kweli kabisa.......mambo mengine ujue yanaenda kisiasa maana watu wanakosoana vitu vya kijinga humu angali tupo taifa moja.......na dhumuni la aliyeandika hii thread nafikiri hakuwa na dhumuni zuri cha msingi masuala ya ukabila tuachane nayo.....hadi majirani wanatudharau sasaNimekuelewa bro kwa sababu hata mimi ninapotokea huwa pamekaririka vibaya maana ukitaja kagera humu ni kashfa tu zitaendelea lakini mwisho wa siku unagundua inferiority inawasumbua so,unaachana nao lakini kwa uzi kama huu unakuwa kama "you are attacking the unknown"....
Haina shida mkuu
Mtwara...... Sindimba CityWavuta bangi matajiri...kuliko ule mji wa wapaka poda
bangi hio inakuzinguaUsitumie makalio kufikiri
Watanzania ndio tumefikia hapa safari bado ni ndefu.Hii haitakusaidia kuwatoa ndugu zako wa Dodoma kwenye ufukara uliotukuka..
Wala haitamsadia bibi yako aliyeko Manyoni na Babu yako wa Simiyu kunywa maji kwenye bwawa ambalo punda na ng'ombe huoga.. Mkuu hii haitasaidia mamako kule Ileje na Itigi kutembea kilomita 10 kutafuta maji, kilomita 50 kutafuta kituo cha afya na siku nzima kukesha msituni akitafuta kuni za kuchemshia uji wa chumvi..
Mkuu sie wazee wetu kule milimani hayo walishaachana nayo tangia miaka ya 50's, 60's.. Barabara safi, Umeme na Maji yalikuwako huko tangia miaka hiyo.. Wazee wetu kule kijijini sasa wanatumia gesi kupikia vyakula vyao..
Mkuu hasira zako na Wakaskazini ungeziamishia kwenye kutatua kero kijijini kwako wamama wenye macho mekundu na albino wasingeuwawa huko Usukumani kwenu..
And In case you didn't know.. Maeneo hayo ndiyo huwa tunatuliaga tukipata vinywaji murua kabisa na hali ya hewa ya kuvutia kule Machame angali wewe huko Geita unahangaika na magwangwala..
Protea Hotel - Machame kijijini
Sallinero Millie Lodge - Machame Kijijini
Kaliwa Lodge - Machame Mgombani
Hamtakaa muiweze Kaskazini, sisi ndugu zetu ni Wakenya sio nyinyi lelemama mnaofanya hii nchi iendelee kutawaliwa na watu wanaojua kusoma na kuandika tu..
Mpumbavu huyo ana kinyongo na ccm yupo radhi kuikana nchi yake aingie msituni.Nilikuwa nakuchukulia kama mtu mwenye uelewa mkubwa lakini kwa comment yako hii..i was totally wrong
Nimetokea kagera na pia kijiji ninachotoka kuna facilities zote in exception ya maji though tunayapata kiurahisi kupitia njia binafsi na facilities zilizopo kule ni nadra kwa baadhi ya wilaya za nchini petu lakini sikuwahi katika maisha yangu kuwadharau watu ambao hawana....
unasema ndugu zenu ni wakenya je,watu wa pwani ya kenya walio na Tabia za pwani ya Tanzania si ndugu zako au nawe wachukulia PWANI SI KENYA....
You are better than that brother
Kuiweza kivipi wewe bwabwa hii nchi ni yetu sote tutaishi na kufanya biashara popote, hakuna mmiliki yeyote wa mji wowote atakazuia mtanzania yeyote kufanya shughuli yoyote katika mkoa wowote anaoutaka. Kama wewe mkenya hamia huko. ShwainiHii haitakusaidia kuwatoa ndugu zako wa Dodoma kwenye ufukara uliotukuka..
Wala haitamsadia bibi yako aliyeko Manyoni na Babu yako wa Simiyu kunywa maji kwenye bwawa ambalo punda na ng'ombe huoga.. Mkuu hii haitasaidia mamako kule Ileje na Itigi kutembea kilomita 10 kutafuta maji, kilomita 50 kutafuta kituo cha afya na siku nzima kukesha msituni akitafuta kuni za kuchemshia uji wa chumvi..
