Pre GE2025 Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Pre GE2025 Arusha: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA, leo Februari 27, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani chsdema ilikataliwa na wazalendo na wanyonge [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] leo mnasema kweli kuwa mlikataliwa na wananchi [emoji28][emoji28][emoji28] niliwaambia kuwa chadema ni wapumbavu mkabisha hata sasa watu wanawakubali kwa sababu hakuna mbadala tu chadema na ccm ni [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]tu
Kumbe kuna wabena wasiojitambua 🐼
 
2025 hatakama watapanga kuiba kura,kuna mahali itashindikana wataema ndoano.
Kila la heri wanasiasa.
 
Kwani chsdema ilikataliwa na wazalendo na wanyonge [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] leo mnasema kweli kuwa mlikataliwa na wananchi [emoji28][emoji28][emoji28] niliwaambia kuwa chadema ni wapumbavu mkabisha hata sasa watu wanawakubali kwa sababu hakuna mbadala tu chadema na ccm ni [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]tu
Hii sampling ni Lucas style,naona umechora na cartoon za akili mbofu mbofu kwenye waslisho lako.Chadema mambo yamenyoooka hadi mtaseeeemaaa🤸🤸🤸
 
Mwenye macho haambiwi tazama

Mlale Unono 😀
ccm haipuuzagi wala kubeza ushauri au ukosoaji makini na wa maana hususani wa kisiasa...

kwenye kujitathimini na kujisahihisha,
dosari hurekebishwa, nyufa huzibwa, krecks zote husawazishwa na kisha mikakati ya kujiimarisha na kujizatiti zaidi hubuniwa na kutekelezwa kwa makini zaid ili kuyafikia malengo mahususi ya chama ya kijizatiti zaidi na kuendelea kushinda uchaguzi, kushika dola, kuunda serukali na kuwatumikia waTZ...
 
ccm haipuuzagi wala kubeza ushauri au ukosoaji makini na wa maana hususani wa kisiasa...

kwenye kujitathimini na kujisahihisha,
dosari hurekebishwa, nyufa huzibwa, krecks zote husawazishwa na kisha mikakati ya kujiimarisha na kujizatiti zaidi hubuniwa na kutekelezwa kwa makini zaid ili kuyafikia malengo mahususi ya chama ya kijizatiti zaidi na kuendelea kushinda uchaguzi, kushika dola, kuunda serukali na kuwatumikia waTZ...
Hao ni sikio la kufa tena la fisi wa mwituni,halisikii wala haliliki na hata fisi mlafi wa dunia hii🤓
 
Mwanza Bado inaongoza,

Ila mwitikio na hamasa imeongezeka sana Kila hatua ya maandamano.

Kwa tulipofikia, lazima sauti ya umma isikizwe.
2025 uchaguzi ukiwa huru kuna watu watalia, kanda za ziwa kijani hawatapata kitu! Huu ndio wakati wa kwenda kutupa karata! Mgombea wa upinzani unaweza kushinda bila jasho!
 
CCM ijue kwamba kwa kuendelea kutuibia Kura mwishowe Taifa litaingia kwenye migogoro isiyokuwa ya LAZIMA Mwacheni Mwananchi aamue ni Kiongozi gani anayemtaka SIASA ni NGUVU ya USHAWISHI angalieni CHADEMA kinavyopendwa kwa Moyo wa DHATI na Mtanzania.


✌️❤👈🫡
Mbona mnaonekana kama mnaionea huruma CCM? Nyie si muendelee tu?
 
Mh. Freeman Mbowe anasema leo tumehitimisha raundi ya kwanza ya maandamano katika majiji manne ya nchini Tanzania

Mh. Mbowe anaongeza kamati kuu ya CHADEMA imejiridhisha CCM haina nia njema bali inafanya ulaghai mtupu kwa wananchi na jumuiya ya kimataifa.

Dar es Salaam kilometa 50, kule Mbeya kilometa 42 Arusha leo kilometa 30 kuanzia eneo la KwaMrefu na kukutana na wananchi waliotueleza kero na taabu za maisha.

Tunakwenda kule Mtwara kutengeneza Azimio la Mtwara kwa mkutano wa kamati kuu na kuwapa taarifa ya maandamano haya ya majiji manne ambapo tumetembea jumla ya kilomita 160 kwa miguu kukutana na wananchi wa kada zote, vyama vyote ...

c.c Erythrocyte
Mbowe Kuhusu Nchi Kukopa Nje 'Hii Nchi Inaendeshwa Kwa Mikopo'

View: https://m.youtube.com/watch?v=FTh4eB8eXmc
 
Hamna lolote endeleeni na maandamano yenu
Tunaedelea halafu Migomo itafuatia ngoja tuendelee kuchemsha maji Chura mnafikiri hilo ni Swimming pool? Hilo ni Karai liko juu ya Mafiga.
 
Nawasipo rudisha kikokotoo Cha kustaff Cha wakati wa Rais Kikwete hata wazee wataenda chadema.
 
Back
Top Bottom