mkuu, hana adabuUmefanya jambo njema sna mkuu, wahuni km hao ni wakuadabishwa. Yan huyo dereva hana ubinaadamu wwte ndan ya nafc yke mmbwa huyo
Hahaha hapana mkuuNimeshtuka kweli yaani, kumbe haukuni include?
Wanakuza tu mambo mkuuKama ni kweli basi ni unyama sana. Sioni shida Kwa kwenda huko na marehemu ila masikitiki yangu ni Kwa ndugu waliokalishwa kumsubiri dereva amalize kuangalia Mpira ndipo waendelee na safari. Au usikute dereva na ndugu hao walikubaliana na wote walienda kuangalia mpira ila mleta mada kaamua tu kuileta ktk namna hiyo. Mana ndugu wenyewe amesema walikuwa wachache tu
Mbona tukiwa na zile coaster Huwa tunasimama pale Mombo watu wanakula vyombo na maiti tunayo au shida ni kwamba hapa ameshuka dereva pekee,kulia watu wakiondikewa na mpendwa wao ni kawaida tu siyo ajabu au walikuwa wanakia dereva ameshuka kaingia bar?Asa jaman mtu si amekufa huyo , ukweli ni kuwa mazishi yasingefanyika usku , jamaa kaona hii sa moja na nusu achek game mana atafika tuu mda mwafaka , imekuwa nongwa duuh
Daaaah uko timamu kweli weweeeTatfta hela uache kulia lia
Yap! Kama Sheria inasema hivyo na Kosa limethibitika pasi na mashaka yoyote.
Maisha yenyewe ndo haya-haya; leo tunaondoa adhabu ya viboko kuanzia shule ya msingi hadi kwa vibaka n.k. tena tunazinadi kwa bashasha Sera za Haki za binadamu bila kuzichuja halafu matokeo yake (mavuno)yanapojitokeza tunaanza kulialia hapa. Tutafika lakini tutakuwa tumechoka sana.
NB: Mm Siungi mkono kitendo cha dereva mhusika (kama tukio hilo ni la kweli) lakini Taarifa hiyo imeacha mno maswali na hoja nyingi sana na nadhani inaweza kuwa ni chai. Je, Box la kubebea maiti aka jeneza, lina kitu humo ndani? Hapo yaweza kuwa 90% ni kabla ya mwili kuwekwa ndani ya box kwa sababu si dereva wala wahusika hawaonekani.
Zingatia pia kupiga picha bila ridhaa ya mhusika ni kosa.
Kama umewahi kusafiri na msiba bhasi utaelewa Huyu dereva amepark hapo Kupata huduma flani then waendelee na safarii na sio Huo uongoo wa kusema aliacha waombolezaji akaenda kuangalia mpiraa ni Uongoo.Taarifa hii haina proof/evidence ya kuthibitisha kwamba hapo ni Sakina Bar.
What if dereva alipaki kwa dharula sehemu nyingine yoyote (tofauti na Bar)? mfano kupata chakula, mahitaji, n.k.
Kwa picha tu hizo, nani anaprove kwamba hapo kweli ni Sakina Bar?
Mtoa taarifa huyo angepiga picha angle zote za eneo hilo kuonesha uhalisia. Pia angechukua kavideo clip ingefaa zaidi.
Kama taarifa hii ni genuine kwa uhalisia kabisa, basi dereva huyo ni wa hovyo sana na hafai kuendelea kuwa mtumishi wa umma.
-Kaveli-
Ulikuwepo eneo la tukio?Kama umewahi kusafiri na msiba bhasi utaelewa Huyu dereva amepark hapo Kupata huduma flani then waendelee na safarii na sio Huo uongoo wa kusema aliacha waombolezaji akaenda kuangalia mpiraa ni Uongoo.
Kama umewahi kusafiri na msiba bhasi utaelewa Huyu dereva amepark hapo Kupata huduma flani then waendelee na safarii na sio Huo uongoo wa kusema aliacha waombolezaji akaenda kuangalia mpiraa ni Uongoo.
Riki boy on the wheeel. Wengine wanapiga mboyoyo tuKama umewahi kusafiri na msiba bhasi utaelewa Huyu dereva amepark hapo Kupata huduma flani then waendelee na safarii na sio Huo uongoo wa kusema aliacha waombolezaji akaenda kuangalia mpiraa ni Uongoo.
Sema chuga bhangiii nyingiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Unaweza kutaaa alienda kugongaaa pisii kabisaaa.Riki boy on the wheeel. Wengine wanapiga mboyoyo tu