Vyama vya upinzani havina wajibu wa kuwaletea maendeleo wananchi kwa kuwa havina bajeti. Mwenye jukumu hilo ni serekali maana ndio yenye kukusanya hela za wananchi wote bila kujali wanatoka vyama ganiArusha na Mbeya ni Mikoa ya watu wasioelewa wanachotaka na pengine Huwa Wana enjoy Kwa kuwa Wapinzani.
Wana miaka Mingi Sasa Toka wawe Wapinzani uliza Cha maana walichopata
Ukiwa mpinzani hasa Kwa siasa za Nchi hii unakuwa huna Cha maana utafanya kusogeza ajenda zako yaani utakuwa mpinzani tuu ila hata wewe huelewi unapinga nini ππKuna kipi wapinzani wanakosa nchi hii Hadi useme hivyo? Mbona nchi yetu Bado ni masikini, au huko kusiko na upinzani ndio Kuna maendeleo sana mfano Tanga na Mtwara?
Mtwara na Dodoma ingefaa kuwa mfano mwemaKuna kipi wapinzani wanakosa nchi hii Hadi useme hivyo? Mbona nchi yetu Bado ni masikini, au huko kusiko na upinzani ndio Kuna maendeleo sana mfano Tanga na Mtwara?
Kuyasema bila Woga sijui uwakilishi nini Tija yake kwenye maisha Yao hasa? Hivi uliwahi ona watu wanaojitambua wanafanya mambo ambayo hayana Tija kwao? Kwa nyie Wanasiasa Ina Tija Kwa sababu mnapata ugali,heshima na stahiki kadhaa ,hao wanaloana wanapata nini hasa?Vyama vya upinzani havina wajibu wa kuwaletea maendeleo wananchi kwa kuwa havina bajeti. Mwenye jukumu hilo ni serekali maana ndio yenye kukusanya hela za wananchi wote bila kujali wanatoka vyama gani
Kiuhalisia hiyo mikoa uliyoitaja walichopata ni uwakilishi, kusemewa mambo yao bila woga. Siku hiyo chadema au upinzani ukishika serekali ndio utakuwa na haki kuwauliza hao wananchi wamepewa nini na chadema
Ni kama ilivyokuwa Lindi, Mtwara Pwani na TaboraArusha na Mbeya ni Mikoa ya watu wasioelewa wanachotaka na pengine Huwa Wana enjoy Kwa kuwa Wapinzani.
Wana miaka Mingi Sasa Toka wawe Wapinzani uliza Cha maana walichopata
Maandiko yametimiaSasa leo yale maandiko ndio yanatimia.
Mathayo 8:22.
Lakini Yesu akamwambia, Nifuate; waache wafu wazike wafu wao.
Marehemu walazwe pema peponi, ila tutawaacha Wafu (CCM) wazike wafu wao.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Si mlisema achadema imekufa?Unandamana kwenye keybord jamaa fisi sana!
Saut ya MamlakaMbowe Kuhusu Nchi Kukopa Nje 'Hii Nchi Inaendeshwa Kwa Mikopo'
View: https://m.youtube.com/watch?v=FTh4eB8eXmc
Mimi hoja yangu ni kutumika Kisiasa kama hunufaiki ila kama unanufaika ni sawa kabisa kuendelea kuandamana Ukiwa na matumaini ya kupata ulichokosa.Ni kama ilivyokuwa Lindi, Mtwara Pwani na Tabora
Mbona umetoa mlio mkali kama umebanwa na mlango?.Gambo Wala usitishike hata kidogo huo ni ukabila tu. Siku chadema wakipewa nafasi kubwa kubwa nchi imekwisha mana ukabila ndo utatawala
Dr. Mwigulu amelieleza suala hili vizuri kweli leo hii 27/2/2024.Mbowe Kuhusu Nchi Kukopa Nje 'Hii Nchi Inaendeshwa Kwa Mikopo'
View: https://m.youtube.com/watch?v=FTh4eB8eXmc
Gambo Wala usitishike hata kidogo huo ni ukabila tu. Siku chadema wakipewa nafasi kubwa kubwa nchi imekwisha mana ukabila ndo utatawala
Siku ya mwisho kila goti litapigwaGambo Wala usitishike hata kidogo huo ni ukabila tu. Siku chadema wakipewa nafasi kubwa kubwa nchi imekwisha mana ukabila ndo utatawala
Mtani na wewe Mungu akubariki!Mungu Ibariki CHADEMA
Muda ni sasaNawasipo rudisha kikokotoo Cha kustaff Cha wakati wa Rais Kikwete hata wazee wataenda chadema.
Maandamano yamekwisha, siku imeenda, viongozi chadema wapo mahotelini, wakipata 2,3 kwa fedha za ruzuku raha mustarehe, enyi nyumbu baada ya maandamano mu hali gani?
HahaaHalima Mdee ni Chadema kuliko wewe bwashee ππ₯
Intelijensi gani upuuzi tu, wafanya biashara wanahujumu nchi hiyo intelligence ipo ina zungusha vitambi tu ,kwenye mambo ya kipuuzi ndio intelligence ipo,ujinga mkubwaMnafuatiliwa kwa karibu. Intelijensia ipo kazini
Ukisema hivyo una maanisha nini au na wewe kuto kwenda shule kuna kusumbua kama wajinga wengine ?Arusha na Mbeya ni Mikoa ya watu wasioelewa wanachotaka na pengine Huwa Wana enjoy Kwa kuwa Wapinzani.
Wana miaka Mingi Sasa Toka wawe Wapinzani uliza Cha maana walichopata
Gambo hana kabila?Gambo Wala usitishike hata kidogo huo ni ukabila tu. Siku chadema wakipewa nafasi kubwa kubwa nchi imekwisha mana ukabila ndo utatawala