ARUSHA: Meya, wamiliki wa shule, paroko na Waandishi, wakamatwa na Polisi Shuleni, wanyimwa dhamana

Hii ni aibu kubwa sana sasa watu wakikusanyika kwa nia ya kusaidia kuna shida gani???
 
Ila na ninyi mmezidi uchokozi, sasa ndio nini kwenda kutoa direct wakati ilishatangazwa Rambirambi zote lazima zipitie kwa wateule? Mnategemea wao watapata posho wapi?

Hapa Rambaramba tu.
 
Sihitaji kuamini ama kuhoji your level of understanding and reasoning, make kuna comment zako naziona haieleweki kabisa, mara unadai eti Lema abanwe aeleze ni namna gani atawasadia wafiwa na majeruhi kulipwa kwa kile unachodai gari haikuwa na bima, Lema anabanwa kwa lipi au kwa kipi?

Lema ni vehicle Inspector? Lema alikuwa turafiki wa zamu barabarani wakati na saa gari inaondoka Arusha? Lema alikuwa transport Coordinator wa Lucky Vicent? Lema ni HSSE Manager wa Lucky Vicent? Lema ni HSE Manager wa Luck Vicent? Lema HSSE & HSE Advisor ( Lead) wa Luck Vicent? kama majibu yote hayo ni hapana JF siyo jukwaa sahihi kwako.
Kuna watu ambao wanapaswa kuwajibika kwa hili na wala siyo Lema, weka itikadi yako pembeni jikite kwenye utaalam zaidi na nini cha kufanya ili kuepuka haya yasijurudie tena mbeleni.

Kwa mmiliki hapo hakwepi kubanwa lakini siyo kama wewe unavojaribu kumdraw Lema ktk hili:-
Kwa kukusaidia unapoplan route yoyote ile lazima maswali yafuatayo yapate majibu
1. Ikiwa kuna viashiria vya kuhatarisha usalama au matatizo yoyote ya kiusalama, Je kitengo cha usalama kiruhusishwa kabla ya kuanza safari?
2.Je maeneo yale yenye kuhatarisha usalama yalikuwa Identified kwa kutumia road hazard assessment?
3.Je kulikuwa na tool box talk kwa ajili ya kuandaa madereva wataoendesha hayo magari yaliobeba hawa watoto?

USALAMA
Yafuatayo yalipaswa kuzingatiwa:-
Hali ya usalama kutegemeana na hali ya hewa
Matatizo yanayofahimika kuhusu barabara iliyopaswa kutumika

HALI YA BARABARA
Ni lami au changarawe?
Je kuna miinuko,kona, kuvuka mito au kutoka nje ya barabara

MUDA WA DEREVA KUPUMZIKA
Je dereva alikuwa amepata muda wa kupumzika usiopungua saa 8 ndani ya masaa 24?

Ukizingatia hayo utaona ni nani anapaswa kubanwa, atakuwa ni mwendawazimu tu atakayefikiria kuna sehem Lema anapaswa kubanwa. Karibu.
 
Mara nyingine unahisi ni movie ya kichina unajipa moyo itaisha. Haya madaraka ya kulevya nahisi kilevi kimezidi.
 
Ukiona MTU anatumia sana vyombo vya dola hata kwa mambo binafsi utambue huyo ni kilaza alias bashite !!
 

Walienda kuona watoto au wazazi??Maana watoto bado wako likizo au CCM hajui hilo??

Laana ya kula Rambirambi imewaingia.
 
Safi sana.huu ndio ukweli.
 
Hivi hao wauaji wa huko kibiti wamepewa special order ya eneo hilo tu Au wanaweza Fika Na mikoa mingine Na wanaoisoma namba ni wengine Au Na wale
 
Unajifanya unachangia kama una busara vile, lakini sio kweli. Wewe unasumbuliwa na mahaba ya chama yaliyoambatana na ufinyu wa uelewa. Jaribu kutumia muda mwingi kusoma na kutafakari hizo hisia zako weka pembeni
 
CCM wamefikia hatua ya kuzuia Watanzania kuhani misiba? Dah, kweli tunaongozwa na machizi
 
Wazazi mbona hawakukamatwa au wao hawakukusanyika nao hao waliokamatwa????laana zinanza kupanda taratibuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…