Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Kweli, maana viwanja bado vipo watoto watamendea waviuzeMzee kachemsha,angeuza akahamia mjini kula bata na ashura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli, maana viwanja bado vipo watoto watamendea waviuzeMzee kachemsha,angeuza akahamia mjini kula bata na ashura
Inasikitisha mnoUnamfungia Baba yako ndani kwenye chumba cha giza wiki nzima bila chakula ili afe urithi Nyumba!
Watu wanatafuta ili walee wazazi wao,wengine wanataka kuua wazazi wao ili warithi Nyumba ya mzazi wao!
Mzee Idd ametumia maamuzi ya haraka sana,kwanza angefungua kesi ya watoto wake kujaribu kumuua kwa kumfungia ndani wiki nzima bila chakula,halafu angeweka sawa mambo yake ya mirathi,watoto kuanza kugombea mali za mzazi huku akiwa hai ni dalili ya kujikatia tamaa mapema kutafuta vyao.
Kweli kabisa, hapo anajikomoa. Yupo mmoja aliuza mali yake kwa vile alijua atakufa karibuni na hakutaka wanawe kupata urithi pasipo kuufanyia kazi. Mungu alivyo mwema akamuongezea miaka ya kuishi na hivyo pesa aliyouzia ikawa imekwisha naye yu hai bado. Akajuta sana na kulia kwa uchungu kwani wanaye walimkaushia kwa vile ubaya aliuanza yeye.Mzee kachemsha,angeuza akahamia mjini kula bata na ashura
Safi sanaMkazi wa Ngarenaro, Mzee Iddi Maganga amebomoa nyumba zake mbili zenye thamani ya milioni 200 akiwatuhumu watoto wake kumfanyia ndivyo sivyo.
Akiongea kwa uchungu, Mzee Maganga amesema mmoja wa watoto wake alimfungia kwenye chumba chenye giza wiki nzima bila chakula.
Mzee Maganga amebomoa nyumba zake na kuwataka watoto wake wakafanye kazi badala ya kukaa wakimendea urithi.
Ahaa haaaah Rusumo Physics na Chemistry lazima ulipiga A. Napenda sana watu wanaotumia mifano ya Masomo ya science ktk maisha yetu ya kawaida. Keep it up bro.HEAT GAINED=HEAT LOST
Hii Kali Sana mzee hataki maujinga
Ebu imajin kuna mitoto ni hasara tu.Bado kuna wanaodai kuwa Watoto Ni Baraka Kwa Mungu.
Maisha yana siri sanaKweli kabisa, hapo anajikomoa. Yupo mmoja aliuza mali yake kwa vile alijua atakufa karibuni na hakutaka wanawe kupata urithi pasipo kuufanyia kazi. Mungu alivyo mwema akamuongezea miaka ya kuishi na hivyo pesa aliyouzia ikawa imekwisha naye yu hai bado. Akajuta sana na kulia kwa uchungu kwani wanaye walimkaushia kwa vile ubaya aliuanza yeye.
Sishangai coz kwa aina ya vilevi vilivyopo chugga haya mambo ni muda tu yatafanywa shm nyng za hukoMkazi wa Ngarenaro, Mzee Iddi Maganga amebomoa nyumba zake mbili zenye thamani ya milioni 200 akiwatuhumu watoto wake kumfanyia ndivyo sivyo.
Akiongea kwa uchungu, Mzee Maganga amesema mmoja wa watoto wake alimfungia kwenye chumba chenye giza wiki nzima bila chakula.
Mzee Maganga amebomoa nyumba zake na kuwataka watoto wake wakafanye kazi badala ya kukaa wakimendea urithi.
Watoto wa kike sasa hivi wanabeba majukumu ya watoto wa kiume.Ukiwa na mtoto wa kike jua huko salama.Mzee wetu aliona bora Le mutuz angerudisha faili na Mwele angebaki Ila hamna namna.Aisee..
🤣🤣Watoto wa kike sasa hivi wanabeba majukumu ya watoto wa kiume.Ukiwa na mtoto wa kike jua huko salama.Mzee wetu aliona bora Le mutuz angerudisha faili na Mwele angebaki Ila hamna namna.
si bora andeziuza akae ale mpungaMkazi wa Ngarenaro, Mzee Iddi Maganga amebomoa nyumba zake mbili zenye thamani ya milioni 200 akiwatuhumu watoto wake kumfanyia ndivyo sivyo.
Akiongea kwa uchungu, Mzee Maganga amesema mmoja wa watoto wake alimfungia kwenye chumba chenye giza wiki nzima bila chakula.
Mzee Maganga amebomoa nyumba zake na kuwataka watoto wake wakafanye kazi badala ya kukaa wakimendea urithi.
Ni rahisi sana kuyaandika haya ila ukiuvaa uhusika wa huyo mzee utaona uchungu alioupata.Hizo nyumba huenda si zake ni zilijengwa na mama. Hizi ni akili za marioo wakizeeka. Nyumba uliyolipia tofali kwa tofali huwezi bomoa kiwepesi.