MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
Usiombe yatokee hayo halafu huna hela utajuta humo ndani hakukaliki kabisaWanawake bana, yani nilimkosea kakosa kadogo ila sikudhani lingekuwa kuuuuubwa kivile alafu hapo hapo anaibua na mambo mengine ya nyuma huko, kumbe sijui huwa wanayahifadhi matukio.
Mtu unamuuliza yametokea wapi tena anakujibu sijui.
Pole na hope soon utarecover, I was part of it ila kuna mtu alikwamisha kidogo lile suala kwa upande wangu nikashindwa kushiriki kwa 100%Nipo ndugu yangu, slowly recovering ๐
Sijui kwakweli Maana ht mi naingia mara chache humu
๐น๐น๐น nipo bro mzima?Dogo upo??? Ka Microscope,Tiny Thing Finder ....
๐คฃ๐คฃ๐คฃ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake bana, yani nilimkosea kakosa kadogo ila sikudhani lingekuwa kuuuuubwa kivile alafu hapo hapo anaibua na mambo mengine ya nyuma huko, kumbe sijui huwa wanayahifadhi matukio.
Mtu unamuuliza yametokea wapi tena anakujibu sijui.
Ngoja nijilazimishe kuamini๐Mimi ni mpole elewa hivyo, sipendi kuongea na ni mvivu kusema sema.!!
Ngoja niwaache na uzi wenuNgoja nijilazimishe kuamini๐
Ukijilazimisha ni matumizi mabaya ya busara na dhamiri ya ubinadamu,labda uwe jini ndio ujilazimishe kuamini.Ngoja nijilazimishe kuamini๐
Mhh. Najua u akoelekeaNgoja niwaache na uzi wenu
Tabia yake nyingine umeonaaa!?Ngoja niwaache na uzi wenu
Na wewe usianze story zako za majini๐คฃ๐คฃUkijilazimisha ni matumizi mabaya ya busara na dhamiri ya ubinadamu,labda uwe jini ndio ujilazimishe kuamini.
Mimi mchaga??Tabia yake nyingine umeonaaa!?
Mchaga huyu,wanawake wa kichaga ni sumu kuambiwa ukweli,hawapendi kuambiwa ukweli looooh!!
Ukiwanenea ukweli wanasusa.
Aya susa.
Oya kausha Buddah!!๐๐๐โ๏ธโ๏ธโ๏ธNa wewe usianze story zako za majini๐คฃ๐คฃ
Kwenye ule uzi ndio niligundus kuna watu wako deep kila engo. Ni ma specialist kabisa๐
Karibu ukingani๐๐Mimi mchaga??
Umepotea njia siko uchagani mimi.!!
Ya kweli hayo!?Mimi mchaga??
Umepotea njia siko uchagani mimi.!!
Manka ndio kina nani!?Wewee Lamomy ni manka??
๐ท๐ท๐ท๐ทOya kausha Buddah!!๐๐๐โ๏ธโ๏ธโ๏ธ
Forbidden kuuleta huo mjadala.
Mie nimetolea mfano tu.
Si umesema ni mchaga au typing errorManka ndio kina nani!?