ARUSHA, nakupenda sana, najivunia kuzaliwa Arusha

Nime ishia apo kwenye ukarimu tu.. chuga watu wana roho za ajabu tu amna watu kule
Labda kama huwajui, wakwere, wazaramo na watu wa pwani. Hapo ndipo makao makuu ya fitna husda, ubaya, uchawi. Ila wao kuongea ya wenzao sasa.
 
Enaboishu.
Enaboishu walikuwa wanavaa sare za shule kama edmund rice sinon sasa mgomvii ukitokea kwenye mpira hawajui wewe ni wa shule gani maana sare zinafana a
Labda kama huwajui, wakwere, wazaramo na watu wa pwani. Hapo ndipo makao makuu ya fitna husda, ubaya, uchawi. Ila wao kuongea ya wenzao sasa.
Hao watu wachawi kinoma,juzi nimekuta shangaa mlangoni kwangu
 
Watu wa Arusha wakarimu????? Acha kudanganya watu wewe, yamkini utakua ni mtoto mtoto sana
 
Oyooooooooo Arushaaa Arusha

Arusha

Wacha makelele na matusi
mji gani nchi hii kama Arusha.
Tunapishana na Wawatiiiiii wanapenda marasi arifuuuu

Maji masafii toka Mlima meru yanapita njee kwanguu wapi ntapata hewa swafiii Nchiii hii

Kama sio Arushaaaaaaaaaa arushaaaa
Pigaaaa keleeeee
 
Uzunguni gymkhana ni poa sana na kule highland nkoaranga nilipenda
Arusha yote kwa ujumlakuanzia usa,majain ya chai,mto wa mbuu,ngulelo,tengeru,sekei,sanawari,kupanda ilboru,mianzini kushuka bondeni,kijenge,ungalimited,moshono,sakina ,mbauda,sinoni,ngusero,uswahilini,mate jo,levolosi,,kote huko ni full ogg
 
Oyooooooooo Arushaaa Arusha

Arusha

Wacha makelele mji gani kama Arusha

Maji masafii toka Mlima meru yanapita njee wanguu wapi ntapata news swafiii Nchiii hii

Kama sio Arushaaaaaaaaaa arushaaaa
Pichaa keleeeee
Waambie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…