myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
🤣🤣Auze na viwanja awakomeshe ,watoto wa siku hizi wazinguaji sana. Asipokua makini watamuwahisha mapema futi sita chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Auze na viwanja awakomeshe ,watoto wa siku hizi wazinguaji sana. Asipokua makini watamuwahisha mapema futi sita chini
Aisee..Mzee anatunzwa na mtoto wake wa kike, ambaye mume wake ni askari Polisi alimshawishi wakamuibe mzee nyumbani kwake awe anamtunza, akaanza kupanda mbegu ya tuuze nyumba tukununulie shamba tukujengee huko, mzee akakubali, nyumba imeuzwa kwa 160 mil aliyevunja ni aliyenunua eneo na sio mzee.
(Hii ndio habari kamili toka kwa walio karibu na huyo mzee)
Dah mzee kapigwaMzee anatunzwa na mtoto wake wa kike, ambaye mume wake ni askari Polisi alimshawishi wakamuibe mzee nyumbani kwake awe anamtunza, akaanza kupanda mbegu ya tuuze nyumba tukununulie shamba tukujengee huko, mzee akakubali, nyumba imeuzwa kwa 160 mil aliyevunja ni aliyenunua eneo na sio mzee.
(Hii ndio habari kamili toka kwa walio karibu na huyo mzee)
Tupo wengi tu.Bado kuna wanaodai kuwa Watoto Ni Baraka Kwa Mungu.
Nyumba yake halafu mtoto amfungie kwenye chumba cha giza wiki bila msosi?Cha ajabu watu mnamsifia.
Hasira hasara.
Angeombea hata mkopo.
Baba mpumbavu watoto wapumbavu.
Maswali.Unamfungia Baba yako ndani kwenye chumba cha giza wiki nzima bila chakula ili afe urithi Nyumba!
Watu wanatafuta ili walee wazazi wao,wengine wanataka kuua wazazi wao ili warithi Nyumba ya mzazi wao!
Mzee Idd ametumia maamuzi ya haraka sana,kwanza angefungua kesi ya watoto wake kujaribu kumuua kwa kumfungia ndani wiki nzima bila chakula,halafu angeweka sawa mambo yake ya mirathi,watoto kuanza kugombea mali za mzazi huku akiwa hai ni dalili ya kujikatia tamaa mapema kutafuta vya
Hizi habari sio kweli acheni mambo ya vjiweni mtoto wakike ndio amemuokoa baba yakeMzee anatunzwa na mtoto wake wa kike, ambaye mume wake ni askari Polisi alimshawishi wakamuibe mzee nyumbani kwake awe anamtunza, akaanza kupanda mbegu ya tuuze nyumba tukununulie shamba tukujengee huko, mzee akakubali, nyumba imeuzwa kwa 160 mil aliyevunja ni aliyenunua eneo na sio mzee.
(Hii ndio habari kamili toka kwa walio karibu na huyo mzee)
Waige upumbavu sioShikamooo!!! Mzee maganga..wazee Wengine waige mfano huu
Hiyo mzee anakuambiajeBado kuna wanaodai kuwa Watoto Ni Baraka Kwa Mungu.
Huyu mzee ana roho mbaya sana kisha hana hekima...kuliko kuharibu mali angeandika waraka akifa ziwasaidie wenye mahitaji maalum kama yatima nkMkazi wa Ngarenaro, Mzee Iddi Maganga amebomoa nyumba zake mbili zenye thamani ya milioni 200 akiwatuhumu watoto wake kumfanyia ndivyo sivyo.
Akiongea kwa uchungu, Mzee Maganga amesema mmoja wa watoto wake alimfungia kwenye chumba chenye giza wiki nzima bila chakula.
Mzee Maganga amebomoa nyumba zake na kuwataka watoto wake wakafanye kazi badala ya kukaa wakimendea urithi.
Mzee kwa umri wake ameona hana cha kupoteza.Mkazi wa Ngarenaro, Mzee Iddi Maganga amebomoa nyumba zake mbili zenye thamani ya milioni 200 akiwatuhumu watoto wake kumfanyia ndivyo sivyo.
Akiongea kwa uchungu, Mzee Maganga amesema mmoja wa watoto wake alimfungia kwenye chumba chenye giza wiki nzima bila chakula.
Mzee Maganga amebomoa nyumba zake na kuwataka watoto wake wakafanye kazi badala ya kukaa wakimendea urithi.
Ndo uliyemshauri?Dah......huyu mzee namfahamu Sana.... ni mtu wangu wa karibu..... huwa tunashauriana vitu vingi 🤭
Q = m•C•∆THEAT GAINED=HEAT LOST
Hii Kali Sana mzee hataki maujinga