TANZIA Arusha Wing tumepata msiba wa mwenzetu Freetown

My heartfelt condolonces to his family and beloved ones. may his soul R.I.P Amen
 
R.I.P ndugu yetu. Tunaomba uthibitisho isije kuwa kama habari za umomi amejitangaza amefariki kumbe mzima...alafu mods wanaangalia tu anavyoendelea kutuongopea ingekuwa uongozi wa nyuma angeshapigwa chini...
 
R.I.P ndugu yetu. Tunaomba uthibitisho isije kuwa kama habari za umomi amejitangaza amefariki kumbe mzima...alafu mods wanaangalia tu anavyoendelea kutuongopea ingekuwa uongozi wa nyuma angeshapigwa chini...
Ukipitia post zote utapata jibu
 
Poleni sana. Marehemu apumzike kwa amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…