"Arusha sio Tanzania"

"Arusha sio Tanzania"

Nimekuelewa bro kwa sababu hata mimi ninapotokea huwa pamekaririka vibaya maana ukitaja kagera humu ni kashfa tu zitaendelea lakini mwisho wa siku unagundua inferiority inawasumbua so,unaachana nao lakini kwa uzi kama huu unakuwa kama "you are attacking the unknown"....

Haina shida mkuu
kweli kabisa.......mambo mengine ujue yanaenda kisiasa maana watu wanakosoana vitu vya kijinga humu angali tupo taifa moja.......na dhumuni la aliyeandika hii thread nafikiri hakuwa na dhumuni zuri cha msingi masuala ya ukabila tuachane nayo.....hadi majirani wanatudharau sasa
 
Arusha pametulia binafsi huwa napenda ile hali ya ukijan na ubaridi wake umetulia sana

Kwa ukijan ule Arusha ndiyo ilitakiwa wajiite Green city na sio mbeya kuna vumbi kibao yaani msimu wa kiangaz lazima upendezee kwa vumbi
 
Mpaka sasa sijajua maana yaa hii thread naiona kama inakwenda kwenye kutaka kuwagawa watu kwa matabaka. Wote tunajua watanzania wote ni ndugu na tumelelewa ktk umoja na si kutugawa kuna vitu watu wanaandika huku mmm vinashangaza sio asili yetu tusitake kuwa kama majirani au kuiga vitu ambavyo havitufai huu sio utamaduni wetu.
 
Hii haitakusaidia kuwatoa ndugu zako wa Dodoma kwenye ufukara uliotukuka..

Wala haitamsadia bibi yako aliyeko Manyoni na Babu yako wa Simiyu kunywa maji kwenye bwawa ambalo punda na ng'ombe huoga.. Mkuu hii haitasaidia mamako kule Ileje na Itigi kutembea kilomita 10 kutafuta maji, kilomita 50 kutafuta kituo cha afya na siku nzima kukesha msituni akitafuta kuni za kuchemshia uji wa chumvi..

Mkuu sie wazee wetu kule milimani hayo walishaachana nayo tangia miaka ya 50's, 60's.. Barabara safi, Umeme na Maji yalikuwako huko tangia miaka hiyo.. Wazee wetu kule kijijini sasa wanatumia gesi kupikia vyakula vyao..

Mkuu hasira zako na Wakaskazini ungeziamishia kwenye kutatua kero kijijini kwako wamama wenye macho mekundu na albino wasingeuwawa huko Usukumani kwenu..

And In case you didn't know.. Maeneo hayo ndiyo huwa tunatuliaga tukipata vinywaji murua kabisa na hali ya hewa ya kuvutia kule Machame angali wewe huko Geita unahangaika na magwangwala..

Protea Hotel - Machame kijijini
proteaaishimachame1.jpg


Sallinero Millie Lodge - Machame Kijijini
salinero-millie-lodge-machame-27817-5f16984287c74a30a2a1f339524548dc1d2b3682.jpeg
salinero-millie-lodge-machame-27817-f5ea48c8bc2becd053625d843532daa031ce689a.jpeg


Kaliwa Lodge - Machame Mgombani
kaliwa-lodge.jpg
kaliwa-lodge-main3.jpg
kaliwa-lodge.jpg


Hamtakaa muiweze Kaskazini, sisi ndugu zetu ni Wakenya sio nyinyi lelemama mnaofanya hii nchi iendelee kutawaliwa na watu wanaojua kusoma na kuandika tu..
Watanzania ndio tumefikia hapa safari bado ni ndefu.
 
Nilikuwa nakuchukulia kama mtu mwenye uelewa mkubwa lakini kwa comment yako hii..i was totally wrong

Nimetokea kagera na pia kijiji ninachotoka kuna facilities zote in exception ya maji though tunayapata kiurahisi kupitia njia binafsi na facilities zilizopo kule ni nadra kwa baadhi ya wilaya za nchini petu lakini sikuwahi katika maisha yangu kuwadharau watu ambao hawana....


unasema ndugu zenu ni wakenya je,watu wa pwani ya kenya walio na Tabia za pwani ya Tanzania si ndugu zako au nawe wachukulia PWANI SI KENYA....

