Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mzee angeuza nyumba af akahamia kidimbwi.
Auze kifusi maana nyumba ameisha bomoa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee angeuza nyumba af akahamia kidimbwi.
Kujirahumu ndo nini?Watajirahumu kwanini hawakumuua mapema. Vijana wa Arusha ovyo sana.
Uliyoandika ni kabla ya binti yake kuja kumchukua baada ya kufungiwa ndani.Hizi habari sio kweli acheni mambo ya vjiweni mtoto wakike ndio amemuokoa baba yake
Aliyemfungia ni wakiume na ugomvi ni wa muda mrefu sana
Diwani anakiri hilo
Huwezi kuuza nyumba kiholela
Lazima kata na mtaa wako wajue
Sasa Inamaana Diwani hajui na mashahidi hawajui?
Watoto walitaka kumuua Mzee wao
Diwani anakiri hata usafi wa chumba chake Mzee kina kaa Mwezi hakijafanyiwa usafi. Mzee amekula mavi yake unajua hilo?
Watake radhi watoto wa kinondoni original siyo wote wanasubiria urithiMitoto ya late 80s, 90s na early 2000!
Bure kabisa. Hawana tofauti na watoto wa Kino Migo Mwananyamala na Mbezi beach. Yenyewe ni kula kulala. Pombe siku nzima. Kuibia wazazi. Kuzaa hovyo hovyo na madawa ya kulevya.
Hovyo kabisa kabisa [emoji35][emoji3062][emoji2959]
Hasira...Hasara!Mkazi wa Ngarenaro, Mzee Iddi Maganga amebomoa nyumba zake mbili zenye thamani ya milioni 200 akiwatuhumu watoto wake kumfanyia ndivyo sivyo.
Akiongea kwa uchungu, Mzee Maganga amesema mmoja wa watoto wake anayeitwa Abdallah alimfungia kwenye chumba chenye giza wiki nzima bila chakula mpaka kufikia kula kinyesi chake. Mzee Maganga amesema aliokolewa na mtoto wake wa kike baada ya kutomuona muda mrefu.
Mzee Maganga amebomoa nyumba zake na kuwataka watoto wake wakafanye kazi badala ya kukaa wakimendea urithi.
Kama ni kawaida kwa wazee unaowafahamu kuchoma nyumba zao ni sawa tu.Ukitazama umri wa huyo mzee na hayo maamuzi aliyoyachukua haiwezi kuwa ajabu, ajabu ni wewe kushangaa umri huo huwa wanakuwa na akili za namna gani ama labda haujawai kukaa na watu wenye umri huo.
Mkuu kaa ukijua thamani hapo sio ya nyumba bali ni ya kiwanja. Na ndio maana baada ya kununua mnunuzi amebomoa hizo nyumba.Sidhani kam .zinafika 200m..maana.mabati yamechoka mno mno...au alimaanisha 20m
Sawa mkuuMkuu kaa ukijua thamani hapo sio ya nyumba bali ni ya kiwanja. Na ndio maana baada ya kununua mnunuzi amebomoa hizo nyumba.
So kiuhalisia mnunuzi hakununua hizo nyumba bali amenunua kiwanja. Ngarenaro kama hujui ipo Arusha mjini kati.
Kwa jinsi anavyoelezea huyo mzee inaonesha huenda hata hati za nyumba hiyo walishampokonya. Sasa atauzaje bila hati? kaone isiwe tabu bora liwalo na liwe. Pia kwenye hiyo clip nimemsikia akisema atauza, probably atauza kiwanja baada ya kuzisambaratisha kabisa nyumba zake.Mzee kachemsha, angeuza akahamia mjini kula bata na Ashura.
Hakuna umemeMswali
Maswali.
1. Aliyejenga hicho chumba cha Giza ni nani na kwa malengo yapi?
2. Wiki nzima bila chakula?
Kachemsha vibaya sana..Mzee kachemsha, angeuza akahamia mjini kula bata na Ashura.
Mkuu umenifanya nimecheka sana, anyway bado watoto ni baraka ndio maana wengine tunamuomba Mola Jalali atujalie tupateBado kuna wanaodai kuwa Watoto Ni Baraka Kwa Mungu.