johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kumbe kuna wabena wasiojitambua 🐼Kwani chsdema ilikataliwa na wazalendo na wanyonge [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] leo mnasema kweli kuwa mlikataliwa na wananchi [emoji28][emoji28][emoji28] niliwaambia kuwa chadema ni wapumbavu mkabisha hata sasa watu wanawakubali kwa sababu hakuna mbadala tu chadema na ccm ni [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]tu
Hii sampling ni Lucas style,naona umechora na cartoon za akili mbofu mbofu kwenye waslisho lako.Chadema mambo yamenyoooka hadi mtaseeeemaaa🤸🤸🤸Kwani chsdema ilikataliwa na wazalendo na wanyonge [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] leo mnasema kweli kuwa mlikataliwa na wananchi [emoji28][emoji28][emoji28] niliwaambia kuwa chadema ni wapumbavu mkabisha hata sasa watu wanawakubali kwa sababu hakuna mbadala tu chadema na ccm ni [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]tu
ccm haipuuzagi wala kubeza ushauri au ukosoaji makini na wa maana hususani wa kisiasa...Mwenye macho haambiwi tazama
Mlale Unono 😀
Ndivyo mnavyojidanganya? ✌️✌️Ndio mshamaliza
Hao ni sikio la kufa tena la fisi wa mwituni,halisikii wala haliliki na hata fisi mlafi wa dunia hii🤓ccm haipuuzagi wala kubeza ushauri au ukosoaji makini na wa maana hususani wa kisiasa...
kwenye kujitathimini na kujisahihisha,
dosari hurekebishwa, nyufa huzibwa, krecks zote husawazishwa na kisha mikakati ya kujiimarisha na kujizatiti zaidi hubuniwa na kutekelezwa kwa makini zaid ili kuyafikia malengo mahususi ya chama ya kijizatiti zaidi na kuendelea kushinda uchaguzi, kushika dola, kuunda serukali na kuwatumikia waTZ...
si kweli ,Hao ni sikio la kufa tena la fisi wa mwituni,halisikii wala haliliki na hata fisi mlafi wa dunia hii🤓
Tena cashier, mtunza fedha! Ila Yuda, yule msaliti, kapotea milele that betrayer!Alikuwa, mind you. Hata Yudah Iskarioti alikuwa mtume wa Yesu.
2025 uchaguzi ukiwa huru kuna watu watalia, kanda za ziwa kijani hawatapata kitu! Huu ndio wakati wa kwenda kutupa karata! Mgombea wa upinzani unaweza kushinda bila jasho!Mwanza Bado inaongoza,
Ila mwitikio na hamasa imeongezeka sana Kila hatua ya maandamano.
Kwa tulipofikia, lazima sauti ya umma isikizwe.
Unandamana kwenye keybord jamaa fisi sana!Ndivyo mnavyojidanganya? ✌️✌️
Kuna comrade mmoja ni Mstaff kwenye Vyomvo vya Mitulinga na pyupyupyu alisema walipelekwa Israel kujifunza mbinu za kuiba kura.CCM haitegemei kura kwani walikwisha sema wanazo mbinu nyingi za kupata ushindi.
Mbona mnaonekana kama mnaionea huruma CCM? Nyie si muendelee tu?CCM ijue kwamba kwa kuendelea kutuibia Kura mwishowe Taifa litaingia kwenye migogoro isiyokuwa ya LAZIMA Mwacheni Mwananchi aamue ni Kiongozi gani anayemtaka SIASA ni NGUVU ya USHAWISHI angalieni CHADEMA kinavyopendwa kwa Moyo wa DHATI na Mtanzania.
✌️❤👈🫡
Mbowe Kuhusu Nchi Kukopa Nje 'Hii Nchi Inaendeshwa Kwa Mikopo'Mh. Freeman Mbowe anasema leo tumehitimisha raundi ya kwanza ya maandamano katika majiji manne ya nchini Tanzania
Mh. Mbowe anaongeza kamati kuu ya CHADEMA imejiridhisha CCM haina nia njema bali inafanya ulaghai mtupu kwa wananchi na jumuiya ya kimataifa.
Dar es Salaam kilometa 50, kule Mbeya kilometa 42 Arusha leo kilometa 30 kuanzia eneo la KwaMrefu na kukutana na wananchi waliotueleza kero na taabu za maisha.
Tunakwenda kule Mtwara kutengeneza Azimio la Mtwara kwa mkutano wa kamati kuu na kuwapa taarifa ya maandamano haya ya majiji manne ambapo tumetembea jumla ya kilomita 160 kwa miguu kukutana na wananchi wa kada zote, vyama vyote ...
c.c Erythrocyte
Tunatoa Onyo kwa Chama Tawala ili yakija kutokea wasiisingizie CHADEMA.Mbona mnaonekana kama mnaionea huruma CCM? Nyie si muendelee tu?
Hamna lolote endeleeni na maandamano yenuTunatoa Onyo kwa Chama Tawala ili yakija kutokea wasiisingizie CHADEMA.
Kimwili tu ndio niko kwenye Keyboard.Unandamana kwenye keybord jamaa fisi sana!
Tunaedelea halafu Migomo itafuatia ngoja tuendelee kuchemsha maji Chura mnafikiri hilo ni Swimming pool? Hilo ni Karai liko juu ya Mafiga.Hamna lolote endeleeni na maandamano yenu
Taratibu za gereji zilisha kwama tafuteni nyingine 🤓🤸🤓🤸acha tubembee kwenye ndege tu , sis na ndege , ndege na sisi....... si tutaiba kura, kwani kuna shida?
Hivi sasa wapo wakwibaji tuuu🤸🤸🤸🤸🤓Nawasipo rudisha kikokotoo Cha kustaff Cha wakati wa Rais Kikwete hata wazee wataenda chadema.