Asante Rais Samia Kumteua Prof. Assad, ni Mkweli, Atakusaidia Sana Kukuambia Ukweli, Tatizo Viongozi Wengi Hawapendi Kuambiwa Ukweli, Je Uko Tayari?.

Asante Rais Samia Kumteua Prof. Assad, ni Mkweli, Atakusaidia Sana Kukuambia Ukweli, Tatizo Viongozi Wengi Hawapendi Kuambiwa Ukweli, Je Uko Tayari?.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi
Moja ya mapungufu makubwa ya viongozi wetu ni hawapendi kuambiwa ukweli, matokeo yake ni wasaidizi wao wengi kuwaogopa ma boss wao na kuishia kuwa machawa, hawamwelezi Rais Ukweli, kama wale wasaidizi wake machawa wa sheria, sio tuu hawajamwambia ukweli kuwa katiba yetu imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili, uliochomekwa kiubatili, hivyo kutunga sheria batili na kumsainisha sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba.

Msaidizi wake Mkuu uchumi ni kama chawa fulani hivi, hivyo tuna upungufu mkubwa wa viongozi wakweli.

Mmoja wa viongozi wakweli ni CAG Mstaafu Prof. Mussa Juma Assad, huyu ni mkweli daima, nyeusi ataita nyeusi na nyeupe ni nyeupe, hakopeshi, wazungu wanasema mtu anaye "call a spade a spade and not a big spoon"

Hebu kwanza msikilize Prof Assad kwenye baadhi ya hoja.
View: https://youtu.be/dg23YBKgtIQ?si=QDFBHSJWbCe5Uwv1

View: https://youtu.be/PGmbd6zTJXY?si=xNoyVLr39M5m377l

View: https://youtu.be/lsTSL8lNlxM?si=6FGzKURmUYmeDb3l

View: https://youtu.be/Tn5c9p4Ya0I?si=rJiSqyT7TYh9X0gQ

View: https://youtu.be/sARDPwv8eio?si=btJZ9hBCutT9jvq7

View: https://youtu.be/wy_vJAXJh6U?si=vZDMrANSsCRy0-U1

View: https://youtu.be/rIRx83B-AVU?si=21ytVseiirSgth-X

View: https://youtu.be/hzCLuKYnY8w?si=xkqYsiVE7ZiXICLp

View: https://youtu.be/cH8Q6vk3ycM?si=zbsUQ4BtVeOWKsSr

View: https://youtu.be/BPiVWozoKWg?si=9EYafS7RrwRgvm9e

Kitendo cha kuteuliwa mjumbe tume ya kodi, ataisaidia sana tume hii, swali litabaki kuwa viongozi wengi hawapendi kuambiwa ukweli, kitendo cha Rais Samia kuwateua watu ma bold wa type hii, kinastahili pongezi, hii inamaanisha Rais Samia yuko tayari kuambiwa ukweli na utauppkea na kuufanyia kazi.

Big Up sana Rais Samia kutuletea Prof. Mussa Assad, tena ingekuwa sio anazuiliwa na katiba kutumika kwenye nafasi ya utendaji, ningekushauri, mtimie yule chawa pale kwenye uchumi, mambo ya uchumi hayahitaji uchawa uchawa, na badala yake uchawa endeleeni nao kwenye siasa.

Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali.
 
There is no a Great Genius without some touch of Madness.
Kulinda mahalji ajambo

Jamaa usipokua alahaj atakukagua mapaka pichu

Haha hivi Rafiki yake wa Nssf Yu wap 😂

Mashirika ya mfuko ya jamii yalikua na mwenendo mbaya sana ila kwa vile yule jamaa ni mwenzie wakawa wanaficha ficha mpaka yakajifiaaa yote
 
Wanabodi
Moja ya mapungufu makubwa ya viongozi wetu ni hawapendi kuambiwa ukweli, matokeo yake ni wasaidizi wao wengi kuwa machawa, hawamwelizi Rais Ukweli, kama wale wasaidizi wake machawa wa sheria, sio tuu hawajambia ukweli kuwa katiba yetu imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili, uliochomekwa kiubatili, hivyo kutunga sheria batili na kumsainisha sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba.

