Ninyi biashara zenu ni zipi? [emoji23]Hawa jamaa tambo nyiingi unaweza kudhani kuna la maana. Biashara zenyewe walishakariri ni kufungua Duka, Bar, Grocery, Kuchoma Kitimoto, Kufuga nguruwe na kuku
Hahahahah....Arusha Times(gazeti kongwe la Kingereza)Yawezekana Mkuu, niliisoma hiyo kwenye gazeti letu pendwa la Arusha times.
Ona maisha ya Arusha haya watu wanaishi kwenye vitundu alafu silently anajivunia kuishi mjini kuuza supu au kuwa mabarmaid (wanapenda kujipachika mbele ya miji ya watu soon utasikia Mwanza tumeijenga sisi,Dodoma tumeijenga aua Mwanza tumeijenga)Hawa jamaa tambo nyiingi unaweza kudhani kuna la maana. Biashara zenyewe walishakariri ni kufungua Duka, Bar, Grocery, Kuchoma Kitimoto, Kufuga nguruwe na kuku
Ni gazeti zuri sanaa, wageni walikuwa wakija hawahangaiki na migazeti mingine.Hahahahah....Arusha Times(gazeti kongwe la Kingereza)
Siku hizi silioni tena...Hata online halipo
Mji wa wavuta bangi
Hahaha....Miji yote mikubwa pia ina sehemu ambazo si nzuriOna maisha ya Arusha haya watu wanaishi kwenye vitundu alafu silently anajivunia kuishi mjini kuuza supu au kuwa mabarmaid (wanapenda kujipachika mbele ya miji ya watu soon utasikia Mwanza tumeijenga sisi,Dodoma tumeijenga aua Mwanza tumeijenga)
View attachment 505998
View attachment 505999
View attachment 505997
Wapi!Wewe huwa unahesabu A-city kama Tanzania, hujajiuliza mbona watu wa pale wapo kwenye level nyingine kwa kila kitu ikiwemo kujitambua kisiasa. Tanzania yote mngekua na hulka ya watu wa Arusha aisei tungekua tunasoma namba sisi majirani zenu.
Kawaida kama unaendesha gari na kuingia Arusha mtu huwa anahisi kama yupo Nairobi vile. Ukiangalia wanavyochangamka na kuchakarika.
Hii haitakusaidia kuwatoa ndugu zako wa Dodoma kwenye ufukara uliotukuka..Watu wa Kenya na Arusha/Kilimanjaro wanafanana mambo mawili
¤ Ukabila/Nepotism
¤Misifa ya kijinga/Tamaa/Kuoza meno
Kama sikosei wewe utakuwa mangi wa kishumundu umejibanza kwenye mji wa Arusha na sio Muarusha. Normally thread nyingi watu wa Kilimanjaro hupenda kujinasibu na Arusha au Nairobi.Hahaha....Miji yote mikubwa pia ina sehemu ambazo si nzuri
Hebu weka na pics za Arusha mjini
Halafu nakuambia tena Pwani na Dsm ilijengwa na Wakoloni na Serikali ya Tanzania na sio WAZAWA.
Wazawa waswahili hawana muda wala akili ya kujenga kwao.
Mbona huelewi?
Wewe una ubashite kichwani eeh....!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu ebu ona haya ya Dar slamOna maisha ya Arusha haya watu wanaishi kwenye vitundu alafu silently anajivunia kuishi mjini kuuza supu au kuwa mabarmaid (wanapenda kujipachika mbele ya miji ya watu soon utasikia Mwanza tumeijenga sisi,Dodoma tumeijenga aua Mwanza tumeijenga)
View attachment 505998
View attachment 505999
View attachment 505997
Nilikuwa nakuchukulia kama mtu mwenye uelewa mkubwa lakini kwa comment yako hii..i was totally wrongHii haitakusaidia kuwatoa ndugu zako wa Dodoma kwenye ufukara uliotukuka..
Wala haitamsadia bibi yako aliyeko Manyoni na Babu yako wa Simiyu kunywa maji kwenye bwawa ambalo punda na ng'ombe huoga.. Mkuu hii haitasaidia mamako kule Ileje na Itigi kutembea kilomita 10 kutafuta maji, kilomita 50 kutafuta kituo cha afya na siku nzima kukesha msituni akitafuta kuni za kuchemshia uji wa chumvi..
Mkuu sie wazee wetu kule milimani hayo walishaachana nayo tangia miaka ya 50's, 60's.. Barabara safi, Umeme na Maji yalikuwako huko tangia miaka hiyo.. Wazee wetu kule kijijini sasa wanatumia gesi kupikia vyakula vyao..
Mkuu hasira zako na Wakaskazini ungeziamishia kwenye kutatua kero kijijini kwako wamama wenye macho mekundu na albino wasingeuwawa huko Usukumani kwenu..
And In case you didn't know.. Maeneo hayo ndiyo huwa tunatuliaga tukipata vinywaji murua kabisa na hali ya hewa ya kuvutia kule Machame angali wewe huko Geita unahangaika na magwangwala..
Protea Hotel - Machame kijijini
Sallinero Millie Lodge - Machame Kijijini
Kaliwa Lodge - Machame Mgombani
Hamtakaa muiweze Kaskazini, sisi ndugu zetu ni Wakenya sio nyinyi lelemama mnaofanya hii nchi iendelee kutawaliwa na watu wanaojua kusoma na kuandika tu..
Hahahah nilitaka nikuite wewe na Nicholas kumbe ushofika.[emoji23] [emoji23]Hii haitakusaidia kuwatoa ndugu zako wa Dodoma kwenye ufukara uliotukuka..
