Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfumo ukiwa wa kikatili automatically watu nao wanageuka kuwa makatiliNchi inahitaji tiba. Samia anasema kifo ni kifo tu.
Mama mwenye nyumba!,Huyo Jaina ni mama wa mtoto kweli? au mama wa kufikia?
Moja ya sehemu ya ovyo hapa tz,watu hapo wote nawaonaga kama waendawazim tuKwa Mromboo kuna matukio sana ni eneo dogo nchini ila matukio ya vifo ni mengi. Kipindi niko shule nilienda uko kuna vumbi hatari.
cCM ni mashetaniUovu wote unaasisiwa na CCM
Aliyeuliwa Ni mtoto wa nyumba nyingine sii hiyo ya Jaina,Ila mwili wake ndo ulifichwa kwenye nyumba ya Jainanimesoma mara tatu, taarifa inasema huyo Jaina ni mama mwenye nyumba
Uovu wote unaasisiwa na CC
Maamayo zako, kila kitu utaja chama hicho, kimekufanya nini wewe!??Uovu wote unaasisiwa na CCM
ooh kwa maana hiyo huyo Jaina anajua nini kinaendelea kwanini akimbie, hapo nimeelewaAliyeuliwa Ni mtoto wa nyumba nyingine sii hiyo ya Jaina,Ila mwili wake ndo ulifichwa kwenye nyumba ya Jaina
Ukifuatulia kwa karibu utakuta linajiandaa kugombea nafasi fulani uchaguzi ujao! Mashenzi sana haya maviumbe!Aiseee
Kwani Jaina baada ya kukiri kuua hakusema sababu iliyopelekea afanye mauaji? Uchunguzi wa chanzo ungeanzia hapo na kisha tuchunguze wahusika wengine kama wapo.
Haki Kwa Mariam Juma.
Mbona hujampongeza mama!!! Ukiendelea hivo sikuoni ukifika mbali kwenye huo uchawa.Hongera sana polisi na serikali ya ccm kwa kazi bora kabisa,
Ukijua kukosao ujue na kupongeza
Wapi palipoandikwa "jaina ni mama wa mtoto"?Huyo Jaina ni mama wa mtoto kweli? au mama wa kufikia?
Nimeuliza swali hapo, kutaka kujua huyu Jaina na mahusiano ya mtoto, lakini nimeshajibiwa usijaliWapi palipoandikwa "jaina ni mama wa mtoto"?