Msaidizi wake Mkuu uchumi ni kama chawa fulani hivi, hivyo tuna upungufu mkubwa wa viongozi wakweli.

Mmoja wa viongozi wakweli ni CAG Mstaafu Prof. Mussa Juma Assad, huyu ni mkweli daima, nyeusi ataita nyeusi na nyeupe ni nyeupe, hakopeshi, wazungu wanasema mtu anaye "call a spade a spade and not a big spoon"

Hebu kwanza msikilize Prof Assad kwenye baadhi ya hoja.
View: https://youtu.be/dg23YBKgtIQ?si=QDFBHSJWbCe5Uwv1

View: https://youtu.be/PGmbd6zTJXY?si=xNoyVLr39M5m377l

View: https://youtu.be/lsTSL8lNlxM?si=6FGzKURmUYmeDb3l

View: https://youtu.be/Tn5c9p4Ya0I?si=rJiSqyT7TYh9X0gQ

View: https://youtu.be/sARDPwv8eio?si=btJZ9hBCutT9jvq7

View: https://youtu.be/wy_vJAXJh6U?si=vZDMrANSsCRy0-U1

View: https://youtu.be/rIRx83B-AVU?si=21ytVseiirSgth-X

View: https://youtu.be/hzCLuKYnY8w?si=xkqYsiVE7ZiXICLp

View: https://youtu.be/cH8Q6vk3ycM?si=zbsUQ4BtVeOWKsSr

View: https://youtu.be/BPiVWozoKWg?si=9EYafS7RrwRgvm9e

Kitendo cha kuteuliwa mjumbe tume ya kodi, ataisaidia sana tume hii, swali litabaki kuwa viongozi wengi hawapendi kuambiwa ukweli, kitendo cha Rais Samia kuwateua watu ma bold wa type hii, kinastahili pongezi, hii inamaanisha Rais Samia yuko tayari kuambiwa ukweli na utauppkea na kuufanyia kazi.

Big Up sana Rais Samia kutuletea Prof. Mussa Assad, tena ingekuwa sio anazuiliwa na katiba kutumika kwenye nafasi ya utendaji, ningekushauri, mtimie yule chawa pale kwenye uchumi, mambo ya uchumi hayahitaji uchawa uchawa, na badala yake uchawa endeleeni nao kwenye siasa.

Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali.

huyu ndiye alitumbuliwa na magufuli? johnthebaptist
 
matume yameanza toka Uhuru

tujenge taasisi

hizi ni kazi za kamati za bunge, TRA, Hazina, Tume ya Mipango, state house budget office, na sio za tume ya Rais

ripoti ya tume ni siri, na Rais anaweza kuyachana maripoti ya tume

ni nini cha kodi ambacho Rais hakijui? Anaetakiwa kukijua ni nani, na kwa nini hakijui, na analipwa mshahara wa nini ?

kwa nini tume ya kodi haina wananchi na wafanyabiashara wa kawaida wanaolalamikia mikodi kila siku ?

Juzi Katavi rais umesema watu walipe "vikodi" tupate maendeleo, leo unatuundia kitume uchwara cha kodi, lipi ulikuwa hulijui wakati unatoa statement zile Katavi ?

Au una take advantage za Watanganyika ambao hatuna uwezo wa kuchambua lolote kama huyu mwandishi uchwara wa third world Paschal Mayala huyu ?

Acha kufuja hela za Watanganyika we mama bana, please.
 
Wanabodi
Moja ya mapungufu makubwa ya viongozi wetu ni hawapendi kuambiwa ukweli, matokeo yake ni wasaidizi wao wengi kuwa machawa, hawamwelizi Rais Ukweli, kama wale wasaidizi wake machawa wa sheria, sio tuu hawajambia ukweli kuwa katiba yetu imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili, uliochomekwa kiubatili, hivyo kutunga sheria batili na kumsainisha sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba.

Msaidizi wake Mkuu uchumi ni kama chawa fulani hivi, hivyo tuna upungufu mkubwa wa viongozi wakweli.

