Arusha: Mkuu wa Magereza Godson Mwanagwa akanusha Ole Sabaya kufanya vurugu gerezani

Arusha: Mkuu wa Magereza Godson Mwanagwa akanusha Ole Sabaya kufanya vurugu gerezani

hivi kesi kama hii ndio mh rais aliombwa iwe inafanyiwa uchunguzi walau kwa miaka miwili?
 
Mamaee zake ukimwangalia tu sura lilivyokuwa nyeusi ka kapinduka na gari la kiwi, japo ana umateumate lkn kutokana na roho mbaya yake kashindwa hata kutia rangi,, sasa sikwambii huko mahabusu na kibaridi cha arusha akitoka atakuwa ka buti la mgambo.. jitu likawe lina roho ka shetani, Kwani yeye ndo mtumishi wa kwanza wa serikali kushtakiwa, lkn mbona raia wamemkalia sana kooni. Hii ni kutokana na matendo yake, na kuna mwingine yule aliyekuwa mpambe wa rais nae huko aliko sasa hivi mimavi mbwambwambwa,, bashite[emoji1]
usiseme raia sema wafuasi wa Mbowe wanaondandia utekelezaji wa utawala wa sheria wa SSH
 
Mamaee zake ukimwangalia tu sura lilivyokuwa nyeusi ka kapinduka na gari la kiwi, japo ana umateumate lkn kutokana na roho mbaya yake kashindwa hata kutia rangi,, sasa sikwambii huko mahabusu na kibaridi cha arusha akitoka atakuwa ka buti la mgambo.. jitu likawe lina roho ka shetani, Kwani yeye ndo mtumishi wa kwanza wa serikali kushtakiwa, lkn mbona raia wamemkalia sana kooni. Hii ni kutokana na matendo yake, na kuna mwingine yule aliyekuwa mpambe wa rais nae huko aliko sasa hivi mimavi mbwambwambwa,, bashite[emoji1]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila watu mnamisemo ...kapinduka na gari la kiwi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mamaee zake ukimwangalia tu sura lilivyokuwa nyeusi ka kapinduka na gari la kiwi, japo ana umateumate lkn kutokana na roho mbaya yake kashindwa hata kutia rangi,, sasa sikwambii huko mahabusu na kibaridi cha arusha akitoka atakuwa ka buti la mgambo.. jitu likawe lina roho ka shetani, Kwani yeye ndo mtumishi wa kwanza wa serikali kushtakiwa, lkn mbona raia wamemkalia sana kooni. Hii ni kutokana na matendo yake, na kuna mwingine yule aliyekuwa mpambe wa rais nae huko aliko sasa hivi mimavi mbwambwambwa,, bashite[emoji1]
Hivi Bashite yuko wapi jamani??
 
NI kweli.
ILA MTU yeyote anaweza akapelekwa kule.uwe na hatia au usiwe nayo.
Sio sehemu ya kufurahia MTU kupelekwa
huwezi okota papai kwenye mti wa chungwa kamwe!
Matendo yako ndio maisha yako!
 
Back
Top Bottom