Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Jomba ushawahi zama mgodini??au basi mla urojo mpembaaa,ndugu yako mkojaniii??Chalii hamjiamini kwa sana na hamna exposure mko very conservatively...mnapenda battle sana na kijioverrate kiuhalisia sio kweli hamna wajanja ila wapuuzi tu wengi manguap machafu Makoti makubwa Tena ya mtumba ambayo kweny special occasion huwezi kuenda nayo nilifika hapo kwa kweli kila kijana ninae muona amekaa kama mwizi na hpo stendi jamaa wametinga wananuka bia .
Videmu shobo kibao wananiuliza maswali ili niongee wanapenda lafudhi kama ya kipemba , kiuhalisia kumepoa Sana hamna maajabu hela ngumu
Manka anakuambia ingiza yotee ili unipe ela yangu yoteeHata mi nimepata demu mkali Arusha. Wakwe bomba sana.
Wewe umekaa wapi arusha??au nawe umetokea pemba??Inaonekana Arusha umeifahamu juzi juzi. Sifa ulizoelezea ni za kuunga unga na soletepu.
Si wauza sura wasafi tunajitambua sio vijana wachafu wachafuJomba ushawahi zama mgodini??au basi mla urojo mpembaaa,ndugu yako mkojaniii??
Wamevaa nn cha maana ushamba tu na uchafu!!!Chugastan.united state
Kwa wanaojua vaa vinzuri hapa bongo wanatokea arusha,hivi kwa wasanii kuna msanii anamzido dogo janja kuvaaSi wauza sura wasafi tunajitambua sio vijana wachafu wachafu
Eatu wanavaa ogg,sio vitu speshoWamevaa nn cha maana ushamba tu na uchafu!!!
Toa ujinga wako hapa!! Miguu kama miwa hana pozi za nguo na zile ni swagga za special sio mitumba kashakuwa mstaarabu angalia watu wanabody za nguo sio mshamba huyo hafikii hata nusu ya jux,angalia vijana chipukizi ukivaa Yale matambaa yenu ya mitumba dogo janja alishaacha kitambo aliona ni ushambaKwa wanaojua vaa vinzuri hapa bongo wanatokea arusha,hivi kwa wasanii kuna msanii anamzido dogo janja kuvaa
Tafuta pesa og ndo nn vaa siku kadhaa tupa tafuta fashion mpya...Eatu wanavaa ogg,sio vitu spesho
Sasa ndo maana watu wa arusha tabia zao ni kama wazungu,hawapendi vitu speshoTafuta pesa og ndo nn vaa siku kadhaa tupa tafuta fashion mpya...
😂😂😂😂Wazungu wanavaa mitumba? Mshamba wewe wakujaSasa ndo maana watu wa arusha tabia zao ni kama wazungu,hawapendi vitu spesho
Watu wanavaa ogg sijui kwanini unielewiView attachment 2364958
Sakina kibanda maziwaMajengo Saccon na Kibanda Maziwa
Wewe mtoto wa 2000Nimezaliwa Majengo sakoni nimeishi hapo karibia miaka 24 then nikahamia kibanda maziwa.
Sasa wewe mbona comments zako zinatufanya tuonekane Arusha ni kwa wavuta bangi? Sio lazima usifie bangi ili uonekane mjanja. Arusha ni ya watu wastaarabu na sio ya wavuta bangi.
Ndo tatizo kubwa la ngozi nyeusi,hii kitu sio inakufanya uwe chizi,weed is natural,imetoka kwa Mungu,weed is medicine kwa wenye vidonda vya tumbo,cancer magonjwa ya mifupa,kama upati choo vinzuri,matatizo yote ya tumbo,napenda bangi inanifanya na ishi maisha ya amani sana,na kuwa ukweli kwa kila kitu,mimi sio wale wanavuta bangi na kujifanya wahuni,napenda natural things weed safi sanaSasa wewe mbona comments zako zinatufanya tuonekane Arusha ni kwa wavuta bangi? Sio lazima usifie bangi ili uonekane mjanja. Arusha ni ya watu wastaarabu na sio ya wavuta bangi.