Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Hilo ndilo gari lililomtoa mahabusu yeye na wenzake mpaka mahakamani? Ndivyo watuhumiwa wote hua treated hivyo?

Okay, sio mbaya, kubwa zaidi watanzania tunataka haki itendeke, na moja kati ya vitu vioneshavyo mahakama kutenda usawa pasi na upendeleo ni pale ambapo kunakuwa na nafasi ya kuweza kutabiri matokeo ya hukumu kwa kesi husika.

Hili pia liwe fundisho kwa viongozi hasa vijana kwamba cheo ni dhamana tu.

IFANYE TANZANIA KUWA YA AMANI
 
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Alichokosea badala ya kuipigania Tanzania ye akawa anaipigania CCM,ukiipigania CCM lazima uharibu tu
 
jamaa anatamani JPM afufuke hata sahizi
Kwakuwa aliwaaminisha kuwa ukatili unalipa. Aliwahi kutamka hadharani kuwa yeye huwa hajaribiwi. Yuko wapi sasa? Angalia alvyowaachia wafuasi wake mateso makubwa.

Yaani Saambaya leo anaamkia lupango bila kuchana nywele wala kunawa uso badala ya Gran Melia pembeni akiwa na Binti Mrembo?? Ndugai kama una akili jifunze kitu hapo. Acha kiburi cha madaraka.
 
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
Duh!
 
Kuna watu unaweza kukuta huko makazini kwao nao pia wanapiga hela ambazo sio za halali au hata kudhulumu watu ila na wao wapo kwenye hii thd wakishangilia mwenzao kupatikana na misuko suko!


Kila mtu ajitizame,je yeye ni msafi? Kabla ya kumnyooshea mwenzako kidole hakikisha kwanza wewe vidole vyako ni visafi.

Kila mtu atavuna anacho panda,kama sio hapa Duniani basi ni mbinguni siku ya hukumu.
Kabisa mkuuu
 
Hii Kuchuchumaa pia ipo kwenye sheria ?

Sio kwamba namtetea jamaa ila two wrongs does not make a right...., Huyu Jamaa adhibitiwe na kuhukumiwa kisheria na ikibainika sio tu kwamba achuchumae hata kama sheria inasema apigwe bakora na apigwe..., ila kabla ya hapo nadhani hii ni wrong precedent
Mbona wazee wa escrow walichuchumaa
 
Naona hii itakuwa habari njema sana kwa wafuasi wa Mbowe.
Sasa watachekelea utafikiri jimbo la Hai watalipata tena.
By the way, Sabaya alipaswa kupewa tuzo ya heshima na CCM na siyo kushtakiwa. Huu ni usaliti kwa mpiganaji kama huyu.
You must be sick upstairs....
CCM ndo ilimtuma...??
Nyie ndo wale akina uvccm waliosema safari hii Lissu haponi mtatumia sindano...
Era ya katili mwenzenu gone . ..
Malipo hapa hapa duniani
 
Back
Top Bottom