Asafirisha wahamiaji 20 kwa V8 yenye bendera ya CCM

Holili Moshi Kia Arusha .......
Namanga Longido Ngaramtoni Kisongo......
Arusha Duka Mbovu Nanja Makuyuni.....

Tunduma Tunduma Tunduma

Mbelekwambelee Kichaka cha UHALIFU
 
naomba kuuliza kwa nini hawa wa ethiopian mara zote huwa wanakamatwa wakielekea south Africa na siyo kwingineko...?kuna siri ipi uko south Africa
 
Ukiwa CCM hakuna KESI itafutwa na Wasomali wataendelea na safari kwa Gari hilo hilo na Bendera hiyo hiyo ikipepea
 
Pembe la ng'ombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…