Arusha: Mzee Iddi Maganga abomoa nyumba zake mbili(200M) baada ya wanawe kuacha kufanya kazi na kusubiri urithi

S.H AMON mwwnyewe ashaanza kulivunja lile gorofa lake mtaa wa kongo na mchikichi
Watu wamevurugwa naona sahv zimebakia floor 3,4 tu awachie kiwanja Chao
RRONDO

Ova

S.H. AMON Kile kiwanja tu kilipo hawezi kuwakomoa

Maana hao warithi watakiuza kwa ma bilioni ama watapata mwekezaji ajenge maduka na wao awape fremu kazaaa
 
Angeuza Nyumba moja ale maisha halafu hiyo nyingine amkabidhi mtoto wake wa kike.
 
Vijana wa Chugga ni mibangi na pombe tu halafu ukikutana nao Picnic , The Hub , Bills river nk wanatambaga sana na nyumba za urithi. Miaka hii Chugga vijana wa hovyo sana , wavivu na wapenda starehe
 
Angekuwa amekula mavi yake si angekuwa kesha kufa au kalazwa hospitali.
 
S.H. AMON Kile kiwanja tu kilipo hawezi kuwakomoa

Maana hao warithi watakiuza kwa ma bilioni ama watapata mwekezaji ajenge maduka na wao awape fremu kazaaa
Inaelekea walishindwa elewana
Huyu bilionea naye anachungulia
Sana hela

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…