Asante mama mkwe kwa kunizalia microscope, hata jambo liwe dogo vipi linakuzwa!

Asante mama mkwe kwa kunizalia microscope, hata jambo liwe dogo vipi linakuzwa!

Wanawake bana, yani nilimkosea kakosa kadogo ila sikudhani lingekuwa kuuuuubwa kivile alafu hapo hapo anaibua na mambo mengine ya nyuma huko, kumbe sijui huwa wanayahifadhi matukio.

Mtu unamuuliza yametokea wapi tena anakujibu sijui.
Ni nini hasa kimetokea! funguka
 
Mpangilio wa bongo za hawa viumbe ni sawa na SUPU za bei poa


Kwenye utumbo unakutana na kipande cha muhogo
 
Wanawake bana, yani nilimkosea kakosa kadogo ila sikudhani lingekuwa kuuuuubwa kivile alafu hapo hapo anaibua na mambo mengine ya nyuma huko, kumbe sijui huwa wanayahifadhi matukio.

Mtu unamuuliza yametokea wapi tena anakujibu sijui.
A.K.A incubator
 
Na bado.

Ndiyo kwanza ukurasa wa kwanza.

Ukitaka uwaweze wanawake, don't take them seriously. Atakachoongea akiwa na hasira wewe puuzia.

Atalalama kisha atanyamaza. Maisha yanasonga.
This is the best solution..!! Ameze moyo wake tu asiwe wa kutaka kujibujibu kila anachoambiwa au kutaka kujitetea kwenye kila jambo..!! Akae kimya tu. Awe na majibu ya mkato.

CC Scottz
 
wakwangu akianza tu hivyo kama niko ndani ni kumvua tu Kyupi na kupeleka Moto kwa nguvu zangu zote, akili zangu zote....

Kama Yuko Period bas mi ntamvua tu abaki na nguo nyepes nyepes kisha romance za hapa na pale kisha namuacha aseme..

Baada ya hapo ndio tunaongea lugha moja
 
Back
Top Bottom