Mmoja wa viongozi wakweli ni CAG Mstaafu Prof. Mussa Juma Assad, huyu ni mkweli daima, nyeusi ataita nyeusi na nyeupe ni nyeupe, hakopeshi, wazungu wanasema mtu anaye "call a spade a spade and not a big spoon"

Hebu kwanza msikilize Prof Assad kwenye baadhi ya hoja.
View: https://youtu.be/dg23YBKgtIQ?si=QDFBHSJWbCe5Uwv1

View: https://youtu.be/PGmbd6zTJXY?si=xNoyVLr39M5m377l

View: https://youtu.be/lsTSL8lNlxM?si=6FGzKURmUYmeDb3l

View: https://youtu.be/Tn5c9p4Ya0I?si=rJiSqyT7TYh9X0gQ

View: https://youtu.be/sARDPwv8eio?si=btJZ9hBCutT9jvq7

View: https://youtu.be/wy_vJAXJh6U?si=vZDMrANSsCRy0-U1

View: https://youtu.be/rIRx83B-AVU?si=21ytVseiirSgth-X

View: https://youtu.be/hzCLuKYnY8w?si=xkqYsiVE7ZiXICLp

View: https://youtu.be/cH8Q6vk3ycM?si=zbsUQ4BtVeOWKsSr

View: https://youtu.be/BPiVWozoKWg?si=9EYafS7RrwRgvm9e

Kitendo cha kuteuliwa mjumbe tume ya kodi, ataisaidia sana tume hii, swali litabaki kuwa viongozi wengi hawapendi kuambiwa ukweli, kitendo cha Rais Samia kuwateua watu ma bold wa type hii, kinastahili pongezi, hii inamaanisha Rais Samia yuko tayari kuambiwa ukweli na utauppkea na kuufanyia kazi.

Big Up sana Rais Samia kutuletea Prof. Mussa Assad, tena ingekuwa sio anazuiliwa na katiba kutumika kwenye nafasi ya utendaji, ningekushauri, mtimie yule chawa pale kwenye uchumi, mambo ya uchumi hayahitaji uchawa uchawa, na badala yake uchawa endeleeni nao kwenye siasa.

Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali.

Mayala katika hoja zako hii ya Leo ni VuNJA UNOKO!Nimefurahi kwa kweli kumchambua huyu bwana ni mkweli sana,sisi binadamu wengi tunamapungufu,ila ya Wengine yamezidi pengine ni kwa makusudi au bahati mbaya,lakini kwa Huyu mtu ni mkweli na anauchungu wa nchi yake na watanzania wenzake kwa ujumla wake.Wengi wetu ni wachumia tumbo bila kujali Wengine ambao humohumo kuna marafiki,ndugu nk.Cha ajabu mwisho wa siku mtu anaishi kama vile hajui kufa!Na hii dhambi wengi wao baadae inakuja kuwatesa na kuanzia kuweweseka!Ooh ningejua haya mambo nisingefanya Kwa ufupi fanya mambo mema upate kukumbukwa vema kwa vizazi vyote vijavyo.Ahsante Mayala ,Mungu atubariki sote.
 
Wanabodi
Moja ya mapungufu makubwa ya viongozi wetu ni hawapendi kuambiwa ukweli, matokeo yake ni wasaidizi wao wengi kuwa machawa, hawamwelizi Rais Ukweli, kama wale wasaidizi wake machawa wa sheria, sio tuu hawajambia ukweli kuwa katiba yetu imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili, uliochomekwa kiubatili, hivyo kutunga sheria batili na kumsainisha sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba.

Msaidizi wake Mkuu uchumi ni kama chawa fulani hivi, hivyo tuna upungufu mkubwa wa viongozi wakweli.

