Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Preta ubarikiwe sana kwa kuweka taarifa hii humu, Lakini pia mniwie radhi kwa kutokuileta humu mapema. Ni Kweli Freetown alifariki tangu tarehe 08 June 2020. Alifia nje ya nchi. Mwili haukuweza kusafirishwa mapema kutokana na kukosekana flights kwa sababu ya Covid 19. kulikuwa hakuna flights kutoka huko kuja huku.Kwa masikitiko makubwa tunapenda kuwajulisha members wote kuwa, mwenzetu Freetown hatunae tena,ametwaliwa kutoka kwenye ulimwengu huu.
Kwa members wa zamani, nadhani mtakuwa mnaifahamu hii ID vizuri.
Kwa wale tuliofanikiwa kusafiri pamoja kuelekea Tarangire kipindi kile, niwape pole sana kwa msiba huu.
Member mwenzetu PakaJimmy atakuja kutupa habari kamili kama alivyozipokea.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Apumzike kwa aman......Amen
Prishaz@Lily Flower@Mwanajamiione@Sahara Voice@Ncha@Derimto@Maxence Melo@Geoff@Asprin@Kaizer@Filipo@Blaki Womani@Cantalisia@Igwe@LiverpoolFC@Marejesho@Mzee wa Rula@Sweetlady
Ahsante Kwa taarifa poleni sana, hili ni pigo letu sote, kazi ya Muumba haina makosaWrite your reply...
Nilipigiwa simu jana alfajiri na Jamaangu anayeishi eneo la UsaRiver akaniambia kuwa wako Kilimanjaro International Airport muda wa saa 1.00
Akaniambia kuwa wamefika hapo kuupokea mwili wa Rafiki yetu Freetown ambao umeletwa na Ndege ya Emirates.
Freetown alikuwa mfanyakazi wa UN na alikuwa akiishi Pakistan na kufanyia kazi huko kwa muda mrefu
Taarifa zinasema kuwa Freetown alifariki katikati ya mwezi wa 6, na suala la kuusafirisha mwili wake kumrudisha nyumbani lilikuwa tata kutokana na hali ya usafiri wa ndege lilivyo kwa sasa.
Mwili wa Freetown ulisafirishwa hiyohiyo jana kuelekea kwao Mkoa wa Njombe
Mungu aiweke pema peponi roho ya mwenzetu Freetown.
Aisee poleni sana mkuu, mwili ulikaa sana Mungu aifariji familiaPreta ubarikiwe sana kwa kuweka taarifa hii humu, Lakini pia mniwie radhi kwa kutokuileta humu mapema. Ni Kweli Freetown alifariki tangu tarehe 08 June 2020. Alifia nje ya nchi. Mwili haukuweza kusafirishwa mapema kutokana na kukosekana flights kwa sababu ya Covid 19. kulikuwa hakuna flights kutoka huko kuja huku.
Mwili umepokelewa Jana Ijumaaa na Kusafirishwa kwenda kijijini jana hiyo hiyo na mazishi yamefanyika leo.
JINA LA BWANA LIBARIKIWE
RIP FREETOWN.
Arusha wing mwakutanaje.?
Sijawahi kutana hata na mmoja.
Poleni sana
Whatsapp namba yako inaishia ngapi ?Kwa masikitiko makubwa tunapenda kuwajulisha members wote kuwa, mwenzetu Freetown hatunae tena,ametwaliwa kutoka kwenye ulimwengu huu.
Kwa members wa zamani, nadhani mtakuwa mnaifahamu hii ID vizuri.
Kwa wale tuliofanikiwa kusafiri pamoja kuelekea Tarangire kipindi kile, niwape pole sana kwa msiba huu.
Member mwenzetu PakaJimmy atakuja kutupa habari kamili kama alivyozipokea.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Apumzike kwa amani......Amen
Prishaz Lily Flower MwanajamiiOne SaHaRa Voice Ncha Derimto Maxence Melo Geoff Asprin Kaizer Filipo Blaki Womani Cantalisia IGWE LiverpoolFC marejesho Mzee wa Rula sweetlady
Too sadWrite your reply...
Nilipigiwa simu jana alfajiri na Jamaangu anayeishi eneo la UsaRiver akaniambia kuwa wako Kilimanjaro International Airport muda wa saa 1.00
Akaniambia kuwa wamefika hapo kuupokea mwili wa Rafiki yetu Freetown ambao umeletwa na Ndege ya Emirates.
Freetown alikuwa mfanyakazi wa UN na alikuwa akiishi Pakistan na kufanyia kazi huko kwa muda mrefu
Taarifa zinasema kuwa Freetown alifariki katikati ya mwezi wa 6, na suala la kuusafirisha mwili wake kumrudisha nyumbani lilikuwa tata kutokana na hali ya usafiri wa ndege lilivyo kwa sasa.
Mwili wa Freetown ulisafirishwa hiyohiyo jana kuelekea kwao Mkoa wa Njombe
Mungu aiweke pema peponi roho ya mwenzetu Freetown.