Unamfungia Baba yako ndani kwenye chumba cha giza wiki nzima bila chakula ili afe urithi Nyumba!
Watu wanatafuta ili walee wazazi wao, wengine wanataka kuua wazazi wao ili warithi Nyumba ya mzazi wao!
Mzee Idd ametumia maamuzi ya haraka sana, kwanza angefungua kesi ya watoto wake kujaribu kumuua kwa kumfungia ndani wiki nzima bila chakula, halafu angeweka sawa mambo yake ya mirathi, watoto kuanza kugombea mali za mzazi huku akiwa hai ni dalili ya kujikatia tamaa mapema kutafuta vyao.