Arusha: Mtoto wa miezi 9 alawitiwa na Baba yake mzazi hadi kufariki dunia

Tatizo la afya ya akili ni kubwa kuliko unavyo dhani.
 
Utajiri una siri Nyingi
 
Naona watu mnaanza kumtetea Kwa kusema ni ugonjwa wa akili hakuna kitu kama hicho Hilo amedhamiria na alijua anchofanya
Mnaujaga na maneno ya shombo kuhusu wanawake kumbe akili zenu ndo hizo
 
Haya matukio huwa yanaambatana na maagano ya kishetani. Maana mtu na na akili zako timamu hauwezi fanya hivyo kwa mwanao wa kumzaa. Labda uwe unatimiza masharti ya waganga.
Adhabu kali itolewe juu yake.
 
Naona watu mnaanza kumtetea Kwa kusema ni ugonjwa wa akili hakuna kitu kama hicho Hilo amedhamiria na alijua anchofanya
Mnaujaga na maneno ya shombo kuhusu wanawake kumbe akili zenu ndo hizo
Kwa hio we unahisi angekula. Witi wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…