Elimu ya waandishi wengine wa habari pamoja na lema ni ya mashaka sana;
Kuwa DETAINED ni kitu cha kawaida sana, tofautisha kuwa DETAINED na kuwa ARRESTED, lema hapa kwa uwasilishaji wake wa habari ni kuwa wako ARRESTED, Mungu atarndelea kukulaani Lema mpaka akili itakapokukaa sawa! Upotoshaji wako si wa nchi hii.
usiingize serikali na nyumbani, nyumbani ni nyumbani na serikali ni serikali, hivyo usifananishe serikali na nyumba ya mtu e1. cocochanel, ndio yale ya palamagamba ooh Uingereza na Israeli hawana katiba, usiige kutoka kwa flani, fanya wewe kama wewe, kuiga kwingine hakuna manufaa, nimekupa mfano tu, ila sikutaka kuingiza hili suala, manake nyie kijani kila kitu siasa na kuiga mumeweka mbele badala ya utashi, nyumba huwezi ilinganisha na serikali hata siku 1, wewe kwenu unajikata kodi, serikali inakata kodi na imeweka pesa kwa maafa kama hayo, au unadhani lile gari kupinduka ilipangwa itokee hivyo, kuweni na moyo wa huruma cocochanel linapofika suala la jamii, weka siasa pembeni
Nimejuta kusoma post kwa upuuzi uliojaza humo. Waliofiwa ni zaidi ya familia 30 na zote zilikuwa na uhusiano na SHULE husika na kuwa marehemu aidha walikuwa wanafunzi, walimu au watumishi wa shule hiyo. Wafiwa walikuwa na mazoea ya kufika shuleni hapo hivyo ni mazingira waliyozoea kwa hiyo ni rahisi kukusanyika hapo kuliko kutafuta mfiwa mmoja mmoja. Waliopeleka rambirambi unaambiwa ni umoja wa wamiliki wa shule binafsi mkoa wa Arusha. Ulitaka wafanye nini zaidi ya kuwakusanya wafiwa pamoja na kuwapa pole kwa pamoja? Mbona siku ya kuaga miili ya marehemu watu walikusanyika Sheikh Amri Abeid na sikukusikia ukipendekeza kila mtoto akaagiwe kwao? Uwe unashirikisha akili kabla hujaanza kucomment.
waliochanga hawakuchanga kwa ajili ya catering, zimechangwa kwa ajili ya vijana wote walikatishwa maisha yao na lile basi. nyie si mnakata kodi zetu pelekeni huko kwenye catering, ungeona kama watu wangepiga kelele, ama kweli kufa kufaana,
sasa mbona unaiongelea?? Au hujui ukisemacho?? Au mnafiki kama wengine unasema huku humaanishi??Sikuhizi nilishachoka kuiongelea tanzania, maaana hii nchi inamambo ya ajbu ajabu kila kukicha,
umasikini unaongezeka kila siku, sioni nafuu ya maisha naona wengi tuko vile vile, watanzania kama tumekosa direction, siasa imetawala kila kitu, chuki visasi na majungu yamekua makubwa!!! Nchi inakokwenda haijulikani!!!
Si upinzani wala si watawala wa sasa naona kama wanasuluhu ya matatizo yetu!!! Unafki mwingi, uzalendo wa kweli hakuna!!!! Watu hawaridhiki, hofu ya maovu haipo, ni tabu tupu!!!
Ningekua nauwezo ningelifutilia mbali taifa hili!!! "
anaendelea kumpigia magoti patel amuajiri..muhindi una faida kwake unapokuwa na madaraka ya kumuwezesha kukwepa kodi,short of that hana habari nawemkuu sijui huu ubuyu. Magesa amefanikiwa kupata kazi kwa Shubash au ameendelea kuwa miongoni mwa vijana wasio na ajira
Shida ya CCM ni kutetea hata kilicho ozaMsiba ulikuwa wa kitaifa. Sasa hawa wenzetu vipi au wanabip,
Gambo Fanya Nazi yako hapa Nazi tu cyo kutafuta kiki,
Hao waandishi hawajajuwa kama msiba in wataifa zima weka ndani.
Hao viongozi was dini ndo walewale pia weka ndani na huyo meya kesho mahakamani.
Shida ya chadema ni kuponda hata chenye faida kwa taifa.Shida ya CCM ni kutetea hata kilicho oza
.Nenda kawape Pole wazazi walofiwa wewe unaenda kuhani msiba nyumba isiyofiwa? Ukiitwa mwanga utakataa?
Ndo utawala tulioutaka, kama una kumbukumbu hata dj alisema anamtaka Magufuli type!Tuliposema utawala wa Magufuli ni wa kidikteta kuna watu waliona kama tunatania.
Chenye faida kwa taifa ni kipi katika sakata hili?Shida ya chadema ni kuponda hata chenye faida kwa taifa.