You are better than that brother
Mpumbavu huyo ana kinyongo na ccm yupo radhi kuikana nchi yake aingie msituni.
Watajikuta hawazidi mia huko msituni.
 
Hii haitakusaidia kuwatoa ndugu zako wa Dodoma kwenye ufukara uliotukuka..

Wala haitamsadia bibi yako aliyeko Manyoni na Babu yako wa Simiyu kunywa maji kwenye bwawa ambalo punda na ng'ombe huoga.. Mkuu hii haitasaidia mamako kule Ileje na Itigi kutembea kilomita 10 kutafuta maji, kilomita 50 kutafuta kituo cha afya na siku nzima kukesha msituni akitafuta kuni za kuchemshia uji wa chumvi..

Mkuu sie wazee wetu kule milimani hayo walishaachana nayo tangia miaka ya 50's, 60's.. Barabara safi, Umeme na Maji yalikuwako huko tangia miaka hiyo.. Wazee wetu kule kijijini sasa wanatumia gesi kupikia vyakula vyao..

Mkuu hasira zako na Wakaskazini ungeziamishia kwenye kutatua kero kijijini kwako wamama wenye macho mekundu na albino wasingeuwawa huko Usukumani kwenu..

And In case you didn't know.. Maeneo hayo ndiyo huwa tunatuliaga tukipata vinywaji murua kabisa na hali ya hewa ya kuvutia kule Machame angali wewe huko Geita unahangaika na magwangwala..

Protea Hotel - Machame kijijini
proteaaishimachame1.jpg


Sallinero Millie Lodge - Machame Kijijini
salinero-millie-lodge-machame-27817-5f16984287c74a30a2a1f339524548dc1d2b3682.jpeg
salinero-millie-lodge-machame-27817-f5ea48c8bc2becd053625d843532daa031ce689a.jpeg


Kaliwa Lodge - Machame Mgombani
kaliwa-lodge.jpg
kaliwa-lodge-main3.jpg
kaliwa-lodge.jpg


Hamtakaa muiweze Kaskazini, sisi ndugu zetu ni Wakenya sio nyinyi lelemama mnaofanya hii nchi iendelee kutawaliwa na watu wanaojua kusoma na kuandika tu..
Kuiweza kivipi wewe bwabwa hii nchi ni yetu sote tutaishi na kufanya biashara popote, hakuna mmiliki yeyote wa mji wowote atakazuia mtanzania yeyote kufanya shughuli yoyote katika mkoa wowote anaoutaka. Kama wewe mkenya hamia huko. Shwaini
 
Ona maisha ya Arusha haya watu wanaishi kwenye vitundu alafu silently anajivunia kuishi mjini kuuza supu au kuwa mabarmaid (wanapenda kujipachika mbele ya miji ya watu soon utasikia Mwanza tumeijenga sisi,Dodoma tumeijenga aua Mwanza tumeijenga)

View attachment 505998

View attachment 505999
View attachment 505997
What a beautiful culture,
Hapo unakuta familia inamiliki Ng'ombe 2000
Kuna siku nitatembelea hizi jamii japo nikavae shuka la kimasai niruke kidogo.
 
Hivi Wakuu Lengo lenu nini hasa?
Yaani huu mvutano what are you going to get out of it?
Mnaonekana mmesoma yet mnapigizana kelele kama wajinga flani Wa karne ya 15 huko,
Kama umeendelea kuna ulazima gani kumtambia maskini?
Halafu humu wengi ni Watu wazima,
Sisi Vijana tujifunze nini kwenu?
Tukiwadharau mnaanza kutuita Kizazi cha Nyoka.
Mifi kabisa!
 
