mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mahabusu au jela kuzuri?
Ndio,jibu nawewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio,jibu nawewe
Sio kuzuri,Ila kuuwawa na kutiwa ulemavu ni kuzuri sanaMahabusu au jela kuzuri?
Hivi ukiwa gerezani kuoga ni lazima?
Swahiba ungeendelea ku comment ungefika penye mafuta thanks hukufika huko tena pana vyombo vinaripoti yamepanda beiNi kweli kabisa hakugoma 'KUOGA' ALIOGESHWA na akatoa ushirikiano wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku 1 ukiwa mfungwa ni lazima....kwa mahabusu sio lazima....Ndio hapo kuoga haulazimishwi.
Yupo mjini hapa anademadema tu,,, na yeye zake zinahesabikaHivi Bashite yuko wapi jamani??
Nasikia afande Hamduni anamlia tyming [emoji23][emoji23][emoji23]Yupo mjini hapa anademadema tu,,, na yeye zake zinahesabika
Hata mi nimesikia kaingia kwenye kumi na nane za afande hamduni🤣🤣🤣Nasikia afande Hamduni anamlia tyming [emoji23][emoji23][emoji23]
Nasikia katorokaHivi Bashite yuko wapi jamani??
Kwa wale walio na deep knowledge na miji ya Arusha na Moshi: Watu wenye sura na haiba kama ya Sabaya mara nyingi wanakuwa majambazi au wababe makatili sana kwenye hii miji.Mamaee zake ukimwangalia tu sura lilivyokuwa nyeusi ka kapinduka na gari la kiwi, japo ana umateumate lkn kutokana na roho mbaya yake kashindwa hata kutia rangi,, sasa sikwambii huko mahabusu na kibaridi cha arusha akitoka atakuwa ka buti la mgambo.. jitu likawe lina roho ka shetani, Kwani yeye ndo mtumishi wa kwanza wa serikali kushtakiwa, lkn mbona raia wamemkalia sana kooni. Hii ni kutokana na matendo yake, na kuna mwingine yule aliyekuwa mpambe wa rais nae huko aliko sasa hivi mimavi mbwambwambwa,, bashite[emoji1]
😂😂😂 wamuone akiwa uchiWajamaa walitaka akaoge ili iweje? 😂😂😂
Kumbe na wewe umeliona hilo mkuuKwa wale walio na deep knowledge na miji ya Arusha na Moshi: Watu wenye sura na haiba kama ya Sabaya mara nyingi wanakuwa majambazi au wababe makatili sana kwenye hii miji.