Arusha: Hukumu ya kesi inayomkabili Lengai Ole Sabaya imeahirishwa hadi Oktoba 15, 2021

Arusha: Hukumu ya kesi inayomkabili Lengai Ole Sabaya imeahirishwa hadi Oktoba 15, 2021

Huyu watamuavhia nadhani kuna.kiti hatuijui kumpeleka mahakamani. To me wanataka kumsafisha for more madaraka in days to come
 
Wanajukwaa nawasimu,

Hongereni kwa kuendelea kuchapa kazi na kulijenga Taifa letu.

Kama nitakuwa ninakumbuka vema, ilisemwa tarehe ya leo (1/10/2021) Ni siku ya hukumu ya Kesi ya Lengai Ole Sabaya ( Kesi ile ya mwanzo).

Je kumbukumbu zangu ziko sawa?.

=========

Mahakama ya hakimu mkazi Arusha inatarajia kutoa hukumu katika kesi ya Unyang'anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai ole sabaya na wenzake wawili.

Sabaya na wenzake wanatuhumiwa kutenda makosa hayo February 9 mwaka huu katika duka la Saad store linalomilikiwa na Mohamed Saad lililopo katikati ya jiji la Arusha wakidaiwa kuvamia na kupora wakitumia silaha.

Kesi hiyo iliendeshwa mfururizo takribani siku 35, mbele ya hakimu mkazi mwandamizi Odiro Amworo kutoka mkoani Geita, ambapo upande wa serikali uliwasilisha mashahidi 11 na vielelezo kadhaa, hivyo Leo kesi hiyo inatarajia kufikia tamati kwa kutoa hukumu kwa washtakiwa hao watatu .

Washtakiwa wengine wanaotarajiwa kuhukumiwa hapo kesho ni Silvester Nyegu na Daniel Mbula

2948393_FB_IMG_1628770975220.jpg
Tayri imeota mbawa..
Imeahirishwa hadi 15/20/2021
Hapo ndipo huwa nachoka mahakimu wetu.
Au hukumu ina andikiwa kutoka juu??
 
Nasikia kesi ya Sabaya imehairishwa, ukiona hivi ujue kashinda kunakuwa na kigugumizi kutoa uozo kuhofia reaction ya watu........ wana beep ili watu waanze ku absorb shock taratibu maana watakuwa wameshakuwa sensitized kuwa the unlikely is happening
 
Tayri imeota mbawa..
Imeahirishwa hadi 15/20/2021
Hapo ndipo huwa nachoka mahakimu wetu.
Au hukumu ina andikiwa kutoka juu??
Msaada Mkuu,

Sijaelewa imeahirshwa Hadi lini vile....!
 
Nasikia kesi ya Sabaya imehairishwa, ukiona hivi ujue kashinda kunakuwa na kigugumizi kutoa uozo kuhofia reaction ya watu........ wana beep ili watu waanze ku absorb shock taratibu maana wameshakuwa sensitized kuwa the unlikely is happening
Arudishwe Hai akapinge kazi DC makini Sana kule mbowe analiwa mvua ya kutosha

USSR
 
Kwanini lakini baadhi yenu mnatumia neno H mbele ?
Inakera kwa mtu anaejua kusoma na kuandika halafu unaandika kwa makusudi kabisa

Au ni lugha mpya
 
Kada mwenzako huyo

Kada akiwa jinga kiwango cha Sabaya sio kada kabisa, hata CCM haimtaki milele, huyo ni jambazi. Ujue hadi anafikishwa mahakamani ni kwamba CCM na Serikali yake ndio imempeleka, utaona jinsi CCM na Serikali yake ilivyomkataa na kumtia adabu, na hii case ni funzo kwa makada wengine wanaodhani ukiwa CCM utajifanyia kufuru ya madaraka, na ikumbukwe ni serikali ya CCM iliyompeleka mahakamani na inayomtia adabu Sabaya.

Huyo sio kada wa CCM, ni jambazi alijificha kwa ukada wa CCM. CCM haina wapuuzi wa hivi naapa. Asulubiwe, asulubiwe goligota kabisa.
 
Kwanini lakini baadhi yenu mnatumia neno H mbele ?
Inakera kwa mtu anaejua kusoma na kuandika halafu unaandika kwa makusudi kabisa

Au ni lugha mpya
sijakupata, kwenye Hairisha? sijui kama ni hivyo nawambia mods warekebishe.. aishisha au hairisha, more eleboration please
 
Viifurushi Bei ndogo sana,
kuanzia GB 85 Miezi 3 Hadi GB 390 kwaMiezi 12, kukiwemo na dakika zakumwaga mitandao Yote,
Pia Nakuunga na vifurushi vya AZAM Tv MIEZI 3
DSTv MIEZI 3
STARTIMES MIEZI 3
UNAPATA CHANEL ZOTE KWA PAMOJA

PIA TUNAHACK MESSAGE & CALL

WhatsApp

+1360-351-4868
Wewe jamaa unatafuta ban kwa kasi sana

USSR
 
Wenye bar Hai wekeni stock yakutosha, dogo alilamba mvua za kutosha mtauza sana.
 
Hii kesi ya kupora elfu 35 analipa fidia tu lakini ile ya uhujumu uchumi amelala yooo
 
Back
Top Bottom