Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

Wasiwasiwa gu asijinyonge TU mahabusu
Kamahaliile ajahukumiwa akihukumiwa atajinyonga

#kingsabby hahahaha
 
Binafsi naona hizi ni kama Speculations na Negativity Conspiracies bila Tangible evidences against Huyu jamaa
Nakubaliana na hili.

Maana humu mitandaoni kuna watu wa kila aina.

Mwingine hata akinyimwa unyumba na mkewe anakuja kufokea watu mitandaoni.

So many lunatics on internet.
 
Hili liwe fundisho kwa kila MTU.
Hiyo nafasi uliyo nayo kumbuka umepewa na MUNGU ili uwasaidie watu wake. Sasa ole wako utumie nafasi hiyo kuwanyanyasa watu wake, hakika wakimlilia MUNGU hutokosa adhabu. NI heri ulaumiwe kwa ajili ya haki kuliko kushangiliwa kwa ajili ya kudhulumu Kama Sabaya.
Na alaaniwe yeyote amtegemeaye mwanadamu na huku moyo mwaka qmemwqcha MUNGU.
 
Sabaya yupo mikononi kwa watu sahihi hilo halina ubishi lakini serikali aitakiwi kupeleka vinywaji kwenye sherehe ya walioumwiza.

Jukumu la serikali ni kumchukulia hatua za kisheria, sio kutengeneza mazingira ya kumdhalilisha kama kwenye hizo picha.
unamjua Lugemalira? Singh yule Singa? unajua utaratibu wa mahakamani hapo wewe ukiwa mtuhumiwa wewe? yaani unataka kujustfy wananchi wa kawaida wakiwa wanapelekwa mahakamani huwa wanaonewa>?? kupigwa pingu na kichura chura chuchumaa chini? Tafadhali let us be impartial tusiweke hisia, mchizi namjua vizuri sana movie zake tangu SJUT ila kwa sasa tunapiga kimya mamlaka ifanye kazi yake.
 
Inawezekana alijifanya mchapakazi ,na akatumia kitu km mwavuli wa kufichia maovu.
 
Mimi nahisi kuna chuki binafsi kuanzia kwenye uongozi wa juu..sio bure...kwa sababu kwa namna linavyoengelewa hili swala na ushaidi uliopo haviendani kabisa...mimi sijawahi kuona clip akimnyang'anya mtu pesa au kuvamia nq kuiba
 
Fuatilia hanari,amesomewa mashtaka sita,ikiwamo uhujumu Uchumi,Rushwa,na unyang'anyi wa kutimia silaha
Halafu si nilisikia siku moja kwamba haya mashitaka ya uhujumu uchumi huwa ni ya kubambikizwa!? — Mpaka Samia akataka watuhumiwa wote waachiwe huru.

Na wengi wenu mlikuwa mnalalamika humu kiasi kwamba mkataka Biswalo afukuzwe kazi!

Au neno kubambikizwa huwa linategemeana na muktadha?

Akibambikizwa hasidi wako ni sawasawa, ila wakibambikizwa nduguzo inakuwa si sawa?
 
Kwa muda sasa nimekuwa nikisikia tuhuma mbalimbali zikielekezwa kwa huyu mtu anayeitwa Ole Sabaya — Mkuu wa Wilaya ya Hai (by then).

Sijui ni ugoigoi wangu huu ama elimu duni niliyonayo inayonifanya nisielewe hasa kiini cha jinamizi linalomuandama huyu mtu?

Mwanzoni, nilikuwa namfahamu sabaya kama Kijana jasiri, shupavu, anayejiamini, na aliyefanya kazi chini ya falsafa madhubuti za Rais Magufuli za uchapa kazi na uwajibishaji wa mafisadi yaliyoitafuna nchi hii.

Kwa kadiri ya vyombo vya habari vilivyomripoti, alikuwa anaonekana ni kiongozi anayeshughulikia ujambazi kwa wakati mwingi - eg, ukamataji wa madawa ya kulevya, mabangi, fedha bandia nk...

Zaidi ya yote, alionekana ni kiongozi aliyehusika kwa kiwango kikubwa kukipaisha chama cha mapinduzi na kukiweka kwenye chati, huku akiwashughulikia wapinzani kwa namna za hapa na pale.

Hivi karibuni, baada ya Rais Magufuli Kufariki dunia, huyu Kijana amekuwa akizongwa na majinamizi yaliyoibuka kutoka pasipojulikana.

Kuna wale majasusi wa twitter (wenyewe wanaitwa Twirrah) ndio walikuwa vinara wa kuibua shutuma na tuhuma za hapa na pale.

Ukiachana na hawa majasusi uchwara wa twirrah, kulikuwa na jopo kubwa la multiple ID's Jamiiforums na kwenye mitandao mingine ambazo zilikuwa zinamuandama mpaka hapo aliposimamishwa kazi na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Hizi tuhuma za mitandaoni, kwa bahati mbaya, hazina ithibati yoyote.

Mimi binafsi huwa napenda kufuatilia mambo na kujiridhisha pasipo shaka kuhusu ukweli na uhalali wake. Sipendi kurukia rukia tu habari.

Kuna majasusi wengine kutoka twirrah wanasema sabaya kabaka wanawake mia mbili. Wengine wanasema sijui kalawiti makada wa chadema.

Stori zimekuwa nyingi sana bila ushahidi kuwekwa hadharani. Kila mtu anaibuka na lake.

Zamani nilisikia pia hata humu kuna majasusi (wanaitwa sijui TISS?) — Ningefurahi kama wangetujuza kwa hakika kuhusu tatizo alilonalo huyu mtu wa kuitwa Sabaya.

Kwa sisi wenye akili duni zisizoweza kuchambua mambo kwa ufasaha tumebaki kwenye mshangao bila kuelewa ni nini hasa tatizo!

Tunaangalia tu huko twirrah kila mtu anasema lake.
Wewe ni mwendawazimu, hebu tulia acha kutetea ujinga
 
Kumfikisha mahakamani na pingu, ni kumdhalilisha tuu bure!.
P
Kifo cha mama Kabendera kitakutafuna milele
 
Hili liwe fundisho kwa kila MTU.
Hiyo nafasi uliyo nayo kumbuka umepewa na MUNGU ili uwasaidie watu wake. Sasa ole wako utumie nafasi hiyo kuwanyanyasa watu wake, hakika wakimlilia MUNGU hutokosa adhabu. NI heri ulaumiwe kwa ajili ya haki kuliko kushangiliwa kwa ajili ya kudhulumu Kama Sabaya.
Na alaaniwe yeyote amtegemeaye mwanadamu na huku moyo mwaka qmemwqcha MUNGU.
... na ukiwa mtenda HAKI huwezi kulaumiwa labda na dhulumati na lawama za dhulumati ni BARAKA! Tenda HAKI ubarikiwe duniani na Mbinguni!
 
Back
Top Bottom