Arusha: Mkuu wa Magereza Godson Mwanagwa akanusha Ole Sabaya kufanya vurugu gerezani

Arusha: Mkuu wa Magereza Godson Mwanagwa akanusha Ole Sabaya kufanya vurugu gerezani

Clouds wangeshida hili la kumsafisha Sabaya wangekul bingo
 
Mkuu wa magereza mkoani Arusha afande Godson Mwanagwa amekanusha taarifa zilizozagaa mitandaoni kwamba mh Lengai Ole sabaya aligoma kuoga na kufanya vurugu gerezani.

Afande Mwanagwa amesema Ole Sabaya alipokelewa vizuri na hakuna tatizo lolote gerezani.
Watanzania tuna tatizo la mental slavery

Bado mna m-refer Sabaya kama Mheshimiwa Sabaya? Huwa nachukia sana hili neno, hasa napoona likitumika kwa viongozi wezi, waongo, majambazi na wenye uwezo mdogo wa akili. Afadhali turudi kwende "Ndugu"

Emancipate yourself from mental slavery
 
Back
Top Bottom