Arusha: Hakimu Benson Ngowi(32) anashikiliwa na Polisi kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29

Arusha: Hakimu Benson Ngowi(32) anashikiliwa na Polisi kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29

Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Loliondo,Benson Ngowi(32) anashikiliwa na jeshi la Polisi katika kituo cha Loliondo,Wasso kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29 mkazi wa Wasso wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha .
Hakimu huyo , ambaye pia ni wakili unaweza kumuona kwenye mfumo wa mawakili, ameacha uwakili hivi miaka ya karibuni na kuwa hakimu.

Kwa mujibu wa chanzo cha Habari wilayani humo,tukio hilo limetokea jana majira ya saa tatu na saa nne usiku nyumbani kwa kijana huyo ambaye hufanyakazi ya kuendesha pikipiki maarufu bodaboda katika eneo la Wasso.

Mtoa taarifa alifafanua kwamba Hakimu huyo ambaye hivi karibuni alihamia kikazi,alionekana majira ya mchana akiwa na kijana huyo na baadaye jioni walienda kunywa pombe nyumbani kwa kijana hiyo ambaye ànaishi chumba kimoja na sebule

Alisema ilipofika majira ya usiku kaka yake na kijana aliyelawitiwa (jina linahifadhiwa) alifika katika nyumbani kwa mdogo wake na kumkuta mdogo wake wakiwa na hakimu wakiendelea kunywa pombe aina ya Safari huku hakimu ndiye aliyekuwa akimnunulia kijana hiyo.

Taarifa inasema kwamba majira ya saa tatu usiku Hakimu alimtuma kaka yake na huyo kijana kwenda kuchukua chakula na wakati aliporejea alikuta mlango umefungwa na kuamua kugonga

"Baada ya kugonga Hakimu alienda kufungua mlango lakini chaajabu alionekama sehemu zake za siri zikiwa Imesimama ndipo kaka yake aliposhtuka na kuamua kuingia chumbani kwa mdogo wake kujua kulikoni na kumkuta akiwa amelala kitandani kifudifudi akiwa utupu hajitambui"alisema mtoa taarifa.

Alisema baada ya tukio hilo aliamua kutoa taarifa kwa watu mbalimbali ndipo hakimu wenzake na mtuhumiw walifika Eneo la tukio na baadaye polisi walikuja na kumkuta kijana hajitambui kitandani na baada ya kumwamsha na kuzinduka alihisi maumivu sehemu zake za haja kubwa ndipo askari hao walipomtia nguvuni mtuhumiwa .

Kijana huyo alipelekwa katika hospitali ya Wasso kwa matibabu na taarifa za daktari zimethibitisha kuwepo na michubuko sehemu za haja kubwa pamoja na mbegu za kiume.

Taarifa zinadai kwamba hakimu hiyo alikuwa na mazoea na kijana hiyo kutokana na kumtuma mara kwa mara ikiwemo kumsafirisha kutoka eneo moja kwenda jingine kwa kutumia pikipiki yake .
Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Justin Masejo alipotafutwa alisema bado hajapata taarifa ila anafuatilia tukio hilo na atatoa taarifa.
Mambo yenu ya kilevi na kishetani wala hayafai kuletwa kwenye jukwaa hili.
Nyinyi walevi hakuna uchafu ambao ni ajabu kuufanya kwenu.
Tokeni zenu hapa.Ndio maana adhabu zenu kwa waislamu ni kali sana ili kusiwe na hadithi za kijinga jinga kama hizi.
 
Mkuu!
Hapana mimi nitasema hapana..
Hii kitu inatia mashaka sana
Kuanzia ilivyokuwa mpaka ilivyotokea..

  • Swali La kwanza....
Kwanini kaka yake alipofunguliwa Mlango alimuangalia Hakimu moja kwa moja Sehemu zake za siri na sio sehemu nyingine..?

Na alishtuka alipoona sehemu zake za Siri zimesimama na hapo hapo akakimbia kwenda kumuangalia Mdogo wake ..Hii mantiki haiingii akilini Kabisa kipi kilimfanya Yeye ahisi Mdogo wake kafanyiwa kitendo hicho maana Kusimamisha kwa mwnaume Kunaletwa na mambo mengi na sio Lazma kufanya kwanini moja kwa moja amfikirie mdogo wake tena mwenye miaka 29 baada ya kuona hakimh kasimamisha?


  • Swali la 2....
Mtoa taarifa anasema Kuwa yeye ni kaka Yake na yule jamaa (Mlawitiwa) Alikuwa anaishi kwenye chumba kimoja na aliishi peke yake..
Kaka yake hakuwa na Pa kuishi? Alienda kufanya nini Usiku wa Saa tatu nyimbani kwa mdogo wake?


  • Swli la 3
Kumkuta Mdogo wako.kalala Ndani uchi, Na kumkuta Hakimu sebuleni Kasimamisha haisuggest kuwa huenda hakimu Alimfanyie kitu mdogo wake..Labda kama kuna Ushahidi mwingine uliomfanya Yeye kuita watu na kumfanyia ukagusi Mdogo wake..