Mkuu sie wazee wetu kule milimani hayo walishaachana nayo tangia miaka ya 50's, 60's.. Barabara safi, Umeme na Maji yalikuwako huko tangia miaka hiyo.. Wazee wetu kule kijijini sasa wanatumia gesi kupikia vyakula vyao..
Mkuu hasira zako na Wakaskazini ungeziamishia kwenye kutatua kero kijijini kwako wamama wenye macho mekundu na albino wasingeuwawa huko Usukumani kwenu..
And In case you didn't know.. Maeneo hayo ndiyo huwa tunatuliaga tukipata vinywaji murua kabisa na hali ya hewa ya kuvutia kule Machame angali wewe huko Geita unahangaika na magwangwala..
Protea Hotel - Machame kijijini
Sallinero Millie Lodge - Machame Kijijini
Kaliwa Lodge - Machame Mgombani
Hamtakaa muiweze Kaskazini, sisi ndugu zetu ni Wakenya sio nyinyi lelemama mnaofanya hii nchi iendelee kutawaliwa na watu wanaojua kusoma na kuandika tu..
What a beautiful culture,Ona maisha ya Arusha haya watu wanaishi kwenye vitundu alafu silently anajivunia kuishi mjini kuuza supu au kuwa mabarmaid (wanapenda kujipachika mbele ya miji ya watu soon utasikia Mwanza tumeijenga sisi,Dodoma tumeijenga aua Mwanza tumeijenga)
View attachment 505998
View attachment 505999
View attachment 505997
Hahaha we nenda pale EAC utasikia.Huyu mleta mada sio mtanzania na thread yake ina ajenda fulani isiyo wazi. Fuatilieni threads anazoanzisha na comments zake.
Huyo jamaa amekuwa akipigia debe sana suala la jumuiya ya Afrika mashariki kwa sababu wameona watanzania wanalipuuza sasa amekuja na hoja ya kipumbavu kabisa. Baadae watasema Kagera na Kigoma sio Tanzania. Tuwe makini na hao watu wa nchi jirani. Huwezi kwenda makao makuu ya UN New York halafu ukasema New York sio Marekani.
Watu aina ya mleta mada ni wa kuwafungulia mashtaka ya uhaini.
Beautiful culture au ni umasikini mpaka kwenye meno, mnaishia kupakimbia kwenu kila sikuWhat a beautiful culture,
Hapo unakuta familia inamiliki Ng'ombe 2000
Kuna siku nitatembelea hizi jamii japo nikavae shuka la kimasai niruke kidogo.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Mji wa wavuta bangi
Mnafikiri kwanza lkn ndio mnaandika.au mnaandika na kupost kwanza ndi mnafikiri baadae?Wewe huwa unahesabu A-city kama Tanzania, hujajiuliza mbona watu wa pale wapo kwenye level nyingine kwa kila kitu ikiwemo kujitambua kisiasa. Tanzania yote mngekua na hulka ya watu wa Arusha aisei tungekua tunasoma namba sisi majirani zenu.
Kawaida kama unaendesha gari na kuingia Arusha mtu huwa anahisi kama yupo Nairobi vile. Ukiangalia wanavyochangamka na kuchakarika.
Hakuna ubaya wowote,nilikua natoboa siri ya maendeleo yenu watu wajueKwani kuwa mkatoliki kuna ubaya gani? Kama ukatoliki equals maendeleo bora nchi itangazwe kuwa ya kikatoliki!
Hahaha we nenda pale EAC utasikia.
Alafu huwezi kulinganisha EAC na UN, ni vitu viwili tofauti sana. EAC ina nia ya kuungana na kuwa nchi moja, unlike the UN. Jamhuri ya Shirikisho la Afrika Mashariki lazima itakuwa na makao makuu yake.....
Naona dawa imekuingia mpaka mfupani.. Karibia utapona hicho kichaa chakoKuiweza kivipi wewe bwabwa hii nchi ni yetu sote tutaishi na kufanya biashara popote, hakuna mmiliki yeyote wa mji wowote atakazuia mtanzania yeyote kufanya shughuli yoyote katika mkoa wowote anaoutaka. Kama wewe mkenya hamia huko. Shwaini