Banjuka
JF-Expert Member
- May 7, 2021
- 1,007
- 1,922
Huyo mzee apewe tuzo.Angeuza wangemmendea waue wanyang'anye pesa,safi..kabomoa wajenge upya uwanja chukueni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mzee apewe tuzo.Angeuza wangemmendea waue wanyang'anye pesa,safi..kabomoa wajenge upya uwanja chukueni
Hakuna mkopo bila kuonyesha atarudishaje huo mkopo, dhamana si kigezo cha kukopesheka...... Labda angeomba mkopo wa vicobaCha ajabu watu mnamsifia.
Hasira hasara.
Angeombea hata mkopo.
Baba mpumbavu watoto wapumbavu.
Leo tu sikubaliani na wewe mtaniHuyu mzee ana roho mbaya sana kisha hana hekima...kuliko kuharibu mali angeandika waraka akifa ziwasaidie wenye mahitaji maalum kama yatima nk
Umeona umri wake lakini? Au unachuma dhambi ya bure ya kutukana mzee wa watu. Mtu wa umri ule na kukopa wapi na wapi? Anamkopea nani wakati watu ambao walitakiwa kumpa mwongozo ndo hao wanamfungia ndani?Cha ajabu watu mnamsifia.
Hasira hasara.
Angeombea hata mkopo.
Baba mpumbavu watoto wapumbavu.
Dawa ni kuwapiga chini hata urithi wa kandambili wasipateUnamfungia Baba yako ndani kwenye chumba cha giza wiki nzima bila chakula ili afe urithi Nyumba!
Watu wanatafuta ili walee wazazi wao, wengine wanataka kuua wazazi wao ili warithi Nyumba ya mzazi wao!
Mzee Idd ametumia maamuzi ya haraka sana, kwanza angefungua kesi ya watoto wake kujaribu kumuua kwa kumfungia ndani wiki nzima bila chakula, halafu angeweka sawa mambo yake ya mirathi, watoto kuanza kugombea mali za mzazi huku akiwa hai ni dalili ya kujikatia tamaa mapema kutafuta vyao.
Mzee kauza tayari hiyo kubomoa naskia ni mnunuziMzee kachemsha, angeuza akahamia mjini kula bata na Ashura.
Anakula mavi unamwangalia tuDah......huyu mzee namfahamu Sana.... ni mtu wangu wa karibu..... huwa tunashauriana vitu vingi [emoji2960]
Thubutu. Mbona migogoro ya mirathi huko Kaskazini ndio inaongoza ? Watoto wa Mrema, Wa Mengi na Erato Msuya ? Usijitekenye. Huko ndio vinara wa kumendea urithi. Kawadanganye wanywa mbege wenzioKaskazini hakunaga ujinga wa kusubiri urithi
Hao watoto wa Mrema na wa Mengi wanaogombania mirathi in Wanyamwezi ?Kuna mjinga mwingine aliwahi kuja hapa Jamii forums naye anadai ana miaka sijui 37 anaomba ushauri kumshitaki babake eti ameuza nyumba na amekataa kugawia fungu lake. Ndo kama huyo mjinga wa Arusha kisa kuna vijifremu anapokea kodi kwa kushirikiana na mdogo wake wa kike kaona njia rahisi nikumfungia mzee ndani bila chakula ili afe warithi mali. Hii laana haitomwacha unamfungia babako ndani mpaka anakula mavi yake, majirani wameona huruma na kumpigia simu binti wa mzee mganga ambaye ni dada wa huyu mpumbavu, binti akaja na mme wake wamevunja mlango na kukuta mzee tayari amepoteza fahamu.
Ndo kumuahisha hosp ambako ameenda kuzinduka akiwa hajui nani kampeleka pale. Japo mzee amechukuwa uamuzi wa hasira lakini hatupaswi kumlaumu kwa sababu hatujui amepitia mangapi, alafu hizi jamii hawa wazee ********** sijui kwa nini zinaamini sana kwenye urithi badala ya kufanya kazi na kujiandalia maisha.
Ukikuta sana watu wanagombania nyumba za urithi mara nyingi utakuta wanyamwezi, wazaramo,wakwere na wale wa ujiji kigoma huko wale walioishi Kariokoo karioakoo miaka mingi.
Ni mara chache sana kukuta sisi wakurya tukigombania urithi wa nyumba.
S.H AMON mwwnyewe ashaanza kulivunja lile gorofa lake mtaa wa kongo na mchikichiKuna wazee wengine wakuda unakuta ana mali hamuinui mtoto wake yeye ni kula bata na mademu