Huyo mtu kashikiliwa tangu may 25 mpaka leo. Waliomshika wanazo data nyingi ambazo akina sisi hatuna.Kumtia hatiani mbakaji pia unatakiwa ushahidi uliojitosheleza.
Na hii list imebeba damu sana mikononi mwao.Mnyeti, Ndugai, Mwigulu, Hapi na wapuuzi wengine
Watu wamechafukwa mkuuHahaa aisee.
Alichokosea badala ya kuipigania Tanzania ye akawa anaipigania CCM,ukiipigania CCM lazima uharibu tuNaona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Kwakuwa aliwaaminisha kuwa ukatili unalipa. Aliwahi kutamka hadharani kuwa yeye huwa hajaribiwi. Yuko wapi sasa? Angalia alvyowaachia wafuasi wake mateso makubwa.jamaa anatamani JPM afufuke hata sahizi
Hili liugonjwa mi nilikuwa nishahisi tuu..kuwa litafanya makubwa na kushangaza ulimwengu huu[emoji848]Corona ishukuriwe
It's not your faultNilikuwa napenda ile rangi na urefu aisee sikuwa na faili lake.
Sina hamuuuu.
Duh!Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Saa mbovu yenyewe inasemaje Chalii ya Arusha?Baby love umeniangusha sana. Yani ulikuwa unamzimia saa mbovu?
Mahips naye sifa hiyo hiyo ... kulikoni? au ...Sabaya alikuwa jambazi halafu ni shoga// Ilo wengi hawalijui
Mnnh hapana. CV mbovu kabisahaha kumbe ublack beauty pekee hautoshi?
Kabisa mkuuuKuna watu unaweza kukuta huko makazini kwao nao pia wanapiga hela ambazo sio za halali au hata kudhulumu watu ila na wao wapo kwenye hii thd wakishangilia mwenzao kupatikana na misuko suko!
Kila mtu ajitizame,je yeye ni msafi? Kabla ya kumnyooshea mwenzako kidole hakikisha kwanza wewe vidole vyako ni visafi.
Kila mtu atavuna anacho panda,kama sio hapa Duniani basi ni mbinguni siku ya hukumu.
Mbona wazee wa escrow walichuchumaaHii Kuchuchumaa pia ipo kwenye sheria ?
Sio kwamba namtetea jamaa ila two wrongs does not make a right...., Huyu Jamaa adhibitiwe na kuhukumiwa kisheria na ikibainika sio tu kwamba achuchumae hata kama sheria inasema apigwe bakora na apigwe..., ila kabla ya hapo nadhani hii ni wrong precedent
Go hang yourself..Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
You must be sick upstairs....Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.