Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka ulipewa taarifa na yule kakaako ambaye naye anayependaGA kuogeshwa huko kwa Sabaya! Ahahahahahaha!!Ni kweli kabisa hakugoma 'KUOGA' ALIOGESHWA na akatoa ushirikiano wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana maua popote uchanua twendeni tukalijenge taifa CCM wameharibu sana hii nchiNi kweli kabisa hakugoma 'KUOGA' ALIOGESHWA na akatoa ushirikiano wote
Sent using Jamii Forums mobile app
usiseme raia sema wafuasi wa Mbowe wanaondandia utekelezaji wa utawala wa sheria wa SSHMamaee zake ukimwangalia tu sura lilivyokuwa nyeusi ka kapinduka na gari la kiwi, japo ana umateumate lkn kutokana na roho mbaya yake kashindwa hata kutia rangi,, sasa sikwambii huko mahabusu na kibaridi cha arusha akitoka atakuwa ka buti la mgambo.. jitu likawe lina roho ka shetani, Kwani yeye ndo mtumishi wa kwanza wa serikali kushtakiwa, lkn mbona raia wamemkalia sana kooni. Hii ni kutokana na matendo yake, na kuna mwingine yule aliyekuwa mpambe wa rais nae huko aliko sasa hivi mimavi mbwambwambwa,, bashite[emoji1]
Hahahh,!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]alikata kama kawaida sio??Ni kweli kabisa hakugoma 'KUOGA' ALIOGESHWA na akatoa ushirikiano wote
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mahabusu nao kwa upande wao pia walimfanyia ukarimu wa hali ya juu kabisa kwa kumpaka mafuta ya "BEBI CARE" mwili mzima, baridi isimkaushe ngozi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila watu mnamisemo ...kapinduka na gari la kiwi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mamaee zake ukimwangalia tu sura lilivyokuwa nyeusi ka kapinduka na gari la kiwi, japo ana umateumate lkn kutokana na roho mbaya yake kashindwa hata kutia rangi,, sasa sikwambii huko mahabusu na kibaridi cha arusha akitoka atakuwa ka buti la mgambo.. jitu likawe lina roho ka shetani, Kwani yeye ndo mtumishi wa kwanza wa serikali kushtakiwa, lkn mbona raia wamemkalia sana kooni. Hii ni kutokana na matendo yake, na kuna mwingine yule aliyekuwa mpambe wa rais nae huko aliko sasa hivi mimavi mbwambwambwa,, bashite[emoji1]
Hivi Bashite yuko wapi jamani??Mamaee zake ukimwangalia tu sura lilivyokuwa nyeusi ka kapinduka na gari la kiwi, japo ana umateumate lkn kutokana na roho mbaya yake kashindwa hata kutia rangi,, sasa sikwambii huko mahabusu na kibaridi cha arusha akitoka atakuwa ka buti la mgambo.. jitu likawe lina roho ka shetani, Kwani yeye ndo mtumishi wa kwanza wa serikali kushtakiwa, lkn mbona raia wamemkalia sana kooni. Hii ni kutokana na matendo yake, na kuna mwingine yule aliyekuwa mpambe wa rais nae huko aliko sasa hivi mimavi mbwambwambwa,, bashite[emoji1]
Takataka weweusiseme raia sema wafuasi wa Mbowe wanaondandia utekelezaji wa utawala wa sheria wa SSH
Yeye alivyokuwa anafurahia kuwakata masikio wenzake?! Ng'ombe weweusifurahie matatizo ya mwenzio.
Kule sio kuzuri.
huwezi okota papai kwenye mti wa chungwa kamwe!usifurahie matatizo ya mwenzio.
Kule sio kuzuri.
Machali wa Arusha apo kisongo wata mnyooshaNi kweli kabisa hakugoma 'KUOGA' ALIOGESHWA na akatoa ushirikiano wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ukiwa gerezani kuoga ni lazima?Kuwa lupango tu inatosha ,agome kuoga au asigome hatutaki kujua.
Yeye alivyokuwa anafurahia kuwakata masikio wenzake?! Ng'ombe wewe
huwezi okota papai kwenye mti wa chungwa kamwe!
Matendo yako ndio maisha yako!