Hehe napaenda sana r chuga, kila nipo tz lazma niparty na totoz apo triple A[emoji3] [emoji3] ,alaf kuna mshkaji ananiuzia nyumba flan nzur tu apo sakina 22m, am thinkn niinunue alf niipangishe..still thnkg bout it.
 
Huyu mleta mada sio mtanzania na thread yake ina ajenda fulani isiyo wazi. Fuatilieni threads anazoanzisha na comments zake.

Huyo jamaa amekuwa akipigia debe sana suala la jumuiya ya Afrika mashariki kwa sababu wameona watanzania wanalipuuza sasa amekuja na hoja ya kipumbavu kabisa. Baadae watasema Kagera na Kigoma sio Tanzania. Tuwe makini na hao watu wa nchi jirani. Huwezi kwenda makao makuu ya UN New York halafu ukasema New York sio Marekani.

Watu aina ya mleta mada ni wa kuwafungulia mashtaka ya uhaini.
Hahaha we nenda pale EAC utasikia.
Alafu huwezi kulinganisha EAC na UN, ni vitu viwili tofauti sana. EAC ina nia ya kuungana na kuwa nchi moja, unlike the UN. Jamhuri ya Shirikisho la Afrika Mashariki lazima itakuwa na makao makuu yake.....
 
What a beautiful culture,
Hapo unakuta familia inamiliki Ng'ombe 2000
Kuna siku nitatembelea hizi jamii japo nikavae shuka la kimasai niruke kidogo.
Beautiful culture au ni umasikini mpaka kwenye meno, mnaishia kupakimbia kwenu kila siku
 
Wewe huwa unahesabu A-city kama Tanzania, hujajiuliza mbona watu wa pale wapo kwenye level nyingine kwa kila kitu ikiwemo kujitambua kisiasa. Tanzania yote mngekua na hulka ya watu wa Arusha aisei tungekua tunasoma namba sisi majirani zenu.
Kawaida kama unaendesha gari na kuingia Arusha mtu huwa anahisi kama yupo Nairobi vile. Ukiangalia wanavyochangamka na kuchakarika.
Mnafikiri kwanza lkn ndio mnaandika.au mnaandika na kupost kwanza ndi mnafikiri baadae?
 
Hiyo yote sababu mlikubali kulamba miguu ya wazungu kwa kukumbatia ukatoliki wao.
Kwani kuwa mkatoliki kuna ubaya gani? Kama ukatoliki equals maendeleo bora nchi itangazwe kuwa ya kikatoliki!
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Kwani kuwa mkatoliki kuna ubaya gani? Kama ukatoliki equals maendeleo bora nchi itangazwe kuwa ya kikatoliki!
Hakuna ubaya wowote,nilikua natoboa siri ya maendeleo yenu watu wajue
 
Arusha ni mji bora sana nilazima uchangamke sana gharama zamaisha arusha nijuu sana ..nyumba juu mpaka mitaani hii huchangiwa na wageni wengi.utalii na madin ya tanzanaiti hivyo hakuna kupatana sana biashara ni short cut bei fluni kwisha hakuna hadisi ndefu sana
 
Hahaha we nenda pale EAC utasikia.
Alafu huwezi kulinganisha EAC na UN, ni vitu viwili tofauti sana. EAC ina nia ya kuungana na kuwa nchi moja, unlike the UN. Jamhuri ya Shirikisho la Afrika Mashariki lazima itakuwa na makao makuu yake.....

Mliambiwa hivyo kwa sababu vikao hivyo si vya serikali ya JMT, waambie hao waliowaambia hivyo watoke nje ya ofisi hizo halafu watamke maneno hayo.
 
Kuiweza kivipi wewe bwabwa hii nchi ni yetu sote tutaishi na kufanya biashara popote, hakuna mmiliki yeyote wa mji wowote atakazuia mtanzania yeyote kufanya shughuli yoyote katika mkoa wowote anaoutaka. Kama wewe mkenya hamia huko. Shwaini
Naona dawa imekuingia mpaka mfupani.. Karibia utapona hicho kichaa chako
 
Back
Top Bottom