Mmoja wa viongozi wakweli ni CAG Mstaafu Prof. Mussa Juma Assad, huyu ni mkweli daima, nyeusi ataita nyeusi na nyeupe ni nyeupe, hakopeshi, wazungu wanasema mtu anaye "call a spade a spade and not a big spoon"

Hebu kwanza msikilize Prof Assad kwenye baadhi ya hoja.
View: https://youtu.be/dg23YBKgtIQ?si=QDFBHSJWbCe5Uwv1

View: https://youtu.be/PGmbd6zTJXY?si=xNoyVLr39M5m377l

View: https://youtu.be/lsTSL8lNlxM?si=6FGzKURmUYmeDb3l

View: https://youtu.be/Tn5c9p4Ya0I?si=rJiSqyT7TYh9X0gQ

View: https://youtu.be/sARDPwv8eio?si=btJZ9hBCutT9jvq7

View: https://youtu.be/wy_vJAXJh6U?si=vZDMrANSsCRy0-U1

View: https://youtu.be/rIRx83B-AVU?si=21ytVseiirSgth-X

View: https://youtu.be/hzCLuKYnY8w?si=xkqYsiVE7ZiXICLp

View: https://youtu.be/cH8Q6vk3ycM?si=zbsUQ4BtVeOWKsSr

View: https://youtu.be/BPiVWozoKWg?si=9EYafS7RrwRgvm9e

Kitendo cha kuteuliwa mjumbe tume ya kodi, ataisaidia sana tume hii, swali litabaki kuwa viongozi wengi hawapendi kuambiwa ukweli, kitendo cha Rais Samia kuwateua watu ma bold wa type hii, kinastahili pongezi, hii inamaanisha Rais Samia yuko tayari kuambiwa ukweli na utauppkea na kuufanyia kazi.

Big Up sana Rais Samia kutuletea Prof. Mussa Assad, tena ingekuwa sio anazuiliwa na katiba kutumika kwenye nafasi ya utendaji, ningekushauri, mtimie yule chawa pale kwenye uchumi, mambo ya uchumi hayahitaji uchawa uchawa, na badala yake uchawa endeleeni nao kwenye siasa.

Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali.

kaka PASKAL
Katika Quran, kusema ukweli ni thamani ya juu na ni wajibu wa kila Mwislamu. Quran inasisitiza umuhimu wa kusema ukweli na inakataza uongo katika aya mbalimbali. Hapa kuna baadhi ya aya zinazozungumzia kuhusu kusema ukweli:

  1. Surat Al-Baqarah (2:42):"Wala msivae ukweli kwa uwongo, wala msifiche ukweli hali mnaujua."
  2. Surat Al-Ankabut (29:3):"Na kwa yakini tutawajaribu ili tujue wapigananao Jihad kati yenu na wanaosubiri, na tuzidhihirishe khabari zenu."
  3. Surat Al-Isra (17:36):"Wala usifuate usiyokuwa na ilimu nayo. Hakika masikio, na macho, na moyo - hivyo vyote vitakuwa vinaulizwa."
  4. Surat Al-Hajj (22:30):"Basi hivyo ndivyo. Na anayehishimu alama za Mwenyezi Mungu, basi haya ni katika unyofu wa nyoyo."
  5. Surat An-Nisa (4:135):"Enyi mlioamini! Kuweni wasimamizi wa uadilifu, mashahidi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, ijapokuwa ni dhidi ya nafsi zenu wenyewe au wazazi wawili na jamaa zenu. Akiwa tajiri au maskini, basi Mwenyezi Mungu anawastahiki zaidi. Basi msifuate matamanio, ili muweze kufanya uadilifu. Na mkiupotosha ukweli au mkajitenga nao, basi Mwenyezi Mungu anazo khabari za mnayoyatenda."
Aya hizi na nyingine nyingi zinaonyesha umuhimu wa kusema ukweli na kujiepusha na uongo. Sema kweli daima, kwani kusema kweli ni moja ya maadili makuu ya Kiislamu ambayo yanamleta mtu karibu na Mwenyezi Mungu na jamii yake.
 
Wanabodi
Moja ya mapungufu makubwa ya viongozi wetu ni hawapendi kuambiwa ukweli, matokeo yake ni wasaidizi wao wengi kuwa machawa, hawamwelizi Rais Ukweli, kama wale wasaidizi wake machawa wa sheria, sio tuu hawajambia ukweli kuwa katiba yetu imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili, uliochomekwa kiubatili, hivyo kutunga sheria batili na kumsainisha sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba.

Msaidizi wake Mkuu uchumi ni kama chawa fulani hivi, hivyo tuna upungufu mkubwa wa viongozi wakweli.

