Umezaliwa lini wewe Gaidi?Wauane wenyewe Kwa kugombania Zao sadaka lawama waje wawape waislam hao?mlipuko Gani wa kigaidi usiue hata MTU?Hilo kanisa lenyewe lililoripuliwa halioneshi hata hiyo dalili.
Gaidi lingine hili zoba. Kule Zanzibar Uislamu umefanya Nini?NICE COMMENT FROM YOU,NIMEIPENDA SANA...
I WILL PUT THIS ALL IN THE SHORTEST TERM KNOWN TO ME,KITU KIZURI NDIYO DAIMA HUPIGWA VITA...
LINI UKRISTO UMEKUWA IMARA KUPINGA KAMARI??LIN UKRISTO NA IMAN ZINGINE ZIMEKUWA IMARA KUPINGA RIBA,POMBE NA ZINAAA NA KADHALIKA??
UISLAM UKIINGIA UKAWEKA SHARIA LAZIMA HIVYO VITU VIPOTEE,NANI ATAKUBALI SUALA HILO??
Hiyo kesi inaangukia kesi za ugaidiKulipua jengo la kanisa ni uhaini? Au hujui uhauni ni nini?
we kweli kichwamchunga.Papa akirasimisha ushoga kwa wakristo shida inakuwaje kwako muislam?
Lini umemsikia Padre au Pastor akisema Muhammad siyo mtume wa Mwenyezi Mungu japo ukristu haumtambui?
Uungu wa Yesu kwa wakristu una athari gani kwa uislam?
Kwa nini msipractice dini yenu kwa amani huku mkiheshimu imani za watu wengine na haki zao za kuishi?
Ina maana dini yako haiwezi kustawi bila kishambulia imani za wengine!
Uislam na Ugaidi ni dam damHv waislamu akili huwa wanapeleka wapi.... Waislamu wengi naona hawajaguswa na huu ushetani. Content ya uislamu naanza kuitilia mashaka seriously
mfano Nguza mbangu na wenawe walikuwa wanatumikia kifungo Cha maisha lakini wakaachiwa kwa msamaha wa RaisUmefuatilia msamaha wa Rais juzi kwenye maadhimisho ya miaka 62 ya uhuru ?
Rais alitoa msamaha kwa wafungwa 263 ambao waliachiwa huru
Wafungwa wawili waliohumukumiwa kifo walibadirishiwa adhabu na kuwa kifungo cha maisha jela. Na wafungwa 1979 walipunguziwa adhabu.
Unasemaje Rais hana mamlaka ya kumbadilishia mfungwa adhabu ?
naam reffer Abdala Zombe and Christopher Bageni vs State, with those mine dealers from MahengeMkuu kuhusudia kuua na kuua sio kitu kimoja na adhabu yake haiwezi kua moja.
hekaya za Abunuwasi hizo,aliuawa mchana kweupeHuyu alikuwa akiwa anaenda kuonyesha silaha akataka kuwapiga Jeet Kune Do maaskari.
Adhabu ya kunyongwa ipo na inatekelezwa na Rais anasain vizuriHanyongwi mtu hapo, katazame video clip post namba 33.
Wacha papara.
Hao jamhuri ndo imewahukumu Sasa sijui ni lini jamhuri inataonja umautiHata na hao waliowahukumu kunyongwa pia wataonja umauti.
Ipo Sema haitangazwi.Tanzania hakuna hukumu ya kifo , ni porojo tu
Nafahamishwa unyongwaji ni ule wa kamba kwa mujibu wa sheria.Hanyongwi mtu hapo, katazame video clip post namba 33.
Wacha papara.
Hata na hao waliowahukumu kunyongwa pia wataonja umauti.
Chamsingi wametuonesha njia, na mbegu waliyopanda haitapotea Bure daima. Amin
Kwamba jamhuri sio viumbe hai?Hao jamhuri ndo imewahukumu Sasa sijui ni lini jamhuri inataonja umauti
Wewe unajuwa utakufa kwa kifo gani?Acha kujifariji[emoji28] watu wanakufa natural death. Hao wanakufa kwa kunyongwa mpaka kinyesi kiwatoke masheikh