Ajaye
JF-Expert Member
- Sep 25, 2020
- 330
- 616
Hilo ndilo gari lililomtoa mahabusu yeye na wenzake mpaka mahakamani? Ndivyo watuhumiwa wote hua treated hivyo?
Okay, sio mbaya, kubwa zaidi watanzania tunataka haki itendeke, na moja kati ya vitu vioneshavyo mahakama kutenda usawa pasi na upendeleo ni pale ambapo kunakuwa na nafasi ya kuweza kutabiri matokeo ya hukumu kwa kesi husika.
Hili pia liwe fundisho kwa viongozi hasa vijana kwamba cheo ni dhamana tu.
IFANYE TANZANIA KUWA YA AMANI
Okay, sio mbaya, kubwa zaidi watanzania tunataka haki itendeke, na moja kati ya vitu vioneshavyo mahakama kutenda usawa pasi na upendeleo ni pale ambapo kunakuwa na nafasi ya kuweza kutabiri matokeo ya hukumu kwa kesi husika.
Hili pia liwe fundisho kwa viongozi hasa vijana kwamba cheo ni dhamana tu.
IFANYE TANZANIA KUWA YA AMANI