Mmoja wa viongozi wakweli ni CAG Mstaafu Prof. Mussa Juma Assad, huyu ni mkweli daima, nyeusi ataita nyeusi na nyeupe ni nyeupe, hakopeshi, wazungu wanasema mtu anaye "call a spade a spade and not a big spoon"

Hebu kwanza msikilize Prof Assad kwenye baadhi ya hoja.
View: https://youtu.be/dg23YBKgtIQ?si=QDFBHSJWbCe5Uwv1

View: https://youtu.be/PGmbd6zTJXY?si=xNoyVLr39M5m377l

View: https://youtu.be/lsTSL8lNlxM?si=6FGzKURmUYmeDb3l

View: https://youtu.be/Tn5c9p4Ya0I?si=rJiSqyT7TYh9X0gQ

View: https://youtu.be/sARDPwv8eio?si=btJZ9hBCutT9jvq7

View: https://youtu.be/wy_vJAXJh6U?si=vZDMrANSsCRy0-U1

View: https://youtu.be/rIRx83B-AVU?si=21ytVseiirSgth-X

View: https://youtu.be/hzCLuKYnY8w?si=xkqYsiVE7ZiXICLp

View: https://youtu.be/cH8Q6vk3ycM?si=zbsUQ4BtVeOWKsSr

View: https://youtu.be/BPiVWozoKWg?si=9EYafS7RrwRgvm9e

Kitendo cha kuteuliwa mjumbe tume ya kodi, ataisaidia sana tume hii, swali litabaki kuwa viongozi wengi hawapendi kuambiwa ukweli, kitendo cha Rais Samia kuwateua watu ma bold wa type hii, kinastahili pongezi, hii inamaanisha Rais Samia yuko tayari kuambiwa ukweli na utauppkea na kuufanyia kazi.

Big Up sana Rais Samia kutuletea Prof. Mussa Assad, tena ingekuwa sio anazuiliwa na katiba kutumika kwenye nafasi ya utendaji, ningekushauri, mtimie yule chawa pale kwenye uchumi, mambo ya uchumi hayahitaji uchawa uchawa, na badala yake uchawa endeleeni nao kwenye siasa.

Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali.

Naunga mkono hoja. Sina haja ya kusoma mwanzo mpaka mwisho. Heading tu inanitosha. Huyu ni mwamba ni mkweli kuliko ukweli wenyewe. Ni mcha Mungu na mwaminifu sana. Mukandala anasubiri.
 
Wanabodi
Moja ya mapungufu makubwa ya viongozi wetu ni hawapendi kuambiwa ukweli, matokeo yake ni wasaidizi wao wengi kuwa machawa, hawamwelizi Rais Ukweli, kama wale wasaidizi wake machawa wa sheria, sio tuu hawajambia ukweli kuwa katiba yetu imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili, uliochomekwa kiubatili, hivyo kutunga sheria batili na kumsainisha sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba.

Msaidizi wake Mkuu uchumi ni kama chawa fulani hivi, hivyo tuna upungufu mkubwa wa viongozi wakweli.

Mmoja wa viongozi wakweli ni CAG Mstaafu Prof. Mussa Juma Assad, huyu ni mkweli daima, nyeusi ataita nyeusi na nyeupe ni nyeupe, hakopeshi, wazungu wanasema mtu anaye "call a spade a spade and not a big spoon"

Hebu kwanza msikilize Prof Assad kwenye baadhi ya hoja.
View: https://youtu.be/dg23YBKgtIQ?si=QDFBHSJWbCe5Uwv1

View: https://youtu.be/PGmbd6zTJXY?si=xNoyVLr39M5m377l

View: https://youtu.be/lsTSL8lNlxM?si=6FGzKURmUYmeDb3l

View: https://youtu.be/Tn5c9p4Ya0I?si=rJiSqyT7TYh9X0gQ

View: https://youtu.be/sARDPwv8eio?si=btJZ9hBCutT9jvq7

View: https://youtu.be/wy_vJAXJh6U?si=vZDMrANSsCRy0-U1

View: https://youtu.be/rIRx83B-AVU?si=21ytVseiirSgth-X

View: https://youtu.be/hzCLuKYnY8w?si=xkqYsiVE7ZiXICLp

View: https://youtu.be/cH8Q6vk3ycM?si=zbsUQ4BtVeOWKsSr

View: https://youtu.be/BPiVWozoKWg?si=9EYafS7RrwRgvm9e

Kitendo cha kuteuliwa mjumbe tume ya kodi, ataisaidia sana tume hii, swali litabaki kuwa viongozi wengi hawapendi kuambiwa ukweli, kitendo cha Rais Samia kuwateua watu ma bold wa type hii, kinastahili pongezi, hii inamaanisha Rais Samia yuko tayari kuambiwa ukweli na utauppkea na kuufanyia kazi.

