Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah.Vipi zile ARVs zake alipelekewa kule Kisongo gerezani au alinyimwa?
Mahabusu ana haki zake, apewe dawa zake.
🙄🙄🙄Ukute minyampala imemdunda kweli ila hawawezi kusema ukweli hawa [emoji23][emoji23]
Atasema mwenyewe kipigo kikimzidi[emoji23][emoji23]Ukute minyampala imemdunda kweli ila hawawezi kusema ukweli hawa [emoji23][emoji23]
Mimi nadhani Clouds media wanaweza kuwa walitumika kumuingiza kumi nane maana angekaa kimya yasingemtokeaclouds media wakamuogeshe.
sabaya alidhani ni enzi za mwenda zake. alisahau vyombo vya habari vilipo sema "mwisho wa enzi"Mimi nadhani Clouds media wanaweza kuwa walitumika kumuingiza kumi nane maana angekaa kimya yasingemtokea
Mwenda zake angekuwepo haya yote yasingetokeasabaya alidhani ni enzi za mwenda zake. alisahau vyombo vya habari vilipo sema "mwisho wa enzi"
Watanzania tuna tatizo la mental slaveryMkuu wa magereza mkoani Arusha afande Godson Mwanagwa amekanusha taarifa zilizozagaa mitandaoni kwamba mh Lengai Ole sabaya aligoma kuoga na kufanya vurugu gerezani.
Afande Mwanagwa amesema Ole Sabaya alipokelewa vizuri na hakuna tatizo lolote gerezani.
Akapakwa na mafutaNi kweli kabisa hakugoma 'KUOGA' ALIOGESHWA na akatoa ushirikiano wote
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna msemo unasema "usimtegemee b'damu"Mwenda zake angekuwepo haya yote yasingetokea
Amelaaniwa amtegemeae mwanadamu,amfanyae kuwa kinga yake kitabu cha Yeremiakuna msemo unasema "usimtegemee b'damu"
Sabaya bila cheo siyo baunsa wala hana ubabe wowote. Yule anadhibitiwa tena na mtu kama wewe au mimi.Kule kuna mabaunsa zaidi yake
Nifanye kosa gani nikakae nae gereza moja yaani na hasira nae kinyamaSabaya bila cheo siyo baunsa wala hana ubabe wowote. Yule anadhibitiwa tena na mtu kama wewe au mimi.
Duh yani mwamba alidanganya akiwa Masjid? Kwenye nyumba ya ibada? 😆😆😆