Asali, samli, kitunguu maji ni tiba ya nguvu za kiume- mrejesho

Asali, samli, kitunguu maji ni tiba ya nguvu za kiume- mrejesho

mpango mzima ni ile dawa inaitwa LIFE. inatangazwa star tv na jamaa anaitwa dr buberwa. ile ni kiboko, uchovu wote kwisha na unakuwa active masaa yote. kisukari, pressure, vidonda vya tumbo utavisikia kwenye bomba tu. nimeitumia na imezaa matunda..

Kwangu LIFE haikuona ndani, mambo iko kwa JIKO bhana
 
Habari wana jamvi!

Nimeleta mrejesho wa wa chakula tiba tuliopewa na ndugu yetu Julius Mahenya.

Nimekunywa dawa na leo jioni ndio nitamaliza dozi ila kwa hakika mabadiliko yapo makubwa,mruko wa mkoja ni mkubwa na si asubuhi tu hata mchana,alfajiri jogoo anasimama mpaka mishipa inauma,tena inapanda juu kama pembe la kifaru,alafu mwili wangu ulikuwa nikipataga uchovu mwilini nao siusikii na na sina usingizi wa hovyo kama hapo nyuma,asubuhi naamka na nguvu tofauti na zamani.

Namshuku ndugu yetu Julius Mahenya.

Wana JF mnao ni PM kwa kutaka mrejesho ili nanyi muweze kutumia nawatoa wasiwasi tumieni, najua wengi wametumia nao watotoa ushuhuda na pongezi kwa ndugu Mahinya.
Hivi vitu unachanganya vyote au?na ni kipimo cha namna gani?na dozi yake ya mda gani?
 
Soma comment za wengine pia kabla hujauliza. una mix juice ya kitunguu kijiko kimojo kikubwa, asali mbichi na samli koroga kunywa mara mbili kwa siku mara siku saba. Ila mkipata nafuu bakini njia kuu jamani na wenzenu wafurahie. Wanaumia sana na style zenu za ujogoo. Pia punguzeni pombe na sigara inawawaumiza sana ndo maana mnashindwa shughuli muhimu ya kuwa dume.
 
Kwa maelekezo ya ndugu Julius Mahenya ni kwamba unakamua juice ya kitunguu maji kijiko kimoja cha chai (kile kikubwa) kisha unachanganya na asali mbichi kijiko hichohicho na unachanganya tena na samli kijiko hicho hicho kisha unakoroga unakunywa.Unatengeneza asubuhi na jioni na kunywa kwa mda wa siku 7 dozi imeisha.

Asante mkuu. Mie bado nina nguvu sihitaji hiyo dawa kwa sasa lakini najua kadiri umri unavyosogea kuna siku nitaihitaji japo sijui samli inapatikana wapi maana siku hizi hata vijijini hawatengenezi.
 
Wadau mimi ninashida moja imejitokeza kwangu this siku chache nilipata mchepuko kidogo akaniruhusu kumshika mwili wake na kadhalika mzee akasimama but nilipotaka kumuingilia mzee akalala ghafla.Then baada ya hapo nikakutama na mchepuko wangu mwingine wa muda uwa tumeshaonana kama mara 4 tano hivi nimpiga goli moja la pili kama stimu nikawa sina hivi.But today I mean na mpenzi wangu nimpendae with all my heart mzee kasimama namuingilia tu kalala.Tatizo linaweza kuwa nini wadau pls I need help pls I beg.....
 
Je kuna dawa ya nguvu za kike.???.kwasababu mimi ninashida ya kupoteza hamu ya tendo baada ya round ya kwanza tuu.Sitamani tena na hamu inakwisha...na uke unakuwa mkavu ..msaada
 
Bratha hebu tupe link ya hiyo elimu iliyotolewa na julius
 
Kupata samli unaweza kununua butter ukaichemsha hadi mafuta yakajitenga na solid milk,au machicha then unachuja na kupata samli(ghee).ila sasa sijui kama butter ya supermarket yaweza kuwa natural.
Zamani zilikuwepo mashine tukiziita mashine za shagi,zina mfumo kama wa centrifuge ambamo maziwa huwekwa na kuwa spinned hadi yanajitenga na ile cream ambayo ndo butterfat japo inakuwa bado na kiasi cha water na solidmilk,sasa ili upate samli ile butter kwa kiswahili sijui ndo siagi inapikwa,kipindi kile tukipikia kwenye mapipa,mpaka mafuta yanapatikana then unakamua kwa kitambaa kutenganisha samli na machicha.
Localy zaidi mabibi walikua wanagandisha maziwa then wanayaweka kwenye kibuyu na kuyasuka(kuspin )kibuyu kisha watamwaga maziwa kwenye sufuria ambapo ile cream huja juu,wanaengua cream na kuipika hadi wanapata samli.
Sisi kwa lugha ya kule kwetu, hiyo process tunaiita "Okosegesa amabhele". Hahaaa!.
 
Kupata samli unaweza kununua butter ukaichemsha hadi mafuta yakajitenga na solid milk,au machicha then unachuja na kupata samli(ghee).ila sasa sijui kama butter ya supermarket yaweza kuwa natural.
Zamani zilikuwepo mashine tukiziita mashine za shagi,zina mfumo kama wa centrifuge ambamo maziwa huwekwa na kuwa spinned hadi yanajitenga na ile cream ambayo ndo butterfat japo inakuwa bado na kiasi cha water na solidmilk,sasa ili upate samli ile butter kwa kiswahili sijui ndo siagi inapikwa,kipindi kile tukipikia kwenye mapipa,mpaka mafuta yanapatikana then unakamua kwa kitambaa kutenganisha samli na machicha.
Localy zaidi mabibi walikua wanagandisha maziwa then wanayaweka kwenye kibuyu na kuyasuka(kuspin )kibuyu kisha watamwaga maziwa kwenye sufuria ambapo ile cream huja juu,wanaengua cream na kuipika hadi wanapata samli.

Locally na sio localy.
 
Nguvu za kiume naona ni janga la kitaifa aisee.

Well, dawa kila mtu anaijua ila mwataka short-cuts tu. Hebu punguzeni kula vitu visivyofaa (chips zilizomiminwa ndani ya mafuta kila siku), punguzeni kula bia nyingidaily, na ongeza mazoezi kidogo tu, japo kwa kutembea na utaona mafanikio.

Ukifuatilia waliotumia dawa hiyo, mwisho wa siku ''waliharisha''. So, the ultimate goal ni kuharisha. Kuharisha huko ni sawa na kufanyika kwa ''detoxifation'' ambapo mavimavi yaliyoganda kwenye utumbo, mafuta-mafuta na uchovu wote unatoka humo

Sasa basi, njia yoyote ya kufanya wewe kuharisha na kupunguza tumbo/uchafu wako inaweza kuwa mkombozi wako. Kwa wale wasioweza kulamba Samli, kuna hawa jamaa wa EDMARK hapo Dar wanauza kitu flani kinaitwa ''SHAKE OFF''. Ukitumia hiyo, utaharisha balaa. Unaweza pia kutafuta ''slimming tea'' zinazopatikana kwa baadhi ya Pharmacies ili uharishe. Ukiharisha automatically unakuwa umeditoxify tumbo/mwili wako.
 
Back
Top Bottom