Arusha: Hakimu Benson Ngowi(32) anashikiliwa na Polisi kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29

Eti hakimu akaenda kufungua mlango huku mnara uko full?😂😂
 

Kwamba hakimu kagongewa mlango na kaufungua huku akiwa uchi, mashine imesimama na aliyemfunguliwa mlango ni kaka wa dereva boda...

Kwa hiyo ilibidi wasubiri hadi kijana wa bodaboda azinduke, halafu awaambie kwamba uwemba wake una maumivu makali, then ndipo hakimu atiwe nguvuni...

Kuna kitu hakipo sawa kwenye hii stori...huyo mtoa taarifa naye apimwe marinda
 
Hawo walikuwa Wana mahusiano mbona. kaka wa mwathirika ndie alikuwa hajuwi kama wako na mipango Yao. Hii taarifa Ina ukakasi kiasi maana hawo askari walitoka wapi ghafla hivyo.
 
Mawazo yangu: Hakimu alikuwa na uhusiano na mwendesha boda na alishamfanya siku za nyuma. Mwendesha boda ni yale mapunga yanayopandishwa ashki kwa kulewa kabla ya yazibuliwa. Kaka mtu alipata hii taarifa hivyo akafanya mtego. Siku ya siku, hakimu akaanza action kwa kumpa bodaboda safari kama kawaida. Kaka mtu alipotumwa, akajifanya anakwenda lakini akarudi mapema na kusikilizia. Akasikia shughuli imeanza chumbani. Akagonga mlango na hakimu akafungua akidhani jamaa hatajua. Jamaa akaingia na kuita watu ambao alikuwa ameshawaandaa na kumweka hakimu kwenye ulinzi.
 
Hawo walikuwa Wana mahusiano mbona. kaka wa mwathirika ndie alikuwa hajuwi kama wako na mipango Yao. Hii taarifa Ina ukakasi kiasi maana hawo askari walitoka wapi ghafla hivyo.
Kuna mapunga mengi hupenda kunywa pombe mpaka yazimike ndipo yafanywe. Yaani akiwa mzima anaona vigumu kuzibuliwa, hivyo anatumia pombe na kulewa chakari kabla ya action. Inawezekana huyo jamaa wa boda ni mmojawapo, na kaka yake alishajua hivyo akandaa mtego.
 
Hii ni kweli kuna dawa flani mtu akikuwekea kwenye kinywaji unawehuka. Hujui ufanyacho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…