ARUSHA, nakupenda sana, najivunia kuzaliwa Arusha

Tunahita = tunaita, vinzuri = vizuri, inchi = nchi. Kwa uandishi huu umetuaibisha sana.
 
T
 
Huyu trip zake ni arusha - moshi 😅
Waarusha ndo kinachowaponza uarusha mwingi, na ubishi na ujuaji, nimeishi nao sana arusha, nimekaa miaka 5 njiro, tuseme nishakuwa mwenyeji wa chugga , nawajua vizuri uyo chalii anajistukia kakaa sana chuga bila kutoka,mtu anasemaje mkoa mmoja ni mzuri kuliko mwingine na hajawahi kufika ,
 
Sasa hivi nipo mabibo(nit) jitegemee Street,kesho nitalihamsha moro mkamba,silali chalianguu na saka doo
Aisee mabibo ndiyo nimekulia mitaa ya champion mfaume mfaume na nimesomea uko kuanzia chekechea mpaka chuo nimemaliza hapohapo(nit). Kikubwa hiyo mitaa usilete pigo za chuga kama unazoleta hapa muda huu jishikilie kidogo. Watakuchezesha sindimba, wana wataona tako na mwsho watadinda.
 
Nimezaliwa Kaloleni nikakulia Sekei ila Arusha ni pa hovyo sana usela mavi mademu fullu bangi. Arusha iko wapi just KM 2 kwa 2 ndio mji kwingine porini na ushamba.
Wewe sio mchuga watu wa arusha wanajivunia kwao,wewe ni mpitaji tu na unajua mitaa tu lakini ujazaliwa chugah
 
Moja ya hizi siku nitafute nikupe historia ya Arusha
Nulizaliwa ikiitwa Arusha Township,ikawa Arusha Town,kisha Manispaa halafu ikawa City nipo mtaa wa Pangani mnara wa Mwenge.
Ilipoanza kuitwa Chuga kisha Chugastan nimehamia Dar es salam,Sinza,unataka kujua kwa nini?
... itaendelea
 
Ukarimu chugga hakuna kitu ni kama wame adopt tamaduni za kenya, kanda ya pwani ndo kuna ukarimu, mara ya kwanza naenda chugga kuishi 2016, nilishangaa sana kila nyumba ina duka, hadi vichochoroni, kila mtu mfanyabiashara😂😂wachugga bhana kwenye kusaka pesa wapo vizuri wanafanya hadi vitu wasivyo na passion navyo,unaweza mkuta mamiloo kafungua mgahawa na hajui kupika kisa kuna pesa, wanaouza sasa maduka hawana ata customer service nzuri, ukienda duka la mchuga OG hakunaga cha karibu, wala karibu tena, na wakikuuzia bidhaa hadi kufungashiwa unalipia, ma maza wa chugga ni wana roho ngumu kisenge😂😂
 
Yani hapa mabibo sijui mfaume,mbambadu,banda wote wanangu simuwanzi mtu yeyote,huku asilimia kubwa wanachuo alafu mashoga kibao,yani popote nilipo tanzania naishi fresh tu,sasa wewe njo arusha
 
Mji ambao hauna bahari au ziwa ni takataka kwangu.
Arusha ni mji wa kifala sana dada zenu wahuni sana hawapo sexy ijapokuwa sura nzuri wanazo.Machalii nao ni wahuni wa kizamani sana ni vijana wa hovyo kuwahi kitokea.
Kilwa 😁😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…