Wala haitamsadia bibi yako aliyeko Manyoni na Babu yako wa Simiyu kunywa maji kwenye bwawa ambalo punda na ng'ombe huoga.. Mkuu hii haitasaidia mamako kule Ileje na Itigi kutembea kilomita 10 kutafuta maji, kilomita 50 kutafuta kituo cha afya na siku nzima kukesha msituni akitafuta kuni za kuchemshia uji wa chumvi..
Mkuu sie wazee wetu kule milimani hayo walishaachana nayo tangia miaka ya 50's, 60's.. Barabara safi, Umeme na Maji yalikuwako huko tangia miaka hiyo.. Wazee wetu kule kijijini sasa wanatumia gesi kupikia vyakula vyao..
Mkuu hasira zako na Wakaskazini ungeziamishia kwenye kutatua kero kijijini kwako wamama wenye macho mekundu na albino wasingeuwawa huko Usukumani kwenu..
And In case you didn't know.. Maeneo hayo ndiyo huwa tunatuliaga tukipata vinywaji murua kabisa na hali ya hewa ya kuvutia kule Machame angali wewe huko Geita unahangaika na magwangwala..
Protea Hotel - Machame kijijini
Sallinero Millie Lodge - Machame Kijijini
Kaliwa Lodge - Machame Mgombani
Hamtakaa muiweze Kaskazini, sisi ndugu zetu ni Wakenya sio nyinyi lelemama mnaofanya hii nchi iendelee kutawaliwa na watu wanaojua kusoma na kuandika tu..
Mkuu huu uzi kwanza sikutaka kabisa kutia neno langu mpaka pale wapuuzi wachache ambao waliingiza mambo ya kikabila na kikanda kwasababu ambazo wanazijua wao wenyewe. Kuna watu nchi hii ukiwatajia Kilimanjaro na Arusha tu kinachofata ni matusi, kebehi na dharau zisizo na msingi wowote.. Hicho nilichomjibu huyo nadhani kinaendana kabisa na aina ya jibu ambalo limempendeza.. Huwa tunawavumilia sana lakini nasi pia tuna mioyo..Nilikuwa nakuchukulia kama mtu mwenye uelewa mkubwa lakini kwa comment yako hii..i was totally wrong
Nimetokea kagera na pia kijiji ninachotoka kuna facilities zote in exception ya maji though tunayapata kiurahisi kupitia njia binafsi na facilities zilizopo kule ni nadra kwa baadhi ya wilaya za nchini petu lakini sikuwahi katika maisha yangu kuwadharau watu ambao hawana....
unasema ndugu zenu ni wakenya je,watu wa pwani ya kenya walio na Tabia za pwani ya Tanzania si ndugu zako au nawe wachukulia PWANI SI KENYA....
You are better than that brother
Hawa mkuu dawa yao ninayo mimi.. Sasahivi watarudi machakani heheheheheHahahah nilitaka nikuite wewe na Nicholas kumbe ushofika.[emoji23] [emoji23]
Nimekuelewa bro kwa sababu hata mimi ninapotokea huwa pamekaririka vibaya maana ukitaja kagera humu ni kashfa tu zitaendelea lakini mwisho wa siku unagundua inferiority inawasumbua so,unaachana nao lakini kwa uzi kama huu unakuwa kama "you are attacking the unknown"....Mkuu huu uzi kwanza sikutaka kabisa kutia neno langu mpaka pale wapuuzi wachache ambao waliingiza mambo ya kikabila na kikanda kwasababu ambazo wanazijua wao wenyewe. Kuna watu nchi hii ukiwatajia Kilimanjaro na Arusha tu kinachofata ni matusi, kebehi na dharau zisizo na msingi wowote.. Hicho nilichomjibu huyo nadhani kinaendana kabisa na aina ya jibu ambalo limempendeza.. Huwa tunawavumilia sana lakini nasi pia tuna mioyo..
Wazungu husema "You can't force a person to show you respect; but you can refuse to be disrespected"
Haha kwakweli binafsi nimeishi kaskazini for many years naijua vyema...ni jamii ya watu waliostaarabika mapemaHawa mkuu dawa yao ninayo mimi.. Sasahivi watarudi machakani hehehehehe
Hawataki kusikia mikoa fulani ikisifiwa kwa lolote, kwasababu tu huko kunaongozwa na chama wasichokipenda..
Asante baba nakupendaga kwa kuwa uchi moyini mwako (mkweli)Wewe huwa unahesabu A-city kama Tanzania, hujajiuliza mbona watu wa pale wapo kwenye level nyingine kwa kila kitu ikiwemo kujitambua kisiasa. Tanzania yote mngekua na hulka ya watu wa Arusha aisei tungekua tunasoma namba sisi majirani zenu.
Kawaida kama unaendesha gari na kuingia Arusha mtu huwa anahisi kama yupo Nairobi vile. Ukiangalia wanavyochangamka na kuchakarika.
WivuMji wa wavuta bangi
Indeed, watu wa Kaskazini ni wastaarabu sana na ndio maana wameweza kuishi na jamii nyingine nyingi za Tz bila tatizo lolote..Haha kwakweli binafsi nimeishi kaskazini for many years naijua vyema...ni jamii ya watu waliostaarabika mapema
Well saidWewe huwa unahesabu A-city kama Tanzania, hujajiuliza mbona watu wa pale wapo kwenye level nyingine kwa kila kitu ikiwemo kujitambua kisiasa. Tanzania yote mngekua na hulka ya watu wa Arusha aisei tungekua tunasoma namba sisi majirani zenu.
Kawaida kama unaendesha gari na kuingia Arusha mtu huwa anahisi kama yupo Nairobi vile. Ukiangalia wanavyochangamka na kuchakarika.