Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

Mkoa wa Arusha umeharibiwa na Wapare na watu kutoka Tanga. Wapare ni washirikina kupitiliza huku watu wa Tanga wakikomaa na uchoko.
 
Changamsha kichwa, mwaka 1997 shilingi 200 ilikuwa ina thamani kubwa kuliko unavyodhani.
 
Kamati ya Ulinzi na Usalama inatoa tamko gani? Hakuna kitu kibaya kama kumdhurumu mtu uhai wake. Tunaishi mara moja tu sasa kwanini tunauana ?
Haya mambo ya 'mi-kamati ya ulinzi na usalama'' ndiyo inafanya mambo kama haya yatokee. Nchi kila kitu kimegezwa ni siasa za kijinga. Polisi wangeachiwa wafanye mambo yao bila kuweka hawa wana kamati ambao wengi ni washirikina.
 
Haya mambo ya 'mi-kamati ya ulinzi na usalama'' ndiyo inafanya mambo kama haya yatokee. Nchi kila kitu kimegezwa ni siasa za kijinga. Polisi wangeachiwa wafanye mambo yao bila kuweka hawa wana kamati ambao wengi ni washirikika.
Inauma sana sijui kwanini adui wa Binadamu amekuwa ni binadamu
 
Kuna watu watapata sababu ya kuhalalisha upoteaji wa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…