Asante Mbowe, umeongea hoja ambayo nilii-post hapa JF siku kadhaa zilizopita. Wewe umeiweka vizuri zaidi kuliko mimi

Very interestingly! Alisha maliza mbinu zake zote?

How?

Umejuaje? Amekwambia hivyo?
Mbna no common sense mtetezi, huoni anarudia yaleyale kwa kila tukio? Hana jipya jingine hata kama anatoa posho na anaungwa mkono na chama tawala usijitoe ufahamu. Hamna mwenye imani tena na chadema kwa sasa zaidi ya wenye maslahi binafsi! Kumchagua tena itakua cuf ingine in 2-3 yrs otherwise wajitafakari, watajua wenyewe
 
Then what!

Kwa miaka 20+ Mmemonitor performance mkaionaje? FAM ni applicant kwa mara ya kwanza?
 
Wewe ndio Zero Huyo Mbowe wako Mzee wa Maridhiano Kauza Mechi Mara kibao mchana kweupe anzia era ya slaa,mzee mamvi(lowassa) etc. Watu wanataka watu wenye kiburi cha Akili mbele ya wenye mamlaka kama Lissu wewe unaongelea experience?! hao viongozi wako na miaka 50 na kenda ya uongozi wao experience yao imekupa nini? kmmk
 
Vipi na Mbowe alipochaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, alikuwa na uzoefu wa miaka mingapi? Au yeye alizaliwa na kipaji cha kuwa Mwenyekiti kutoka kwa Mungu?

Maana umesema ni bora chama kiendelee kuongozwa na mtu mwenye 21 years experience, badala ya huyo wa 0 experience (ingawa bado nitakupinga! Kwa sababu Lissu hana 0 experience kama unavyotaka kuwaaminisha watu! Lissu amekuwa Mwanasheria Mkuu wa chama, amekuwa ni mjumbe wa kamati kuu ya chama, Mbunge wa kuchaguliwa, na pia Makamu Mwenyekiti wa Chama)!!

Sasa hiyo 0 experience inatoka wapi?
 
Acheni uwendawazimu chama kinatakiwa kijisimamie chenyewe pasipo kuangalia experience ya mtu, maana leo yupo kesho asipokuwepo inamaana mliobaki nyote magarasa! si ndivyo..?
mbona ccm wao wanamudu kubadili wenyeviti tena wakiwa ni marais kwa maana anakazi mbili ya chama na serikali!, wekeni uimara kwenye vyama vyenu zalisheni watu wajuvi ila huko Chadema watu wajuvi ndo kwanza mnawatoa wapi zito wapi slaa haya lissu nae huyu hapa kuna uwezekano akishindwa akatimka!, shitukeni.
 
NAOMBA UNIUNGANISHE KWENYE GROUP LA KUCHUKUA POSHO MAANA KAMA UNAWEZA KUMTETEA GAIDI WE NI ZAIDI YA ZOMBIE.
 
Akifa je? Eti uzoefu ndo hoja. Hata kina Lipumba, Rungwe etc wana uzoefu mkubwa tu lkn wananchi haiwahsu wanataka wabunge, madiwani, wenyeviti, mameya wa kutosha na ikiwezekana rais toka upinzani sio. Sio mwenyekiti wa kutoa matamko tu uchaguzi unaporwa na watu wanaishi na ufukara ambao ccm inaamua maisha yao bila kupingwa na mtu yeyote!
 
Unajua kuna baadhi yetu wanatoa hoja dhaifu mpaka unashangaa, halafu kibaya anaanza kwa kucrash wote watakaopinga upuuzi wake kwamba wamesoma elimu ya kukalilishwa. Je kila miaka ya uchanguzi nchi zote za ulaya na marekani wanaongozwa na maraisi wapya , wengi hawajawahi kuwa maraisi, je kwa nini wasirudie rudie maraisi wa nyuma ndio warudie.

Eti Lisu ana uzoefu zero, kweli kabisa mtu anaandika utumbo huu, mimi sina ushabiki. Hivi uzoefu unaojaribu kuongea ni upi, cheo au uzoefu wa kuongoza katika level hiyo. Hii ni urgument ya kitoto sana na kama mbowe ataitumia kwenye uchaguzi wa taifa ataangukia mgongo asubuhi na mapema. Hoja ni kwamba kwa miaka 20 hujaweza kuleta changes, je utaweza kwa miaka 5.

Nikimaanisha umetumia uzoefu wako wa miaka 5 ya kwanza, uzoefu wa miaka 5 ya pili, uzoefu wa miaka 5 ya tatu, uzoefu wa miaka miaka 5 ya nne, huoni Mh amefikia kikomo cha ubunifu. Hakika huo uzoefu angeutumia kama mshauri wa chama na kuachia watu wapya na mawazo mapya. Wanasema dont expect new results using the same way of doing things. Changes are inevitable now,
 
Mnahubiri katiba mpya, demokrasia na chaguzi huru za haki je Mme jipima na kujipambanua? , Angalizo ni aibu kuvihubiri kwa kelele nyingi nyuma mikamera kumbe hamuishi navyo

Do you practice democracy and the best electoral system
 

Basi wakampe uenyekiti Mo au GSM
 
Akawekeze kwnye nini? Chama cha siasa ni mali ya umma sio ya mtu binafsi uchumi wa ccm haumhusu Samia why Lissu ajenge uchumi wake? Hoja mfu hii
Ajijenge kwanza kiuchumi ,mtu mwenye njaa ni rahisi sana kununulika na pia kwa mujibu wa rafiki yake alisema jamaa halipi madeni/dhulumati ,anaomba sana hizi laki 5 ,milioni milioni ,sasa mtu kama huyo akikutana na kina Abdul wakampa Biii anauza chama mazima....Fedha za bunge alizolipwa bank wamelamba baadhi.
 
hivi rais wa wizi wa kura msumbiji kwa wa2 wanampinga???
 
Mbna bilionea ananunuliwa left n right tu km yupo maggot?
 
Unlike others, in 20 years chama kimefika wapi? What new ata offer ambacho hajakifanya in those 20 years?

Uongozi is not about experience, otherwise tungekuwa na marais wa maisha
 
CCM wana experience ya miaka 60 kwahiyo mkae kwa kutulia.
Kweli kabisa na kesho wasije kwenye kampeni na lugha ya 61 ya CCM yatosha wamekaa sana hawana jipya πŸ˜†!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…