Si angeacha kazi kama alivyoiacha kwa njia hii Ila angekua na familia yake?Daaah kaacha msalaba mzito sana naeza kuamini higo sababu yq mke kazini kumekua na chuki sana maofisini fitina,majungu,chuki na dharau zimejaaa
Mbona ni jambo la kawaida.Duu miaka 50, ana mtoto mchanga!!!!
Mpangaji wakeChumba cha mpangaji mwenziye? Huyo mpangaji ni jinsia gani? Na ameingiaje humo bila huyo mpangaji kumruhusu? Chumba kilikua wazi na mpangaji huyo hakuwepo?
Hii habari haijajitosheleza hata kidogo!
Huyo mpangaji wake alikua wapi? Kama alienda asubuhi kuoga na huyo mpangaji hakuwepo ina maana chumba kilikua kimefungwa, imekuaje yeye akaingia au chumba kilikua wazi?Mpangaji wake
acha kukariri maisha mkuuMiaka 50 bado unazaa, stress lazima zikuue tu.
Anyway, pole kwa wafiwa.
Huzuni Sana na itaathiri Sana watoto alikosa ushauriDaaah kaacha msalaba mzito sana naeza kuamini higo sababu yq mke kazini kumekua na chuki sana maofisini fitina,majungu,chuki na dharau zimejaaa
Kama kipato kinaruhusu au ulichelewa kuo,Miaka 50 still kijanaMiaka 50 bado unazaa, stress lazima zikuue tu.
Anyway, pole kwa wafiwa.
Kama kipato kinaruhusu au ulichelewa kuo,Miaka 50 still kijana
Pesa kama zipo watasoma tu hata uwe na miaka 200Miaka 60 mwanao hajaanza hata sekondari
Unawaachia watu mzigo.
Pesa kama zipo watasoma tu hata uwe na miaka 200
Sijui jamii imekumbwa na nini kwenye masuala ya umri mbona miaka hamsini(50) bado mtu ana nguvu zake kabisa....??Kama kipato kinaruhusu au ulichelewa kuo,Miaka 50 still kijana
Pesa bila uangalizi si kitu.
[/QUOTE
Hadi miaka 80 unashindwa vipi kuzisimamia pesa mfano umeweka kwenye fixed asset