Arusha: Wazazi Shule ya St. Jude waandamana kwa RC, TRA yakausha akaunti ya shule

Kwani wana exemption ya kodi mkuu?? Kama hawana basi wanatakiwa kulika kodi no way ndiyo sheria zetu za kodi zinasema hivyo hivyo hatuwezi kuwalaumu TRA kwa hilo.
 
Nadhani wanaweza kutoa instruction kwa benki ku freeze account kwa muda wakati wanafanya calculation zao ,au mpaka kodi fulani ilipwe, hawana uwezo kuchota hela kwenye account ila watafreeze mpaka ulipe hiyo kodi then account zitaachiwa
Kamishna wa TRA anauwezo wakuiamuru Benki yoyote nchini kutoa pesa kutoka kwenye akaunti ya mdaiwa wa kodi na kuiweka kwenye akaunti ya TRA. Ipo kwenye sheria ya TRA
 

Asante, Kumbe unajua chanzo
 
Hivi hyo st jude ndo ile pale njiani ukiwa unatokea njia ya babati nzurii mazingira yake mazuri au nimekosea
 
Kosa la hawa watu ni kutodeclare tu kua wao ni charity.... yani mamlaka imekaa kuvizia vizia tu...... kisheria ni kweli kama ni charity lazma udeclare mwanzo, kutodeclare ni kosa.. lakini kama taasisi ikiweza kujustify kua ni kweli ni charity, kwanini wasisikilizwe na kupunguziwa adhabu kuliko kulimwa fine ambazo zinasababisha shule kufungwa???? Very painful....
 
I see. Kukwepa kodi ni kosa la jinai. Imekuwaje badala ya wahusika kufikishwa mahakamani TRA ikaushe akaunti ya Shule? Kuna tatizo mahali
Hapo sasa, ila shule kwanini haikuwapa vielelezo wazazi ionyeshwe kweli TRA imechukuwa hizo fedha?! Litakuwa kosa la jinai kwa kweli, hata kama shule haijalipa kodi...
Na kama ni kweli, je TRA inaweza mbele zaidi na kukausha hela zetu airtel money, tigopesa, Mpesa, Tpesa n.k. n.k. Kama tunadaiwa kodi????!!!
 
Tetesi Ni kushindwa kutoa Magari kusafirisha watu wa Kuongeza vichwa kwenye Kampeni.
 
Nimeongelea kuhusu hili kuna mtu amenipinga sana wakati tunao ushahidi wa kutosha, asilimia kubwa ya watoto waliopo kwenye hizo shule wazizi wao sio masikini
 
Hi ndio bongoland mambo ya nyuma ya pazia ni mengi sana, mambo ya kunyoosha mkono
 
unasema Hivyo sababu hayajakukuta Ila TRA wana tatizo.
Atakua anakatwa P.A.Y.E huyo hajui TRA kwamba ni akili matope?

Ni kweli watu wana arrears na zingine zinakwenda way back 10 years wakitumia nguvu nyingi kudai arrears kuliko kumfanya mlipa kodi astawi waweze pata zaidi mbeleni?

Na ni kweli sheria yao ya arrears haijafanyiwa marekebisho, kwani inamtaka mlipa kodi kulipa kodi once established within 6 months kitu ambacho hakiwezekani kama walimwacha mlipa kodi akabaki na arrears for ten years.
 
Kama ndivyo basi laana itawatafuna wahusika!!!
 
Mungu wangu.,Kama ndivyo laana itawatafuna wahusika wote !!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…