mkadiriajimajenzi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 549
- 614
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni kweli kabisa hakugoma 'KUOGA' ALIOGESHWA na akatoa ushirikiano wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni kweli kabisa hakugoma 'KUOGA' ALIOGESHWA na akatoa ushirikiano wote
Sent using Jamii Forums mobile app
ULIKUWA WAPI KUWATETEA?Yeye alivyokuwa anafurahia kuwakata masikio wenzake?! Ng'ombe wewe
Mkuu wa magereza mkoani Arusha afande Godson Mwanagwa amekanusha taarifa zilizozagaa mitandaoni kwamba mh Lengai Ole sabaya aligoma kuoga na kufanya vurugu gerezani.
Afande Mwanagwa amesema Ole sabaya alipokelewa vizuri na hakuna tatizo lolote gerezani.
Source: Ayo tv
Mkuu wa magereza mkoani Arusha afande Godson Mwanagwa amekanusha taarifa zilizozagaa mitandaoni kwamba mh Lengai Ole sabaya aligoma kuoga na kufanya vurugu gerezani.
Afande Mwanagwa amesema Ole sabaya alipokelewa vizuri na hakuna tatizo lolote gerezani.
Source: Ayo tv
kama unajuwa kutofautisha inzi wa kawaida na wale wanao kuwa sehemu yenye mzoga! hutapata shidaha hapa Duniani!!NI kweli.
ILA MTU yeyote anaweza akapelekwa kule.uwe na hatia au usiwe nayo.
Sio sehemu ya kufurahia MTU kupelekwa
kama unajuwa kutofautisha inzi wa kawaida na wale wanao kuwa sehemu yenye mzoga! hutapata shidaha hapa Duniani!!
wala hutosingiziwa chochote Mungu yupo na meneno huumba!
heshimu sana ukipandacho ndio utakacho vuna!
mwenda taratibu.....
Ngoja tusafishe nyumba kwanza ...maana imejaa papasiVijana maua popote uchanua twendeni tukalijenge taifa CCM wameharibu sana hii nchi
Likikamatwa jambazi lililotaka kukuuwa ungependa lipelekwe wapi?NI kweli.
ILA MTU yeyote anaweza akapelekwa kule.uwe na hatia au usiwe nayo.
Sio sehemu ya kufurahia MTU kupelekwa
nje ya mada mkuu Jumapili njemaUshawahi kuingia jela au mahabusu?
Hahaha we jamaa naona unaenda na clue
Hivi Bashite yuko wapi jamani??
mkuu kuna uzi wako ulieleza lazima nyumba isafishwe kwanza🤔
Bila shaka ulipewa taarifa na yule kakaako ambaye naye anayependaGA kuogeshwa huko kwa Sabaya! Ahahahahahaha!!
Hivi Bashite yuko wapi jamani??
Likikamatwa jambazi lililotaka kukuuwa ungependa lipelekwe wapi?
A: Nyumba za ibada likatubu.
B:Gerezani.
Kama hufurahii basi mpeleke kwa Gwajima akatubu, kwanini umpeleke gerezani sasa?Gerezani.ila usifurahie
Kama hufurahii basi mpeleke kwa Gwajima akatubu, kwanini umpeleke gerezani sasa?
Umeshawahi kulazwa chumba cha mahututi baada ya kupigwa na majambazi?Umeshawahi kukaa jela au mahabusu?
Umeshawahi kulazwa chumba cha mahututi baada ya kupigwa na majambazi?
Una ulemavu wowote uliosababishwa na majambazi?
Ndio,jibu nawewejibu kwanza