  • swala la 4
Kuwepo kwa michubuko Haja kubwa pekeee hakujustify kwamba kabakwa au kalawitiwa ..

I Think kuna kitu Beyond Our understanding..
lets Just kukichimba..
Na ili ukipate hicho kitu fatilia Miondoko ya hakimu fatilia Kesi zote alizoamua..

Fuatilia kama Kuna ugomvi wowote aliokuwa nao na jamii fuatilia Kama kuna kesi aliyowahi kuiamua Ilikuwa Against serikali.na akaaendelea kushika misimamo yake fuatilia Tabia zake..
Kama hakuwa na Viashiria vyovyote vya matukio hayo hapo.awali BHASI JIBU NAFIKIRI UNALO
Kwakweli maswali mengi sn haiingii alilini
 
Jamaa mbooh imesimama akafungua mlango,,, kaka mtu akaogopa akaenda kuita watu.... Watu wakaja wakamchomoa ndani wakili msomi na akavuliwa shati na suruali akabaki na boxer huku mbooh bado imesimama
 
Unaposema hakuna kesi unamaana gani mkuu? Kwamba wanaume kuingiliana kinyume na maumbile sio kosa?
Mkuu,unakuwa mgeni na kesi kama hizi nchi hii
Kuna watu walisokomezwa chupa ikaisha,kuna yule kule zenji tena alikuwa anafilw live kaachiwa
Huko zenji nako yule jamaa anaitwa kringo alikuwa anamlawiti sana dogo
Kaachiwa
Moshi au arusha kna mfanyakazi wa benki nayo alikamTwa kwa issue hizi za kumla mtaro jamaa kaachiwa
Kesi zote zina8shia juu kwa juu
Ndomana nasema hii kesi huko mbeleni itaisha juu kwa juu

Ova
 
Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Loliondo,Benson Ngowi(32) anashikiliwa na jeshi la Polisi katika kituo cha Loliondo,Wasso kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29 mkazi wa Wasso wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha .
Hakimu huyo , ambaye pia ni wakili unaweza kumuona kwenye mfumo wa mawakili, ameacha uwakili hivi miaka ya karibuni na kuwa hakimu.

Kwa mujibu wa chanzo cha Habari wilayani humo,tukio hilo limetokea jana majira ya saa tatu na saa nne usiku nyumbani kwa kijana huyo ambaye hufanyakazi ya kuendesha pikipiki maarufu bodaboda katika eneo la Wasso.

Mtoa taarifa alifafanua kwamba Hakimu huyo ambaye hivi karibuni alihamia kikazi,alionekana majira ya mchana akiwa na kijana huyo na baadaye jioni walienda kunywa pombe nyumbani kwa kijana hiyo ambaye ànaishi chumba kimoja na sebule

Alisema ilipofika majira ya usiku kaka yake na kijana aliyelawitiwa (jina linahifadhiwa) alifika katika nyumbani kwa mdogo wake na kumkuta mdogo wake wakiwa na hakimu wakiendelea kunywa pombe aina ya Safari huku hakimu ndiye aliyekuwa akimnunulia kijana hiyo.

Taarifa inasema kwamba majira ya saa tatu usiku Hakimu alimtuma kaka yake na huyo kijana kwenda kuchukua chakula na wakati aliporejea alikuta mlango umefungwa na kuamua kugonga

"Baada ya kugonga Hakimu alienda kufungua mlango lakini chaajabu alionekama sehemu zake za siri zikiwa Imesimama ndipo kaka yake aliposhtuka na kuamua kuingia chumbani kwa mdogo wake kujua kulikoni na kumkuta akiwa amelala kitandani kifudifudi akiwa utupu hajitambui"alisema mtoa taarifa.

Alisema baada ya tukio hilo aliamua kutoa taarifa kwa watu mbalimbali ndipo hakimu wenzake na mtuhumiw walifika Eneo la tukio na baadaye polisi walikuja na kumkuta kijana hajitambui kitandani na baada ya kumwamsha na kuzinduka alihisi maumivu sehemu zake za haja kubwa ndipo askari hao walipomtia nguvuni mtuhumiwa .

Kijana huyo alipelekwa katika hospitali ya Wasso kwa matibabu na taarifa za daktari zimethibitisha kuwepo na michubuko sehemu za haja kubwa pamoja na mbegu za kiume.

Taarifa zinadai kwamba hakimu hiyo alikuwa na mazoea na kijana hiyo kutokana na kumtuma mara kwa mara ikiwemo kumsafirisha kutoka eneo moja kwenda jingine kwa kutumia pikipiki yake .
Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Justin Masejo alipotafutwa alisema bado hajapata taarifa ila anafuatilia tukio hilo na atatoa taarifa.
Aisee.

Bodaboda ni laana.

Yaleyale ya chamazi bodaboda kulawitiwa na mzungu.
 
Akagonga mlango na hakimu akafungua akidhani jamaa hatajua. Jamaa akaingia na kuita watu ambao alikuwa ameshawaandaa na kumweka hakimu kwenye ulinzi.

Kwa hiyo ndio Hakimu afungue mlango akiwa hana chupi na mashine kadindisha...
 
Back
Top Bottom