Big Up sana Rais Samia kutuletea Prof. Mussa Assad, tena ingekuwa sio anazuiliwa na katiba kutumika kwenye nafasi ya utendaji, ningekushauri, mtimie yule chawa pale kwenye uchumi, mambo ya uchumi hayahitaji uchawa uchawa, na badala yake uchawa endeleeni nao kwenye siasa.

Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali.

Kwakuwa Kaka Mayalla wewe ni Wakili Msomi ebu tueleze kidogo, uteuzi huu umekaaje kikatiba?
 
Kilichoangaliwa ni akili, maarifa na maono. Umri ujana una kazi gani ktk hiyo tume?
Huwezi elewa

Kijana ni the biggest presha group that you can’t get ignore

Ukidhani wazee pekee wenye akili na maarifa yale ndio solution then uko wrong
 
Wanabodi
Moja ya mapungufu makubwa ya viongozi wetu ni hawapendi kuambiwa ukweli, matokeo yake ni wasaidizi wao wengi kuwa machawa, hawamwelizi Rais Ukweli, kama wale wasaidizi wake machawa wa sheria, sio tuu hawajambia ukweli kuwa katiba yetu imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili, uliochomekwa kiubatili, hivyo kutunga sheria batili na kumsainisha sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba.

Msaidizi wake Mkuu uchumi ni kama chawa fulani hivi, hivyo tuna upungufu mkubwa wa viongozi wakweli.

Mmoja wa viongozi wakweli ni CAG Mstaafu Prof. Mussa Juma Assad, huyu ni mkweli daima, nyeusi ataita nyeusi na nyeupe ni nyeupe, hakopeshi, wazungu wanasema mtu anaye "call a spade a spade and not a big spoon"

Hebu kwanza msikilize Prof Assad kwenye baadhi ya hoja.
View: https://youtu.be/dg23YBKgtIQ?si=QDFBHSJWbCe5Uwv1

View: https://youtu.be/PGmbd6zTJXY?si=xNoyVLr39M5m377l

View: https://youtu.be/lsTSL8lNlxM?si=6FGzKURmUYmeDb3l

View: https://youtu.be/Tn5c9p4Ya0I?si=rJiSqyT7TYh9X0gQ

View: https://youtu.be/sARDPwv8eio?si=btJZ9hBCutT9jvq7

View: https://youtu.be/wy_vJAXJh6U?si=vZDMrANSsCRy0-U1

View: https://youtu.be/rIRx83B-AVU?si=21ytVseiirSgth-X

View: https://youtu.be/hzCLuKYnY8w?si=xkqYsiVE7ZiXICLp

View: https://youtu.be/cH8Q6vk3ycM?si=zbsUQ4BtVeOWKsSr

View: https://youtu.be/BPiVWozoKWg?si=9EYafS7RrwRgvm9e

Kitendo cha kuteuliwa mjumbe tume ya kodi, ataisaidia sana tume hii, swali litabaki kuwa viongozi wengi hawapendi kuambiwa ukweli, kitendo cha Rais Samia kuwateua watu ma bold wa type hii, kinastahili pongezi, hii inamaanisha Rais Samia yuko tayari kuambiwa ukweli na utauppkea na kuufanyia kazi.

Big Up sana Rais Samia kutuletea Prof. Mussa Assad, tena ingekuwa sio anazuiliwa na katiba kutumika kwenye nafasi ya utendaji, ningekushauri, mtimie yule chawa pale kwenye uchumi, mambo ya uchumi hayahitaji uchawa uchawa, na badala yake uchawa endeleeni nao kwenye siasa.

Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali.

Mi SWALI langu kwako, je hawa wazee siku zote SI walikuwepo tuu na walisimamia haya?? Profesa Asad alikuwa CAG kabisa, ALIWAHI kushauri kuhusiana na maswala haya wakati akiwa ofisini? Hawa wazee walkua hawaoni mapungufu siku zote hizi?? Unaonaje pia kwenye tume pia wangeekwa na walipa Kodi ambao ndio waathirika wakuu wachanganye mawazo Yao.

Natamani siku Moja hapa nchini mstaafu akistaafu, apumzike. Alishafanya yake wakati akiwa kazini tunashukuru...nafasi kama hizi zipewe nyuso mpya, ili tuwe na maoni mapya mapya yanayoendana na wakati. Tuna wasomi wengi sana tena wazalendo ktk nchi hii na ambao wapo tayari kulitumikia Taifa hili.
Wazee wakishastaafu wapumzike wale mafao...Tena wengi wa Hawa sudhan hata kama walipata athari za kikokotoo...tunapenda tuone sura mpya sio tu kwenye tume, Hadi kwenye bodi za mashirika ya uma... TUNATAKA akili mpya, wazee washachoka wapumzike
 
Wanabodi
Moja ya mapungufu makubwa ya viongozi wetu ni hawapendi kuambiwa ukweli, matokeo yake ni wasaidizi wao wengi kuwa machawa, hawamwelizi Rais Ukweli, kama wale wasaidizi wake machawa wa sheria, sio tuu hawajambia ukweli kuwa katiba yetu imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili, uliochomekwa kiubatili, hivyo kutunga sheria batili na kumsainisha sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba.

Msaidizi wake Mkuu uchumi ni kama chawa fulani hivi, hivyo tuna upungufu mkubwa wa viongozi wakweli.

Mmoja wa viongozi wakweli ni CAG Mstaafu Prof. Mussa Juma Assad, huyu ni mkweli daima, nyeusi ataita nyeusi na nyeupe ni nyeupe, hakopeshi, wazungu wanasema mtu anaye "call a spade a spade and not a big spoon"

Hebu kwanza msikilize Prof Assad kwenye baadhi ya hoja.
View: https://youtu.be/dg23YBKgtIQ?si=QDFBHSJWbCe5Uwv1

View: https://youtu.be/PGmbd6zTJXY?si=xNoyVLr39M5m377l

View: https://youtu.be/lsTSL8lNlxM?si=6FGzKURmUYmeDb3l

View: https://youtu.be/Tn5c9p4Ya0I?si=rJiSqyT7TYh9X0gQ

View: https://youtu.be/sARDPwv8eio?si=btJZ9hBCutT9jvq7

View: https://youtu.be/wy_vJAXJh6U?si=vZDMrANSsCRy0-U1

View: https://youtu.be/rIRx83B-AVU?si=21ytVseiirSgth-X

View: https://youtu.be/hzCLuKYnY8w?si=xkqYsiVE7ZiXICLp

View: https://youtu.be/cH8Q6vk3ycM?si=zbsUQ4BtVeOWKsSr

View: https://youtu.be/BPiVWozoKWg?si=9EYafS7RrwRgvm9e

Kitendo cha kuteuliwa mjumbe tume ya kodi, ataisaidia sana tume hii, swali litabaki kuwa viongozi wengi hawapendi kuambiwa ukweli, kitendo cha Rais Samia kuwateua watu ma bold wa type hii, kinastahili pongezi, hii inamaanisha Rais Samia yuko tayari kuambiwa ukweli na utauppkea na kuufanyia kazi.

Big Up sana Rais Samia kutuletea Prof. Mussa Assad, tena ingekuwa sio anazuiliwa na katiba kutumika kwenye nafasi ya utendaji, ningekushauri, mtimie yule chawa pale kwenye uchumi, mambo ya uchumi hayahitaji uchawa uchawa, na badala yake uchawa endeleeni nao kwenye siasa.

Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Ibariki Tanzania
Paskali.

Profesa assadi sio mkweli bali mdini na anaetumia hisia zaidi ya akili
 
Back
Top Bottom